Dkt. Koboko tosheka na majukumu ya Udaktari, mwache Mfamasia kwenye eneo lake la madawa

Dkt. Koboko tosheka na majukumu ya Udaktari, mwache Mfamasia kwenye eneo lake la madawa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Inabidi tuseme wazi bila kupepesa macho!! Tatizo la Dr Koboko ni kuwa anaona kula kwa kadri ya urefu wa kamba ya udaktari tu haitoshi! anataka aunganishe na ile ya ufamasia!! Sababu yake ni kuwa eti kwa sababu anaweza kutoa dawa pharmacy bila mgonjwa kuwa na prescription

Hataki mfamasia atoe dawa kwa mgonjwa!! Si kwa kuwa mfamasia hawezi kutoa dawa kwa mujibu wa prescription (kwa dawa zinazohitaji prescription), eti kwa sababu mfamasia hayajui magonjwa!!

Mfamasia hahitaji ayajue magonjwa (japo anayajua kwa kiasi fulani) ili aweze kutoa dawa!! Siyo jukumu la mfamasia kujua magonjwa, maana hiyo ni kazi ya daktari!!

Kutokujua magonjwa hakumfanyi ashindwe majukumu yake ya msingi kwenye pharmacy!

Dr Koboko anataka Daktari ndiye atoe dawa pale pharmacy na hakuna sababu ya mgonjwa kwenda na cheti maana Daktari anayajua magonjwa!! Kwa hiyo Dr Koboko anataka kutumia pharmacy kama dispensary pia au clinic!!

Hawa ndio madaktari wetu halafu analisema hilo hadharani bila aibu!! Anauliza, je mgonjwa akienda pharmacy bila cheti cha Daktari huyo mfamasia atamsaidiaje? Kwake hiyo ni hoja yenye nguvu!! Jibu ni kwamba mgonjwa akienda pharmacy kutibiwa ataambiwa kuwa pharmacy sio hospitali!! Atashauriwa aende kwa hospitali kama hitaji lake linahitaji dawa zinazotolewa kwa prescription ya daktari.

Wafamasia wote wanajua hivyo, na kama mmoja akikiuka atashughulikiwa na bodi ya pharmacy kwa mujibu wa sheria!! Nanukuu mawazo ya Dr Koboko:

"✓Kazi ya Mfamasia ni kutunza na kuhifadhi dawa, kusambaza maeneo yenye uhitaji pamoja na kutengeneza dawa viwandani na siyo kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa . Kwa hiyo kazi yake siyo drugs Administration, hii ni kazi ya watu wengine. Mfamasia hajasomea Magonjwa wala wadudu wanaosababisha maradhi, hajasomea dalili za magonjwa.

Hivi anapoenda mgonjwa kwenye duka la dawa na hana cheti cha daktari, Mfamasia anajua Diagnosis ya ugonjwa wake? Amesomea dalili? Ni maduka mangapi yanayotoa dawa kwa vyeti vya madaktari nchini? Hivi mnajua kuwa mnataka kuliangamiza taifa kwa maslahi ya wachache?"

Unaona, Koboko hataki mfamasia atoe dawa moja kwa moja kwa mgonjwa wakati pale pharmacy ndiyo kazi ya mfamasia kutoa dawa kwa mgonjwa!! Kwa maneno mengine pharmacy au duka la dawa halihitaji kuwa na mfamasia! Eti atafanyaje kama mgonjwa ataenda pharmacy bila cheti cha daktari!! Jibu ni kuwa haitakiwi mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kama dawa anayohitaji inatakiwa kuwa na prescriptrion!! Jibu siyo kuruhusu mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kwa sababu eti atamkuta daktari hapo!!

PHARMACY SIYO MAHALI PA TIBA!! KWA HIYO DAKTARI HATAKIWI HAPO!! DAKTARI AKITAKA KUTIBU AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!! NA MGONJWA AKITAKA KUTIBIWA AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!!

