kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Hii unaijua wewe si ndo ulikuwa unajibia mitihani?Sasa ukiingia mtaani na yale uliyokuwa unajibia mitihani utaishia kupata frustration... No body knows grandiosity..huku mtaani ni mikakati ya kupiga mpunga tu!Sitashangaa wenye akili kama yako wengi mnaishi mkiwa na hasira hasira tu!Grandiosity
Ndio kusema kuwa Dokta hana kabisa Viatu...
Na ana nguo pair mbili tu?? Ama kaamua muda wote kuvaa hivo kama Identity yake
Ni Professional tena genius.Hivi ni dr by proffessional au ni jina ty
Ana akili sana usim judge kwa mwonekano tu!Ukiongea naye ndio utajua.He is very smart na anajua wengi wanavyomkejeli ila ipo time wengi wataaibikaUyu Mzee akitaka kujiaribia ajiunge na ccm.
Wewe unaona kama limeyumba au unaona linaonesha mchele mchele?jamani dish lipo sawa kweli? daah
kuna mda zama za kuchanganyikiwa ndio hizi,huyu mzee tunapo kwenda naye hata kuja kusema na nunua tanzaniaDk. Luis Shika ameahidi kutoa Bilion 2 kuchangia mfuko wa Elimu huko Kahama