Dkt. Magufuli asema Serikali imejipanga kulifanya eneo la Kanda ya Ziwa kuwa eneo la utalii mkubwa na aeleza kuwa utalii utainua hiyo Kanda kiuchumi

Mbuga ya selou ina uwanja gani wa kimataifa!
 
Mbuga ya selou ina uwanja gani wa kimataifa!
Ina uwanja wa ndege za watalii ndani ya mbuga ,Serengeti pia wana uwanja ndani ya mbuga

kanda ya ziwa hizo mbuga tatu zinakuwa served na uwanja mmoja sababu haziko mbali mbali sana.Chato ndiko kunakuwa jirani kwao wote
 
Bangosha, habari yako
 
Hivyo akaamua kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake!
Halafu atawaamuru watalii waende kumtembelea huko kijijini akichastaafu?
 
Sasa Magufuli kawaambia nini kitakuwa kivutio na nani atakuwa mtalii?!

Watalii wanakuja serengeti kila siku Magufuli ndiye huwaleta?!

Kabla ya Magufuli watalii walikuwa hawaji serengeti?!

Hamna hoja mnabwabwaja tu.
Tunaongelea Mbuga mpya zilizoanzishwa kipindi cha SERIKALI ya awamu ya Tano ya Dr Magufuli kanda ya ziwa
 
Na wewe kwa akili yako ndogo ukaamini? Ndio maana Kikwete aliwaambia Akili ya kuambiwa changanya ya Kwako.. Chato ikawe kama Arusha na Kilimanjaro kweli? Yani mtalii atoke London aje Chato kutalii? Huo uwanja wa Chato baada ya yeye kustaafu mtachungia ngombe na mbuzi humo
 
dua la kuku kanda hiyo ya ziwa kuna mbuga zinazoungana hadi na nchi jirani kama zilivyo za serengeti na Kenya watalii waweza anzia Rwanda wakaja Tanzania au wakaanzia Tanzania wakaenda Rwanda.
Hiyo airport ni kwa ajili ya utalii hawaji tu kutalii chato mbuga ya chato ni mojawapo tu ya mbuga kibao zilizoanzishwa ukanda huo
 
Kila la kheri!
 
Ukimsikiliza Tundu Lissu anaongea zaidi kwa huzuni kuliko hasira sio kama anavyofanya mpinzani wake meko.

Tundu Lissu anaendelea KUSEMA Watanzania wamepoteza maisha yao na kazi zao:kutokana na rais ambaye hasemeleki hataki kukosolewa, analaumu wengine, anakataa ushirikiano na mpenda chuki.
 
Sehemu ambazo zina asili ya utalii na ambazo hazihitaji nguvu kubwa kuinua utalii katika hayo maeneo zimetelekezwa badala yake wanaenda kutumia pesa nyingi sehemu nyingine...
Mkuu Mikoa hasa ya maziwa makuu ina rasilimali ya madini ila pesa zake zinaenda kuendeleza mikoa isiyokua na kitu km Singida na Dodoma n the likes...Tukiendeleza sera hii unayoisema ya Mwenye nacho aongezewe na asienacho abaki alivyo kuna mikoa itakua na umasikini wa kutupwa maana haina rasilimali...
 
Hivi umenielewa vizuri mkuu
 
Kisiwa cha saa nane tu kimewashinda. Alafu mnatuletea utopolo
 
Ni sheria gani inayosema ukiwa sio mtarii ukikutwa porini unapigwa risasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…