Dr Koboko anataka ku-practice profession yake pharmacy!! Dr Koboko hajui mahali sahihi pa ku-practice!! ni maajabu!! Halafu anataka wafamasia watoke pharmacy waende viwandani!! na wawe mastoo keeper tu wa dawa!!

Ushauri kwa Dr. Koboko: Ukitaka kuunganisha kamba ya udaktari na ufamasia ili uongeze eneo la kula NENDA KASOMEE KOZI YA PHARMACY PIA MIAKA 4 + MWAKA 1 WA INTERN kisha nenda kafungue pharmacy na utibu kinyemela maana pharmacy siyo eneo muafaka la kufanyia tiba!
 
Inabidi tuseme wazi bila kupepesa macho!! Tatizo la Dr Koboko ni kuwa anaona kula kwa kadri ya urefu wa kamba ya udaktari tu haitoshi! anataka aunganishe na ile ya ufamasia!! Sababu yake ni kuwa eti kwa sababu anaweza kutoa dawa pharmacy bila mgonjwa kuwa na prescription

Hataki mfamasia atoe dawa kwa mgonjwa!! Si kwa kuwa mfamasia hawezi kutoa dawa kwa mujibu wa prescription (kwa dawa zinazohitaji prescription), eti kwa sababu mfamasia hayajui magonjwa!!

Mfamasia hahitaji ayajue magonjwa (japo anayajua kwa kiasi fulani) ili aweze kutoa dawa!! Siyo jukumu la mfamasia kujua magonjwa, maana hiyo ni kazi ya daktari!!

Kutokujua magonjwa hakumfanyi ashindwe majukumu yake ya msingi kwenye pharmacy!

Dr Koboko anataka Daktari ndiye atoe dawa pale pharmacy na hakuna sababu ya mgonjwa kwenda na cheti maana Daktari anayajua magonjwa!! Kwa hiyo Dr Koboko anataka kutumia pharmacy kama dispensary pia au clinic!!

Hawa ndio madaktari wetu halafu analisema hilo hadharani bila aibu!! Anauliza, je mgonjwa akienda pharmacy bila cheti cha Daktari huyo mfamasia atamsaidiaje? Kwake hiyo ni hoja yenye nguvu!! Jibu ni kwamba mgonjwa akienda pharmacy kutibiwa ataambiwa kuwa pharmacy sio hospitali!! Atashauriwa aende kwa hospitali kama hitaji lake linahitaji dawa zinazotolewa kwa prescription ya daktari.

Wafamasia wote wanajua hivyo, na kama mmoja akikiuka atashughulikiwa na bodi ya pharmacy kwa mujibu wa sheria!! Nanukuu mawazo ya Dr Koboko:

"✓Kazi ya Mfamasia ni kutunza na kuhifadhi dawa, kusambaza maeneo yenye uhitaji pamoja na kutengeneza dawa viwandani na siyo kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa . Kwa hiyo kazi yake siyo drugs Administration, hii ni kazi ya watu wengine. Mfamasia hajasomea Magonjwa wala wadudu wanaosababisha maradhi, hajasomea dalili za magonjwa.

Hivi anapoenda mgonjwa kwenye duka la dawa na hana cheti cha daktari, Mfamasia anajua Diagnosis ya ugonjwa wake? Amesomea dalili? Ni maduka mangapi yanayotoa dawa kwa vyeti vya madaktari nchini? Hivi mnajua kuwa mnataka kuliangamiza taifa kwa maslahi ya wachache?"

Unaona, Koboko hataki mfamasia atoe dawa moja kwa moja kwa mgonjwa wakati pale pharmacy ndiyo kazi ya mfamasia kutoa dawa kwa mgonjwa!! Kwa maneno mengine pharmacy au duka la dawa halihitaji kuwa na mfamasia! Eti atafanyaje kama mgonjwa ataenda pharmacy bila cheti cha daktari!! Jibu ni kuwa haitakiwi mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kama dawa anayohitaji inatakiwa kuwa na prescriptrion!! Jibu siyo kuruhusu mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kwa sababu eti atamkuta daktari hapo!!

