Dkt. Magufuli kafia Tanganyika kafufukia Zanzibar

Dkt. Magufuli kafia Tanganyika kafufukia Zanzibar

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,611
Kwa spidi ya kazi ya Mhe. Rais wa SMZ Dr. Hussein Ali Mwinyi, ni wazi kwamba maneno ya Mhe. Magufuli kwamba ninataka kuibadili Zanzibar hayakumaanisha kwamba atawapa Wazanzibari fedha bali kumbe sasa imedhihiri kwamba alimaanisha atawapa kiongozi mahiri wa mfano atayeibadili Zanzibar kwa muda mfupi kama Mhe. Abeid Amani Karume na kama Mhe. Magufuli walivyofanya, spidi hii ya kazi ndani ya awamu moja tu pia rekodi yake duniani iliandikwa na Mhe. Joseph Stalin na Mhe. William Shadrack Tubman 1944 - 1971 (rais wa 19 wa Liberia).

Ndani ya mwaka mmoja wa kazi ya mfano, Mhe. Dr. Mwinyi ameishakuza uchumi wa visiwa hivyo vya karafuu, mwani na vanilla kwa asilimia 8.8 (Prof. Luoga) ikiongoza EAC ndani ya janga la dunia la Corona, ni katika mwendo huo huo Mhe. Magufuli aliingiza JMT kwenye uchumi wa pato la kati ndani ya dunia kuchanganyikiwa na janga hilo hilo la Corona.

Mhe. William Shadrack Tubman aliwaunganisha wananchi wake waliogawanyika makundi mawili ya Waliberia wazawa (Afro-Liberians) na Waliberia wenye asili ya Marekani (Americo-Liberians), Tubman mwaka 1950 aliifanya Liberia kuwa ya pili duniani kwa kasi ya ukuaji uchumi na ya pili duniani kwa kuzalisha chuma-cha-pua ikitanguliwa na Ujerumani na ya kwanza duniani kwa kuzalisha zao la mpira, alivutia uwekezaji wa jumla ya thamani ya US $ 1 bl (takriban Tzs. 2.2 tr kwa sasa). Amepewa heshima kama Baba wa Liberia mpya.

Mhe. Rais Franklin Delano Roosevelt wa Amerika almaarufu kama FDR, picha/taswira ya Amerika ya leo inayomiliki asilima 14 ya pato la dunia nzima ikiwa na pato la takriban dola za Marekani 30 tr kwa mwaka; aliiona mwaka 1933 alipokuwa akitengeneza Dira (mpango mkakati wa kufufua uchumi kufuatia anguko la uchumi “Great Depression 1929-1939”), katika hotuba yake ya kuapishwa kuwa rais wa 32 alisema “the only thing we have to fear is fear itself” “kitu pekee tunachohitaji kuhofia ni hofu yenyewe” Rais FDR aligundua ukubwa wa tatizo la ajira lililofikia kati ya asilimia 80 na 90 katika baadhi ya majimbo na hivyo watu 15 ml wakakosa ajira baada ya baadhi ya mitaji iliyowekezwa kufilisika, watu wakawa wanatoa amana zao kwa kasi kubwa, ndipo akatangaza likizo-ya-kibenki ya siku 4 ili watu washindwe kuhamisha amana zao toka mabenki.

Baraza la Congress likapitisha sheria ya Roosevelt ya dharura ya kibenki (Roosevelt Emergency Banking Act); ambayo ilisanifu upya mabenki na kufunga zile ambazo zilifilisika, siku tatu baadaye FDR akawaomba Wamarekani kurudisha amana zao benki ambapo hadi mwisho wa mwezi huo takriban robo tatu ya mabenki yalirudi sokoni. Huu ni mkakati mojawapo kati ya mingi aliyotekeleza kufufua uchumi wa Amerika zikiwemo kilimo, viwanda na biashara. Mhe. Rais Dkt. Magufuli anaakisika kwenye modeli hii ya FDR kwa jitihada zake makini za kuratibu mageuzi ya kiuchumi akigusa sekta muhimu za taasisi za fedha, madini, nishati, miundombinu, kilimo, viwanda na biashara zikiwemo biashara ndogondogo na za kati ambazo ndizo zina walipa kodi wengi zaidi.

