Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ndugu zangu,
Kwa mujibu wa aliyewahi kuwa Rais wa Marekani marehemu Abraham Lincoln anasema "Demokrasia ni serikali ya watu, iliyowekwa na watu kwa ajili ya watu"
Huku Magufuli na chama chake CCM wakionekana kujifungamanisha na Watanzania ili kupata uhalali wa kuwaongoza.
Kwa upande mwingine, Tundu na chama chake cha Chadema wamejikita kupata ushawishi kutoka kwa wa akina Amsterdam, kuhutubia Wakenya.
Mjadala hapa kwa kuzingatia maana ya demokrasia kama ilivyotafsiriwa na Lyncoln utagundua kwa uwazi kuwa kati ya Magufuli na Tundu ni nani anawakilisha serikali ya Watanzania na nani anawasilisha serikali ya wasio Watanzania.
Tujadili kwa utulivu.
Kwa mujibu wa aliyewahi kuwa Rais wa Marekani marehemu Abraham Lincoln anasema "Demokrasia ni serikali ya watu, iliyowekwa na watu kwa ajili ya watu"
Huku Magufuli na chama chake CCM wakionekana kujifungamanisha na Watanzania ili kupata uhalali wa kuwaongoza.
Kwa upande mwingine, Tundu na chama chake cha Chadema wamejikita kupata ushawishi kutoka kwa wa akina Amsterdam, kuhutubia Wakenya.
Mjadala hapa kwa kuzingatia maana ya demokrasia kama ilivyotafsiriwa na Lyncoln utagundua kwa uwazi kuwa kati ya Magufuli na Tundu ni nani anawakilisha serikali ya Watanzania na nani anawasilisha serikali ya wasio Watanzania.
Tujadili kwa utulivu.