PHARMACY SIYO MAHALI PA TIBA!! KWA HIYO DAKTARI HATAKIWI HAPO!! DAKTARI AKITAKA KUTIBU AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!! NA MGONJWA AKITAKA KUTIBIWA AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!!

Dr Koboko anataka ku-practice profession yake pharmacy!! Dr Koboko hajui mahali sahihi pa ku-practice!! ni maajabu!! Halafu anataka wafamasia watoke pharmacy waende viwandani!! na wawe mastoo keeper tu wa dawa!!

Ushauri kwa Dr. Koboko: Ukitaka kuunganisha kamba ya udaktari na ufamasia ili uongeze eneo la kula NENDA KASOMEE KOZI YA PHARMACY PIA MIAKA 4 + MWAKA 1 WA INTERN kisha nenda kafungue pharmacy na utibu kinyemela maana pharmacy siyo eneo muafaka la kufanyia tiba!
Sidhani kama ulimuelewa Prof Koboko
 
Sidhani kama ulimuelewa Prof Koboko
Dah, Hata wewe umechotwa akili?

Ni kipi ambacho huelewi uelezwe hadi uelewe!
Huyo jamaa anayejiita Dr Koboko, nina wasiwasi kama alishawahi kuingia darasa llolote la udaktari, kwa sababu naona hajui wajibu wa daktari ni nini hasa.
Inawezekana sana, huyu ni mhanga tu wa hayo mambo ya ADDO, na hana uhusiano wowote na taaluma ya udaktari.

Lakini hata haelewi kuwa kuna sheria kabisa zinazosimamia majukumu ya taaluma hizi, kwa hiyo yeye anataka ndiye alete mabadiliko, si Tanzania pekee, bali duniani kote waige anayotaka Dr Koboko?

Hilo la kufanya Pharmacy iwe sehemu ya cliniki anapofanyia kazi haliwezekani, kwa sababu ya mgongano wa maslahi. Hii ilikuwa ni sababu mojawapo toka mwanzo iliyolazimisha majukumu haya yagawanywe, yasifanywe na watu wa fani hiyo hiyo.
 
Inabidi tuseme wazi bila kupepesa macho!! Tatizo la Dr Koboko ni kuwa anaona kula kwa kadri ya urefu wa kamba ya udaktari tu haitoshi! anataka aunganishe na ile ya ufamasia!! Sababu yake ni kuwa eti kwa sababu anaweza kutoa dawa pharmacy bila mgonjwa kuwa na prescription

Hataki mfamasia atoe dawa kwa mgonjwa!! Si kwa kuwa mfamasia hawezi kutoa dawa kwa mujibu wa prescription (kwa dawa zinazohitaji prescription), eti kwa sababu mfamasia hayajui magonjwa!!

Mfamasia hahitaji ayajue magonjwa (japo anayajua kwa kiasi fulani) ili aweze kutoa dawa!! Siyo jukumu la mfamasia kujua magonjwa, maana hiyo ni kazi ya daktari!!

Kutokujua magonjwa hakumfanyi ashindwe majukumu yake ya msingi kwenye pharmacy!

Dr Koboko anataka Daktari ndiye atoe dawa pale pharmacy na hakuna sababu ya mgonjwa kwenda na cheti maana Daktari anayajua magonjwa!! Kwa hiyo Dr Koboko anataka kutumia pharmacy kama dispensary pia au clinic!!

