Dkt. Kigwangalla: Sekta ya Utalii ndiyo inayoongoza kwa kuathirika sana kufuatia kuingia kwa Covid 19

Dkt. Kigwangalla: Sekta ya Utalii ndiyo inayoongoza kwa kuathirika sana kufuatia kuingia kwa Covid 19

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa maliasili mh Kigwangalla amesema hapa nchini sekta ya utalii ndio imeathirika sana na uwepo wa Corona ukilinganisha na sekta nyingine.

Mashirika ya ndege yamesimamisha safari, mahoteli yamefungwa, watalii wamefuta safari na Hifadhi zetu zinakosa ada za watalii ili ziweze kujiendesha, amesema.

Dr Kigwangalla amesema kwa sasa serikali inafanya tathmini kuona athari zinazoweza kujitokeza katika uchumi wa dunia, wa taifa na wa mtu mmoja mmoja kufuatia janga hili la Corona na wananchi mtaelezwa yanayojiri.

Chanzo: TBC Aridhio
 
Waziri Mkuu alisema watanzania ni watafuta leo wale leo. Huenda hata kigwa alifata huo mkumbo kilichokua kikiingia alitumia chote kwa matumizi yasiyo lazima, Sasa ameanza kulialia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa maliasili mh Kigwangalla amesema hapa nchini sekta ya utalii ndio imeathirika sana na uwepo wa Corona ukilinganisha na sekta nyingine.

Mashirika ya ndege yamesimamisha safari, mahoteli yamefungwa, watalii wamefuta safari na Hifadhi zetu zinakosa ada za watalii ili ziweze kujiendesha, amesema.

Dr Kigwangalla amesema kwa sasa serikali inafanya tathmini kuona athari zinazoweza kujitokeza katika uchumi wa dunia, wa taifa na wa mtu mmoja mmoja kufuatia janga hili la Corona na wananchi mtaelezwa yanayojiri.

Chanzo: TBC Aridhio
pitisheni panga kwenye mishahara, posho na allowance za watumishi wa tanapa, ncca na nyingine za utalii hawatakufa hao muone km hizo taasisi zitashidwa kujiendesha. muda mwingine lazima pia kujua chungu tamu ya sehemu za kazi. wasizoee tamu tu. watumishi wa almashauri wao wanaishi kwa mishahara kidogo tu na maisha yanaenda tu.
 
Uzuri rais alishasema tuna akiba ambayo hata tukakaa miezi mitano bila kuingiza hata shilingi tunatoboa. Huu ndio muda muafaka wa kutokuandikia mate.
We thubutu waitoe wapi,wasinge omba msaada kwa wananchi wake..nchi nyengine sirikali ndio wanatoa misaada kwa wananchi wake ila bongo wananchi ndio wanaisaidia serikali.bongo inaongozwa na vilaza.
 
pitisheni panga kwenye mishahara, posho na allowance za watumishi wa tanapa, ncca na nyingine za utalii hawatakufa hao muone km hizo taasisi zitashidwa kujiendesha. muda mwingine lazima pia kujua chungu tamu ya sehemu za kazi. wasizoee tamu tu. watumishi wa almashauri wao wanaishi kwa mishahara kidogo tu na maisha yanaenda tu.
Dokta amekusikia!
 
Waziri wa maliasili mh Kigwangalla amesema hapa nchini sekta ya utalii ndio imeathirika sana na uwepo wa Corona ukilinganisha na sekta nyingine.

Mashirika ya ndege yamesimamisha safari, mahoteli yamefungwa, watalii wamefuta safari na Hifadhi zetu zinakosa ada za watalii ili ziweze kujiendesha, amesema.

Dr Kigwangalla amesema kwa sasa serikali inafanya tathmini kuona athari zinazoweza kujitokeza katika uchumi wa dunia, wa taifa na wa mtu mmoja mmoja kufuatia janga hili la Corona na wananchi mtaelezwa yanayojiri.

Chanzo: TBC Aridhio

Ujinga ni kuishia kwenye kuangalia tu athari na kuzitolea matamko badala ya kuweka mpango-mkakati wa kuwakwamua wananchi kiuchumi (build-back-better) ugonjwa utakapodhibitiwa...
 
pitisheni panga kwenye mishahara, posho na allowance za watumishi wa tanapa, ncca na nyingine za utalii hawatakufa hao muone km hizo taasisi zitashidwa kujiendesha. muda mwingine lazima pia kujua chungu tamu ya sehemu za kazi. wasizoee tamu tu. watumishi wa almashauri wao wanaishi kwa mishahara kidogo tu na maisha yanaenda tu.
.
Kama ni panga basi hata wale waliopo Dodoma (wabunge) wasiwasahau.
 
Back
Top Bottom