Uchaguzi 2020 Dkt: Magufuli aahidi Tsh. milioni 5 ya kujengea madarasa ya Shule ya Msingi Ulanga

Uchaguzi 2020 Dkt: Magufuli aahidi Tsh. milioni 5 ya kujengea madarasa ya Shule ya Msingi Ulanga

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Dkt. John Magufuli, mgombea urais kupitia CCM amesema akichaguliwa atatuma Tsh milion 5 ili kujenga madarasa ya shule ya msingi Ulanga ambayo mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano wa kampeni alitaja kuwa changamoto.

Amesema asingeweza kutoa pale pale kwa kuwa wangesema kuwa ni rushwa ya uchaguzi na ndio sababu ya kuhakikisha kuwa atawapa baada ya kushinda uchaguzi na akifanikiwa kuchaguliwa kuwa Rais kwa muhula wa pili.

Shule ya Msingi Ulanga iko mkoani Songwe, ambako Dkt. Magufuli anaendeza mikutano yake ya kampeni kuelekea uchaguzi utakafanyika Oktoba 28.
 
Alkuwa na maana ya TSh 5Mn ama 50Mn? Huo ni ujenzi wa choo cha tundu ama darasa. Au alikuwa bado anakumbuka mahaba makubwa wana KLM waliyomuonyeha jana TAL.
 
Back
Top Bottom