Hawa ndio madaktari wetu halafu analisema hilo hadharani bila aibu!! Anauliza, je mgonjwa akienda pharmacy bila cheti cha Daktari huyo mfamasia atamsaidiaje? Kwake hiyo ni hoja yenye nguvu!! Jibu ni kwamba mgonjwa akienda pharmacy kutibiwa ataambiwa kuwa pharmacy sio hospitali!! Atashauriwa aende kwa hospitali kama hitaji lake linahitaji dawa zinazotolewa kwa prescription ya daktari.

Wafamasia wote wanajua hivyo, na kama mmoja akikiuka atashughulikiwa na bodi ya pharmacy kwa mujibu wa sheria!! Nanukuu mawazo ya Dr Koboko:

"✓Kazi ya Mfamasia ni kutunza na kuhifadhi dawa, kusambaza maeneo yenye uhitaji pamoja na kutengeneza dawa viwandani na siyo kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa . Kwa hiyo kazi yake siyo drugs Administration, hii ni kazi ya watu wengine. Mfamasia hajasomea Magonjwa wala wadudu wanaosababisha maradhi, hajasomea dalili za magonjwa.

Hivi anapoenda mgonjwa kwenye duka la dawa na hana cheti cha daktari, Mfamasia anajua Diagnosis ya ugonjwa wake? Amesomea dalili? Ni maduka mangapi yanayotoa dawa kwa vyeti vya madaktari nchini? Hivi mnajua kuwa mnataka kuliangamiza taifa kwa maslahi ya wachache?"

Unaona, Koboko hataki mfamasia atoe dawa moja kwa moja kwa mgonjwa wakati pale pharmacy ndiyo kazi ya mfamasia kutoa dawa kwa mgonjwa!! Kwa maneno mengine pharmacy au duka la dawa halihitaji kuwa na mfamasia! Eti atafanyaje kama mgonjwa ataenda pharmacy bila cheti cha daktari!! Jibu ni kuwa haitakiwi mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kama dawa anayohitaji inatakiwa kuwa na prescriptrion!! Jibu siyo kuruhusu mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kwa sababu eti atamkuta daktari hapo!!

PHARMACY SIYO MAHALI PA TIBA!! KWA HIYO DAKTARI HATAKIWI HAPO!! DAKTARI AKITAKA KUTIBU AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!! NA MGONJWA AKITAKA KUTIBIWA AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!!

Dr Koboko anataka ku-practice profession yake pharmacy!! Dr Koboko hajui mahali sahihi pa ku-practice!! ni maajabu!! Halafu anataka wafamasia watoke pharmacy waende viwandani!! na wawe mastoo keeper tu wa dawa!!

Ushauri kwa Dr. Koboko: Ukitaka kuunganisha kamba ya udaktari na ufamasia ili uongeze eneo la kula NENDA KASOMEE KOZI YA PHARMACY PIA MIAKA 4 + MWAKA 1 WA INTERN kisha nenda kafungue pharmacy na utibu kinyemela maana pharmacy siyo eneo muafaka la kufanyia tiba!
Binafsi sipendi sana mgonjwa kwenda directly pharmacy kununua dawa bila kumuona daktari.kuna uholela mkubwa sana wa utoaji wa dawa na hatari zaidi ni kutrngeneza drug resistance,kidney and liver failure. Mimi nineenda Mara nyingi kununua dawa pharmacy .sijawahi ulizwa prescription.

Pili ,sijaona sababu za cheti cha mfalmacia kuwepo dukani .Ule ni ulembo tu na ulaji tu.haina maana kabisa.kwamba hicho cheti ni CCTV camera kumonita utoaji holela wa dawa bila prescription?
 
Inabidi tuseme wazi bila kupepesa macho!! Tatizo la Dr Koboko ni kuwa anaona kula kwa kadri ya urefu wa kamba ya udaktari tu haitoshi! anataka aunganishe na ile ya ufamasia!! Sababu yake ni kuwa eti kwa sababu anaweza kutoa dawa pharmacy bila mgonjwa kuwa na prescription

Hataki mfamasia atoe dawa kwa mgonjwa!! Si kwa kuwa mfamasia hawezi kutoa dawa kwa mujibu wa prescription (kwa dawa zinazohitaji prescription), eti kwa sababu mfamasia hayajui magonjwa!!

