..kutokujua kusoma na kuandika kumekua mtaji mkubwa wa maccm kwenye chaguzi....wewe hujui hili ..ama unajifanya kutojua....na kama uko chadema na hulijui hili basi unachangia kwenye kupoteza kura zenu....jua kuwa huko vijijini kwenye wapiga kura wengi ignorance ndio mtaji wa maccm....hutaki unaacha...
Ni kweli kabisa Magufuli anajulikana sana vijijini kwa mabaya aliyowatendea yakiwemo kuwakopa mazao yao, kudhulumu haki yao ya kupata huduma ya afya nk.Huyo Bibi Atakae Mpigia kura Tundu Lissu Nani mkuu?
Ninyi wengi Mnamjua Tundu Lissu ikiwemo na hawa watu Robert Amsterdam, Jeffrey Smith, Pompoe, Maria Salungi Nk Ndio Maana mnaweza kumuelezea vizuri Tundu Lissu.
Watu wa Vijijini hawamjui Tundu Lissu wanamsikia sikia tuu juu juu
Lakini ukisema MAKUFULI hakuna asie Mjua Mzee [emoji16][emoji16][emoji16]
una uhakika gan znaanza ivo, na kama wanataja mataifa yenye uchumi mkubwa je wataanza ivo? kuwekwa mwisho wa karatasi means hata rungwe atawapitaHata nchi za Africa zikiandikwa inaanza Algeria na Angola halafu wanamalizi Zambia na Zimbabwe. Ndivyo kanuni inavyotaka hivyo.
..nyie followers mko mjini ama vijijini.....by the way kushinda ccm mtapora kura kama mlivyopanga...maana kushinda kwenye sanduku la kura hamtoweza asilani....ila mjue uporaji wenu wa safari hii utakua mgumu mno na dunia nzima itajua hili....na utawala wenu baada ya hapo utakuwa wa kilio kikuu...mtapigwa pini na dunia nzima....na ikiisha miaka mitano yenu ya kiporaji jamaa ataondoka madarakani na ccm yake....na labda..labda ataishia the hague....nasema leo....utanikumbuka baada ya miaka mitano ijayo....kama mtapora kura....kama msipopora mtaondoka wiki ijayo....magu ana followers 1M, lissu ana folllowers 150K, kwamba sisi 1M hatujui kusoma na kuandika ama? we unadhan tumefikaje mpaka kufollow page ya magu na tukaacha ya mbelgiji? acha dharau dogo! na hata ivo uchaguzi hamshindi hata mpigiwe kura na nchi mbili
Kwako wewe na familia yako.#JPM is the best president ever [emoji110]
una uhakika gan znaanza ivo, na kama wanataja mataifa yenye uchumi mkubwa je wataanza ivo? kuwekwa mwisho wa karatasi means hata rungwe atawapita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KinukisheniHaitawasaidia. Namba 1 ingekuwa ni vyama vinavyoanza na A lakini Tume imeshinikizwa kuweka CCM kwanza! Na kuweka C nyingine mwisho kabisa (CHADEMA)! Haki iko wapi?
..nyie followers mko mjini ama vijijini.....by the way kushinda ccm mtapora kura kama mlivyopanga...maana kushinda kwenye sanduku la kura hamtoweza asilani....ila mjue uporaji wenu wa safari hii utakua mgumu mno na dunia nzima itajua hili....na utawala wenu baada ya hapo utakuwa wa kilio kikuu...mtapigwa pini na dunia nzima....na ikiisha miaka mitano yenu ya kiporaji jamaa ataondoka madarakani na ccm yake....na labda..labda ataishia the hague....nasema leo....utanikumbuka baada ya miaka mitano ijayo....kama mtapora kura....kama msipopora mtaondoka wiki ijayo....
Sio hoja kaka, kama mtu anajua kusoma na kuandika chama hata kikae mwisho atachagua chama na kiongozi anaemtaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinukisheni
Hamna mwwnye ujasiri wa kukinukisha hapo ufipaKwa rafu hizi, kutanuka tu.
Hamna mwwnye ujasiri wa kukinukisha hapo ufipa
Agenda ipi hiyo?Hii ni agenda ya Watanzania siyo ya Wafipa. Ni ya makabila na dini zote.
Agenda ipi hiyo?
Kwanini wasifuate Alphabetical order kama 2015?Karatasi ya kura ili iwe fair ilitakiwa ziwe randomly printed, yaani karatasi hii chama flani kipo juu, karatasi nyingine chama kingine kipo juu, completely random. Kuweka mtu moja juu ukimpa bibi kachoka anafungua karatasi anaweka tiki moja anaondoka unahisi ataweka chini kabisa au juu?
..fujo wakuzifanya nyie wa kushindwa...mmekosa hoja mmembaki na viroja vya vibaraka wa mabeberu...wakati mnaowaita mabeberu ndio wanaowapa pesa za kuiba na kujitapa mmefanya mengi...hata mabenki mnakokopa pesa ndio hao mnaowaita mabeberu....siku mtaiba kura hao hao mnaowaita mabeberu ndio watawapiga pini.....maana ndio wanaowalisha.....Have you forgot tanzania inaunga mkono pakistan? pakistan ni msururu mmoja na russia + china, sasa waite hao wanaowatetea then utaona mbabe nan, kaa ukijua russia na china wanatafuta tatizo lolote dogo warushe balistic missles zao ambazo znmeshasetiwa znaangalia new york!
kama mlikua mnategemea sjui watakuja vibaraka wenu kufanya fujo utasubiri sana
Kwani hapo ulipo umekosa uhuru gani?Haki, uhuru na maendeleo ya watu (linganisha na watu wasiojulikana, kubambikiwa makosa ya kutakatisha pesa na maendeleo ya barbara na madaraja).