Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Tozo vipi?Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewataka Wananchi watakaopitiwa na ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kujitokeza na kuzitumia fursa mbalimbali ambazo zitapatikana wakati wa ujenzi wa bomba hilo
Dkt. Kalemani amesema watanzania zaidi ya 15,000 wataajiriwa katika kipindi cha ujenzi wa bomba hilo
Waziri amesema hayo akiwa Wilayani Misenyi, Kagera
View attachment 1858133
Huu ni mradi WA kisiasa. Hakuna kitakachofanyika Hadi 2025 trust meWaziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewataka Wananchi watakaopitiwa na ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kujitokeza na kuzitumia fursa mbalimbali ambazo zitapatikana wakati wa ujenzi wa bomba hilo
Dkt. Kalemani amesema watanzania zaidi ya 15,000 wataajiriwa katika kipindi cha ujenzi wa bomba hilo
Waziri amesema hayo akiwa Wilayani Misenyi, Kagera
View attachment 1858133
Hao 15000 ni skilled au unskilled labour?Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewataka Wananchi watakaopitiwa na ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kujitokeza na kuzitumia fursa mbalimbali ambazo zitapatikana wakati wa ujenzi wa bomba hilo
Dkt. Kalemani amesema watanzania zaidi ya 15,000 wataajiriwa katika kipindi cha ujenzi wa bomba hilo
Waziri amesema hayo akiwa Wilayani Misenyi, Kagera
View attachment 1858133
hskuna anaweza ku trust mtu m jinga kama wewe.Huu ni mradi WA kisiasa. Hakuna kitakachofanyika Hadi 2025 trust me
Watanzania wanazungumzia ajira wewe unatuletea vibarua, asubuhi una kazi mchana hauna kazi! Ajira gani hizo. Waziri hebu tueleze fursa zilizopo kwenye bomba la mafuta TAZAMA kuanzia Dar mpaka Tunduma maana wenzetu mnaongea kama ni jambo jipya uwepo wa bomba la mafuta.Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewataka Wananchi watakaopitiwa na ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kujitokeza na kuzitumia fursa mbalimbali ambazo zitapatikana wakati wa ujenzi wa bomba hilo
Dkt. Kalemani amesema watanzania zaidi ya 15,000 wataajiriwa katika kipindi cha ujenzi wa bomba hilo
Waziri amesema hayo akiwa Wilayani Misenyi, Kagera
View attachment 1858133