Dunia inayo ya kujifunza toka Zanzibar, leo Zanzibar imeondolewa kwenye orodha ya maeneo yenye Malaria kwenye sayari ya dunia. ZANZIBAR NI MALARIA FREE ZONE.

Mhe. Magufuli anaishi kama wanavyoishi Joseph Stalin, William Tubman, Abeid Karume, Mwl. Nyerere, Nelson Madela, Mao Tse Tung na FDR nikitaja kwa uchache. Ni vivyo hivyo Dr. Hussein Ali Mwinyi (kama atahakikishiwa ushirikiano wa kutosha) ataendelea kuishi kwenye mtima wa dunia hata baada ya kustaafu.

1645170198338.png

...Mwinyi, nakupa huu ufunguo, ukaifungue Zanzibar kimaendeleo. Picha ya maktaba imetumika kufikisha tu ujumbe japo kihalisia hapa Dr. Mwinyi alikuwa Waziri wa Ulinzi.

Taswira kwa hisani ya google.
 
Hii nayo ni thread au ujinga umeandikwa?
“You don’t have to be a Communist (Opponent) to see that China (Zanzibar) has a lot to teach us in development. The fact that they have a different political system than ours has nothing to do with it.” Julius Kambarage Nyerere, as quoted in Donald Robinson’s The 100Most Important People in the World Today, New York 1970. -


“…intellectuals have a special contribution to make to the development of our nation, and to Africa. And I am asking that their knowledge, and the greater understanding that they should possess, should be used for the benefit of the society of which we are all members.” Julius Kambarage Nyerere, from his book Uhuru na Maendeleo (Freedom and Development), 1973. -

My Take:
You don’t look at issues from a position of extraordinary sense and rationality. #Shame upon you!

Try understanding issues in a wider spectrum so you may not offend yourself whatsoever.
 
“You don’t have to be a Communist (Opponent) to see that China (Zanzibar) has a lot to teach us in development. The fact that they have a different political system than ours has nothing to do with it.” Julius Kambarage Nyerere, as quoted in Donald Robinson’s The 100Most Important People in the World Today, New York 1970. -


“…intellectuals have a special contribution to make to the development of our nation, and to Africa. And I am asking that their knowledge, and the greater understanding that they should possess, should be used for the benefit of the society of which we are all members.” Julius Kambarage Nyerere, from his book Uhuru na Maendeleo (Freedom and Development), 1973. -

My Take:
You don’t look at issues from a position of extraordinary sense and rationality. #Shame upon you!

Try understanding issues in a wider spectrum so you may not offend yourself whatsoever.
Mpuuze tu huyo 😀
Mkuu uwezi kupanda mpunga jangwani ukategemea utavuna
 
Kwa spidi ya kazi ya Mhe. Rais wa SMZ Dr. Hussein Ali Mwinyi, ni wazi kwamba maneno ya Mhe. Magufuli kwamba ninataka kuibadili Zanzibar hayakumaanisha kwamba atawapa Wazanzibari fedha bali kumbe sasa imedhihiri kwamba alimaanisha atawapa kiongozi mahiri wa mfano atayeibadili Zanzibar kwa muda mfupi kama Mhe. Abeid Amani Karume na kama Mhe. Magufuli walivyofanya, spidi hii ya kazi ndani ya awamu moja tu pia rekodi yake duniani iliandikwa na Mhe. Joseph Stalin na Mhe. William Shadrack Tubman 1944 - 1971 (rais wa 19 wa Liberia).