Mfamasia hahitaji ayajue magonjwa (japo anayajua kwa kiasi fulani) ili aweze kutoa dawa!! Siyo jukumu la mfamasia kujua magonjwa, maana hiyo ni kazi ya daktari!!

Kutokujua magonjwa hakumfanyi ashindwe majukumu yake ya msingi kwenye pharmacy!

Dr Koboko anataka Daktari ndiye atoe dawa pale pharmacy na hakuna sababu ya mgonjwa kwenda na cheti maana Daktari anayajua magonjwa!! Kwa hiyo Dr Koboko anataka kutumia pharmacy kama dispensary pia au clinic!!

Hawa ndio madaktari wetu halafu analisema hilo hadharani bila aibu!! Anauliza, je mgonjwa akienda pharmacy bila cheti cha Daktari huyo mfamasia atamsaidiaje? Kwake hiyo ni hoja yenye nguvu!! Jibu ni kwamba mgonjwa akienda pharmacy kutibiwa ataambiwa kuwa pharmacy sio hospitali!! Atashauriwa aende kwa hospitali kama hitaji lake linahitaji dawa zinazotolewa kwa prescription ya daktari.

Wafamasia wote wanajua hivyo, na kama mmoja akikiuka atashughulikiwa na bodi ya pharmacy kwa mujibu wa sheria!! Nanukuu mawazo ya Dr Koboko:

"✓Kazi ya Mfamasia ni kutunza na kuhifadhi dawa, kusambaza maeneo yenye uhitaji pamoja na kutengeneza dawa viwandani na siyo kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa . Kwa hiyo kazi yake siyo drugs Administration, hii ni kazi ya watu wengine. Mfamasia hajasomea Magonjwa wala wadudu wanaosababisha maradhi, hajasomea dalili za magonjwa.

Hivi anapoenda mgonjwa kwenye duka la dawa na hana cheti cha daktari, Mfamasia anajua Diagnosis ya ugonjwa wake? Amesomea dalili? Ni maduka mangapi yanayotoa dawa kwa vyeti vya madaktari nchini? Hivi mnajua kuwa mnataka kuliangamiza taifa kwa maslahi ya wachache?"

Unaona, Koboko hataki mfamasia atoe dawa moja kwa moja kwa mgonjwa wakati pale pharmacy ndiyo kazi ya mfamasia kutoa dawa kwa mgonjwa!! Kwa maneno mengine pharmacy au duka la dawa halihitaji kuwa na mfamasia! Eti atafanyaje kama mgonjwa ataenda pharmacy bila cheti cha daktari!! Jibu ni kuwa haitakiwi mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kama dawa anayohitaji inatakiwa kuwa na prescriptrion!! Jibu siyo kuruhusu mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kwa sababu eti atamkuta daktari hapo!!

PHARMACY SIYO MAHALI PA TIBA!! KWA HIYO DAKTARI HATAKIWI HAPO!! DAKTARI AKITAKA KUTIBU AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!! NA MGONJWA AKITAKA KUTIBIWA AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!!

Dr Koboko anataka ku-practice profession yake pharmacy!! Dr Koboko hajui mahali sahihi pa ku-practice!! ni maajabu!! Halafu anataka wafamasia watoke pharmacy waende viwandani!! na wawe mastoo keeper tu wa dawa!!

Ushauri kwa Dr. Koboko: Ukitaka kuunganisha kamba ya udaktari na ufamasia ili uongeze eneo la kula NENDA KASOMEE KOZI YA PHARMACY PIA MIAKA 4 + MWAKA 1 WA INTERN kisha nenda kafungue pharmacy na utibu kinyemela maana pharmacy siyo eneo muafaka la kufanyia tiba!
Mimi kama mwana jamii ninayetumia huduma za maduka ya madawa nimesoma ya Koboko na nikasoma ya kwako ni wazi koboko ana hoja ya msingi.

