Naunga mkono hojaMbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei amesema Mchakato wa kulenga vikundi haufanyi kazi duniani kote akisisitiza, "Tutumie mbinu mpya kutoa mikopo hata kwa mtu mmoja mmoja. Kutoa kwa Vikundi inaleta ugumu katika uwajibikaji"
Akichangia Mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mbunge huyo ametoa wito kwa Serikali kufanyia tathmini mchakato huo, na ikiwezekana uwepo mjadala ili kuona hatua zinazoweza kuchukuliwa
uvccm mapanya sana wa nchi, ili mradi waleKimei anataka UVCCM wakose michongo ya upigaji.
kwa hali hiyi hatuwezi move on hiyi nchi acha kabisa kiongozi mwenye mwizi mwananchi tapeli nani alaumiwe?tulijiunga kikundi cha vijana wa 5 tukakamilisha kila kitu wakatupa mkopo wa m3 usio na riba (tunatakiwa kurudisha baada ya mwaka)
bahat mbaya kila kijana yupo mkoa tofauti na hakuna dalili ya kurudisha mkopo,
na sisi tumeonja hela ya serikal ya ccm
Tuunde kikundi lingine tupige hela kwangu na Mimi niweke....njoo pm nikupe mbinutulijiunga kikundi cha vijana wa 5 tukakamilisha kila kitu wakatupa mkopo wa m3 usio na riba (tunatakiwa kurudisha baada ya mwaka)
bahat mbaya kila kijana yupo mkoa tofauti na hakuna dalili ya kurudisha mkopo,
na sisi tumeonja hela ya serikal ya ccm
Siasa uchwara za za Ushabiki zimewaathiri sana ubongo umeteguka nyie vijanauvccm mapanya sana wa nchi, ili mradi wale
Hii kitu hatuipi kipaumbele, ila vita ya Ukraine na Russia. Moderator anzisheni kupini thread na kuweka recommended thread toka kwenu.
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei amesema Mchakato wa kulenga vikundi haufanyi kazi duniani kote akisisitiza, "Tutumie mbinu mpya kutoa mikopo hata kwa mtu mmoja mmoja. Kutoa kwa Vikundi inaleta ugumu katika uwajibikaji".
Akichangia Mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mbunge huyo ametoa wito kwa Serikali kufanyia tathmini mchakato huo, na ikiwezekana uwepo mjadala ili kuona hatua zinazoweza kuchukuliwa.
Wahuni wametuzidi akili
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei amesema Mchakato wa kulenga vikundi haufanyi kazi duniani kote akisisitiza, "Tutumie mbinu mpya kutoa mikopo hata kwa mtu mmoja mmoja. Kutoa kwa Vikundi inaleta ugumu katika uwajibikaji".
Akichangia Mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mbunge huyo ametoa wito kwa Serikali kufanyia tathmini mchakato huo, na ikiwezekana uwepo mjadala ili kuona hatua zinazoweza kuchukuliwa.
Naunga mkono hoja.
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei amesema Mchakato wa kulenga vikundi haufanyi kazi duniani kote akisisitiza, "Tutumie mbinu mpya kutoa mikopo hata kwa mtu mmoja mmoja. Kutoa kwa Vikundi inaleta ugumu katika uwajibikaji".
Akichangia Mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mbunge huyo ametoa wito kwa Serikali kufanyia tathmini mchakato huo, na ikiwezekana uwepo mjadala ili kuona hatua zinazoweza kuchukuliwa.