Ndani ya mwaka mmoja wa kazi ya mfano, Mhe. Dr. Mwinyi ameishakuza uchumi wa visiwa hivyo vya karafuu, mwani na vanilla kwa asilimia 8.8 (Prof. Luoga) ikiongoza EAC ndani ya janga la dunia la Corona, ni katika mwendo huo huo Mhe. Magufuli aliingiza JMT kwenye uchumi wa pato la kati ndani ya dunia kuchanganyikiwa na janga hilo hilo la Corona.

Mhe. William Shadrack Tubman aliwaunganisha wananchi wake waliogawanyika makundi mawili ya Waliberia wazawa (Afro-Liberians) na Waliberia wenye asili ya Marekani (Americo-Liberians), Tubman mwaka 1950 aliifanya Liberia kuwa ya pili duniani kwa kasi ya ukuaji uchumi na ya pili duniani kwa kuzalisha chuma-cha-pua ikitanguliwa na Ujerumani na ya kwanza duniani kwa kuzalisha zao la mpira, alivutia uwekezaji wa jumla ya thamani ya US $ 1 bl (takriban Tzs. 2.2 tr kwa sasa). Amepewa heshima kama Baba wa Liberia mpya.

Mhe. Rais Franklin Delano Roosevelt wa Amerika almaarufu kama FDR, picha/taswira ya Amerika ya leo inayomiliki asilima 14 ya pato la dunia nzima ikiwa na pato la takriban dola za Marekani 30 tr kwa mwaka; aliiona mwaka 1933 alipokuwa akitengeneza Dira (mpango mkakati wa kufufua uchumi kufuatia anguko la uchumi “Great Depression 1929-1939”), katika hotuba yake ya kuapishwa kuwa rais wa 32 alisema “the only thing we have to fear is fear itself” “kitu pekee tunachohitaji kuhofia ni hofu yenyewe” Rais FDR aligundua ukubwa wa tatizo la ajira lililofikia kati ya asilimia 80 na 90 katika baadhi ya majimbo na hivyo watu 15 ml wakakosa ajira baada ya baadhi ya mitaji iliyowekezwa kufilisika, watu wakawa wanatoa amana zao kwa kasi kubwa, ndipo akatangaza likizo-ya-kibenki ya siku 4 ili watu washindwe kuhamisha amana zao toka mabenki.

Baraza la Congress likapitisha sheria ya Roosevelt ya dharura ya kibenki (Roosevelt Emergency Banking Act); ambayo ilisanifu upya mabenki na kufunga zile ambazo zilifilisika, siku tatu baadaye FDR akawaomba Wamarekani kurudisha amana zao benki ambapo hadi mwisho wa mwezi huo takriban robo tatu ya mabenki yalirudi sokoni. Huu ni mkakati mojawapo kati ya mingi aliyotekeleza kufufua uchumi wa Amerika zikiwemo kilimo, viwanda na biashara. Mhe. Rais Dkt. Magufuli anaakisika kwenye modeli hii ya FDR kwa jitihada zake makini za kuratibu mageuzi ya kiuchumi akigusa sekta muhimu za taasisi za fedha, madini, nishati, miundombinu, kilimo, viwanda na biashara zikiwemo biashara ndogondogo na za kati ambazo ndizo zina walipa kodi wengi zaidi.

Dunia inayo ya kujifunza toka Zanzibar, leo Zanzibar imeondolewa kwenye orodha ya maeneo yenye Malaria kwenye sayari ya dunia. ZANZIBAR NI MALARIA FREE ZONE.

Mhe. Magufuli anaishi kama wanavyoishi Joseph Stalin, William Tubman, Abeid Karume, Mwl. Nyerere, Nelson Madela, Mao Tse Tung na FDR nikitaja kwa uchache. Ni vivyo hivyo Dr. Hussein Ali Mwinyi (kama atahakikishiwa ushirikiano wa kutosha) ataendelea kuishi kwenye mtima wa dunia hata baada ya kustaafu.