Ni ukweli kwamba maduka ya madawa yanauza dawa kwa watu wengi ambao hawana vyeti, mtu anajisikia kichwa kinauma anaenda duka la dawa kununua dawa. haya ndiyo maisha ya watanzania wengi.

Sasa yeye ameshauri jinsi ya kurahisisha huduma, hoja yake ina mashiko.

sasa tukija kwako hujengi hoja ya changamoto alizoziainisha na kuonyesha mfamasia anafaa vipi ili uko bize kumshambulia koboko kwenye mandishi yako yote kama vile uko kutetea masilahi zaidi na siyo tija ya huduma kwa watu.
 
Inabidi tuseme wazi bila kupepesa macho!! Tatizo la Dr Koboko ni kuwa anaona kula kwa kadri ya urefu wa kamba ya udaktari tu haitoshi! anataka aunganishe na ile ya ufamasia!! Sababu yake ni kuwa eti kwa sababu anaweza kutoa dawa pharmacy bila mgonjwa kuwa na prescription

Hataki mfamasia atoe dawa kwa mgonjwa!! Si kwa kuwa mfamasia hawezi kutoa dawa kwa mujibu wa prescription (kwa dawa zinazohitaji prescription), eti kwa sababu mfamasia hayajui magonjwa!!

Mfamasia hahitaji ayajue magonjwa (japo anayajua kwa kiasi fulani) ili aweze kutoa dawa!! Siyo jukumu la mfamasia kujua magonjwa, maana hiyo ni kazi ya daktari!!

Kutokujua magonjwa hakumfanyi ashindwe majukumu yake ya msingi kwenye pharmacy!

Dr Koboko anataka Daktari ndiye atoe dawa pale pharmacy na hakuna sababu ya mgonjwa kwenda na cheti maana Daktari anayajua magonjwa!! Kwa hiyo Dr Koboko anataka kutumia pharmacy kama dispensary pia au clinic!!

Hawa ndio madaktari wetu halafu analisema hilo hadharani bila aibu!! Anauliza, je mgonjwa akienda pharmacy bila cheti cha Daktari huyo mfamasia atamsaidiaje? Kwake hiyo ni hoja yenye nguvu!! Jibu ni kwamba mgonjwa akienda pharmacy kutibiwa ataambiwa kuwa pharmacy sio hospitali!! Atashauriwa aende kwa hospitali kama hitaji lake linahitaji dawa zinazotolewa kwa prescription ya daktari.

Wafamasia wote wanajua hivyo, na kama mmoja akikiuka atashughulikiwa na bodi ya pharmacy kwa mujibu wa sheria!! Nanukuu mawazo ya Dr Koboko:

"✓Kazi ya Mfamasia ni kutunza na kuhifadhi dawa, kusambaza maeneo yenye uhitaji pamoja na kutengeneza dawa viwandani na siyo kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa . Kwa hiyo kazi yake siyo drugs Administration, hii ni kazi ya watu wengine. Mfamasia hajasomea Magonjwa wala wadudu wanaosababisha maradhi, hajasomea dalili za magonjwa.

Hivi anapoenda mgonjwa kwenye duka la dawa na hana cheti cha daktari, Mfamasia anajua Diagnosis ya ugonjwa wake? Amesomea dalili? Ni maduka mangapi yanayotoa dawa kwa vyeti vya madaktari nchini? Hivi mnajua kuwa mnataka kuliangamiza taifa kwa maslahi ya wachache?"

