Dkt. Magufuli asema Serikali imejipanga kulifanya eneo la Kanda ya Ziwa kuwa eneo la utalii mkubwa na aeleza kuwa utalii utainua hiyo Kanda kiuchumi

Kwa sasa kazi ni kujenga miundo mbinu ya utalii kama vile kuanzisha mbuga,kujenga barabara,kiwanja cha ndege karibu na mbuga ambacho tayari kipo Chato ,kuvutia wawejezaji wajenga mahoteli ambayo tayari mengine yameshakamiliki yenye hadhi za kitalii ,wawekezaji makampuni ya tours nk

Hatua hii ya kwanza ikikamilika shughuli ya utangazaji mkubwa ndani na nje utaanza pamoja na kuwa hata sasa kuna utalii tayari lakini mkubwa uko njiani baada ya main logistics kukamilika
 
Hahaha hivyo target yenu sio wananchi wa maeneo hayo, bali watalii!?

Kila kitu mafanya kwa ajili ya watalii sio wananchi?! Hao watalii sisi wanatusaidia nini?!

Ndio maana hamuongelei kutoa haki kwa raia, kwasababu nyie focus yenu ni watalii?!

Ndege za watali, barabara za watalii, mbuga za watalii, viwanja vya ndege vya watalii, sisi wananchi chetu kipi?!
 
Ni yeye
 
Upupu ndio maana huna likes.

Kafanya mambo mengi miaka mitano alisikika nyumbu.

Sasa KWANINI MNATUMIA NGUVU KUBWA?

[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]
 
Wanaoweza kumpigia Kura Magufuli wanywa gongo na waliokata tamaa ya maisha TU!! Ila vijana wenye malengo ya kimaisha hawawezi kufanya huo upuuzi.
MTU mwenye akili hawezi kumpigia jiwe.

Ni yeye, wananchi wanamkubali bila mafuso, wanafunzi , buku saba.
 
Yeye mbona anamjibu kila akipigwa spana na lissu?

Kumbe anatenga muda kupata darasa la lissu.

Ni yeye
 
Usiwafokee kaka mkubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizi habari za kufokewa na wapiga kura kule Kashozi ni za kweli au uzushi?
 
Nina wasiwasi na I'd yako mkuu. Sio kwamba unajiuliza maswali mepesi na ya kitoto ili ujijibu?
 
Sehemu ambazo zina asili ya utalii na ambazo hazihitaji nguvu kubwa kuinua utalii katika hayo maeneo zimetelekezwa badala yake wanaenda kutumia pesa nyingi sehemu nyingine...
What a joke before independence kulikuwa na shughuli za kitalii maeneo hayo.
Wewe unafikiri utalii ni kupanda tu mlima wa Kilimanjaro ?Tourism is a combination of many things.
Singapore kaeneo kadogo kama wilaya ya Temeke inapata watalii milioni 20 kwa mwaka.
 
Madini yangeweza kabisa kubadilisha maisha ya watu wa hiyo kanda ya ziwa lakini serikali za ccm miaka yote zimeshindwa kutumia hiyo fursa ya madini wenyeji wamebaki kuwa waangaliaji tu. Hata utalii ukija mtakuwa watazamaji tu. Kuna mabadiliko lazima yafanyike kuwasaidia watu wa kanda ya ziwa na yanawezekana tu ccm iking'olewa
 
Usiwafokee kaka mkubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha kuna mtu haelewi utalii ni nini, vivutio ni nini, na mtalii ni nani, wao wakiamshwa na Bashiru wanakuja bila hata kufikiria.

Ndio maana nikawauliza nini kitavutia hao watalii huko kanda ya ziwa?!

Ila samahani kwa kuwafokea, hawa wazee hawajitambui ndio maana wanaitwa uvcc hadi wanazeeka.

Juzi kati walipewa title mpya eti JESHI LA AKIBA, Lisu akawaharibia ulaji.
 
Hahaha hivyo target yenu sio wananchi wa maeneo hayo, bali watalii!?

Kila kitu mafanya kwa ajili ya watalii sio wananchi?! Hao watalii sisi wanatusaidia nini?!
Maskini hujui faida za watalii ? wakifika hujui kuwa mahoteli yanaingiza pesa kwa watalii wanaolala? Hujui kuwa watalii wakifika soko la vyakula linaongezeka kwa vyakula kuuziwa watalii hivyo kumsaidia mkulima na mfanya biashara wa vyakula kuinua kipato?

Hujui kuwa utalii ukiwepo mahali huongeza ajira kuanzia za waongoza watalii,ajira mahotelini,madereva ,usafiri wa magari sababu hawatembei kwa miguu hivyo mauzo ya vituo vya mafuta kuongeza mauzo nk

Hujui kuwa watalii pia hununua vitu vinavyouzwa na wenyeji kama vile bidhaa za sanaa nk

HUJUI KUWA MAPATO YA KODI ZITOKANAZO NA UTALII ndizo hutumika kutoa mikopo kwa akina mama na vijana wanaotaka kujiajiri kwenye halmashauri na pia hutumika kuboresha huduma za jamii eneo husika?
 
Nina wasiwasi na I'd yako mkuu. Sio kwamba unajiuliza maswali mepesi na ya kitoto ili ujijibu?
Hahaha kwa taarifa yako hii ID hadi Magufuli mwenyeketi wako anaifahamu,
Hebu tueleweshe mtalii ni nani na kivutio kitakuwa nini huko kanda ya ziwa?!
 
Hahaha kwa taarifa yako hii ID hadi Magufuli mwenyeketi wako anaifahamu,
Hebu tueleweshe mtalii ni nani na kivutio kitakuwa nini huko kanda ya ziwa?!
Kuna namna nyingi za kubana hoja zake za utalii akakosa majibu ila si kwa maswali uliyouliza.
 
Sasa Magufuli kawaambia nini kitakuwa kivutio na nani atakuwa mtalii?!

Watalii wanakuja serengeti kila siku Magufuli ndiye huwaleta?!

Kabla ya Magufuli watalii walikuwa hawaji serengeti?!

Hamna hoja mnabwabwaja tu.
 
Mbona hujayajibu sasa?!
Sijayajibu kwa sababu naamini yupo kwenye kampeni na anajua anachofanya na atakachokipata kwa kutetea analolitetea liwe lina maana au halina maana.

Ww uliyeamua umjibu ulitakiwa utlist umtendee haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…