johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbunge wa Nzega Vijijini Dkt Kigwangala amesema Sugu kwake ni kama mwanafamilia hivyo hawezi kumuombea kifo Kwa Sababu yoyote ile
Mlale Unono 😀
Mlale Unono 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maccm wengi wamemuombea Sugu kifo kwa kisago alichopata toka kwa IGP mtarajiwa Usaadh Awadh.Kwanini aseme hivyo? Kwani kuna mtu anamuombe mtu yeyote kifo hata kama sio ndugu, au rafiki au mwananchi yeyote tu, yaani umjue mtu usimjue, kuna mtu anamuombea mwezanke kifo? Lugha za watu wapuuzi kabisa hizi..!!!
Kigwa is a confused creatureMbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangala amesema Sugu kwake ni kama mwanafamilia hivyo hawezi kumuombea kifo Kwa Sababu yoyote ile
Mlale Unono 😀
Huyu nae ni mhuni TU! Alikuwa Hela za utalii sana hakuridhika TU? Jinga kabisa!Itachukua muda kupata teuzi
Hakikaaa...Kwanini aseme hivyo? Kwani kuna mtu anamuombe mtu yeyote kifo hata kama sio ndugu, au rafiki au mwananchi yeyote tu, yaani umjue mtu usimjue, kuna mtu anamuombea mwezanke kifo? Lugha za watu wapuuzi kabisa hizi..!!!