Unaona, Koboko hataki mfamasia atoe dawa moja kwa moja kwa mgonjwa wakati pale pharmacy ndiyo kazi ya mfamasia kutoa dawa kwa mgonjwa!! Kwa maneno mengine pharmacy au duka la dawa halihitaji kuwa na mfamasia! Eti atafanyaje kama mgonjwa ataenda pharmacy bila cheti cha daktari!! Jibu ni kuwa haitakiwi mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kama dawa anayohitaji inatakiwa kuwa na prescriptrion!! Jibu siyo kuruhusu mgonjwa aende pharmacy bila cheti cha daktari kwa sababu eti atamkuta daktari hapo!!

PHARMACY SIYO MAHALI PA TIBA!! KWA HIYO DAKTARI HATAKIWI HAPO!! DAKTARI AKITAKA KUTIBU AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!! NA MGONJWA AKITAKA KUTIBIWA AENDE HOSPITALINI NA SIYO PHARMACY!!

Dr Koboko anataka ku-practice profession yake pharmacy!! Dr Koboko hajui mahali sahihi pa ku-practice!! ni maajabu!! Halafu anataka wafamasia watoke pharmacy waende viwandani!! na wawe mastoo keeper tu wa dawa!!

Ushauri kwa Dr. Koboko: Ukitaka kuunganisha kamba ya udaktari na ufamasia ili uongeze eneo la kula NENDA KASOMEE KOZI YA PHARMACY PIA MIAKA 4 + MWAKA 1 WA INTERN kisha nenda kafungue pharmacy na utibu kinyemela maana pharmacy siyo eneo muafaka la kufanyia tiba!
Kwa bahati mbaya hujajibu hoja yake. Kiufupi yeye anapinga kipengele kinacholazimisha CO au Nurse kusoma ADDO ili ahudumu katika Duka la kuuza dawa. Hoja yake ni ya msingi sana huyu Prof Koboko
 
Kwa bahati mbaya hujajibu hoja yake. Kiufupi yeye anapinga kipengele kinacholazimisha CO au Nurse kusoma ADDO ili ahudumu katika Duka la kuuza dawa. Hoja yake ni ya msingi sana huyu Prof Koboko
Unatakiwa utambue kuwa na dawa ndani ya duka na kuitoa ni taaluma ya Famasi. Sio Taaluma ya Nesi wala CO au Daktari.

Walifundishwa ile training ya ADDO ili kusaidia upatikanaji wa Dawa za msingi katika maeneo ya pembezoni. Sasa miaka imebadilika na ile ilikuwa ni just a crash programme lakini sio jambo la kisheria. So mafunzo ya ADDO yalikuwa lazima ili walau wawe na uhalali fulani wa ku handle dawa maana anaye handle daswa duniani kote ni lazima awe na Elimu ya Dawa ( Mfamasia).
 
Binafsi sipendi sana mgonjwa kwenda directly pharmacy kununua dawa bila kumuona daktari.kuna uholela mkubwa sana wa utoaji wa dawa na hatari zaidi ni kutrngeneza drug resistance,kidney and liver failure. Mimi nineenda Mara nyingi kununua dawa pharmacy .sijawahi ulizwa prescription.

Pili ,sijaona sababu za cheti cha mfalmacia kuwepo dukani .Ule ni ulembo tu na ulaji tu.haina maana kabisa.kwamba hicho cheti ni CCTV camera kumonita utoaji holela wa dawa bila prescription?

Kuweka cheti bado kunasaidia sana,pharmacy inakuwa na mtu accountable kama likitokea jambo lolote,wengi wenye pharmacy hawajui lolote wao ni wafanya biashara lazima kuwe na mtaalam wa kuwapa abc japo unaweza kuona sio msaada ila kuna msaada kidogo kuliko wakitoa kabisa hivyo vyeti itakuwa tafrani
 
Hoja zake ni za mtu aliyekatiwa mirija kwenye ADDO

Apambane na hali yake
Ni kweli kabisa!

Wapambane na hali zao!

Hapo ndiyo Vita ilipo!
Utasikia watu huyu mama hatumuelewi!? Kishangushiwa jumba bovu
 
Back
Top Bottom