Dkt Kigwangala: Sugu ni Mwanangu sana na mwanafamilia siwezi kumuombea kifo Kwa Sababu yoyote ile au Chanzo chochote kile!

Kwanini aseme hivyo? Kwani kuna mtu anamuombe mtu yeyote kifo hata kama sio ndugu, au rafiki au mwananchi yeyote tu, yaani umjue mtu usimjue, kuna mtu anamuombea mwezanke kifo? Lugha za watu wapuuzi kabisa hizi..!!!
 
Kwanini aseme hivyo? Kwani kuna mtu anamuombe mtu yeyote kifo hata kama sio ndugu, au rafiki au mwananchi yeyote tu, yaani umjue mtu usimjue, kuna mtu anamuombea mwezanke kifo? Lugha za watu wapuuzi kabisa hizi..!!!
Maccm wengi wamemuombea Sugu kifo kwa kisago alichopata toka kwa IGP mtarajiwa Usaadh Awadh.
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangala amesema Sugu kwake ni kama mwanafamilia hivyo hawezi kumuombea kifo Kwa Sababu yoyote ile

Mlale Unono πŸ˜€
Kigwa is a confused creature

Nadhani ile mitambiko na mauganga inamla kichwa
 
Kwani kuna binadamu mkamilifu anayemuombea mwenzake ugonjwa na umauti ?!!

Hana hoja
 
Kwanini aseme hivyo? Kwani kuna mtu anamuombe mtu yeyote kifo hata kama sio ndugu, au rafiki au mwananchi yeyote tu, yaani umjue mtu usimjue, kuna mtu anamuombea mwezanke kifo? Lugha za watu wapuuzi kabisa hizi..!!!
Hakikaaa...

Umeona kamarada ee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…