...Mwinyi, nakupa huu ufunguo, ukaifungue Zanzibar kimaendeleo. Picha ya maktaba imetumika kufikisha tu ujumbe japo kihalisia hapa Dr. Mwinyi alikuwa Waziri wa Ulinzi.

Taswira kwa hisani ya google.
Naafiki sana
 
Kuna jangwa kubwa tu Israeli, lakini ndio wanaoilisha dunia yetu. Tafakari, chukua hatua!
Kweli mkuu, mojawapo ya nchi za duniani ambazo WFP inanunuaga chakula cha msaada ni Israel (ni mdau mkubwa sana wa WFP). "Israel ni ghala la WFP"

Kwa Tz irrigation imeshindikana kama katiba-mpya ilivyoshindikana.

1645174758786.png


1645174898167.png


Taswira zote kwa hisani ya google
 
Kwa spidi ya kazi ya Mhe. Rais wa SMZ Dr. Hussein Ali Mwinyi, ni wazi kwamba maneno ya Mhe. Magufuli kwamba ninataka kuibadili Zanzibar hayakumaanisha kwamba atawapa Wazanzibari fedha bali kumbe sasa imedhihiri kwamba alimaanisha atawapa kiongozi mahiri wa mfano atayeibadili Zanzibar kwa muda mfupi kama Mhe. Abeid Amani Karume na kama Mhe. Magufuli walivyofanya, spidi hii ya kazi ndani ya awamu moja tu pia rekodi yake duniani iliandikwa na Mhe. Joseph Stalin na Mhe. William Shadrack Tubman 1944 - 1971 (rais wa 19 wa Liberia).

Ndani ya mwaka mmoja wa kazi ya mfano, Mhe. Dr. Mwinyi ameishakuza uchumi wa visiwa hivyo vya karafuu, mwani na vanilla kwa asilimia 8.8 (Prof. Luoga) ikiongoza EAC ndani ya janga la dunia la Corona, ni katika mwendo huo huo Mhe. Magufuli aliingiza JMT kwenye uchumi wa pato la kati ndani ya dunia kuchanganyikiwa na janga hilo hilo la Corona.

Mhe. William Shadrack Tubman aliwaunganisha wananchi wake waliogawanyika makundi mawili ya Waliberia wazawa (Afro-Liberians) na Waliberia wenye asili ya Marekani (Americo-Liberians), Tubman mwaka 1950 aliifanya Liberia kuwa ya pili duniani kwa kasi ya ukuaji uchumi na ya pili duniani kwa kuzalisha chuma-cha-pua ikitanguliwa na Ujerumani na ya kwanza duniani kwa kuzalisha zao la mpira, alivutia uwekezaji wa jumla ya thamani ya US $ 1 bl (takriban Tzs. 2.2 tr kwa sasa). Amepewa heshima kama Baba wa Liberia mpya.

Mhe. Rais Franklin Delano Roosevelt wa Amerika almaarufu kama FDR, picha/taswira ya Amerika ya leo inayomiliki asilima 14 ya pato la dunia nzima ikiwa na pato la takriban dola za Marekani 30 tr kwa mwaka; aliiona mwaka 1933 alipokuwa akitengeneza Dira (mpango mkakati wa kufufua uchumi kufuatia anguko la uchumi “Great Depression 1929-1939”), katika hotuba yake ya kuapishwa kuwa rais wa 32 alisema “the only thing we have to fear is fear itself” “kitu pekee tunachohitaji kuhofia ni hofu yenyewe” Rais FDR aligundua ukubwa wa tatizo la ajira lililofikia kati ya asilimia 80 na 90 katika baadhi ya majimbo na hivyo watu 15 ml wakakosa ajira baada ya baadhi ya mitaji iliyowekezwa kufilisika, watu wakawa wanatoa amana zao kwa kasi kubwa, ndipo akatangaza likizo-ya-kibenki ya siku 4 ili watu washindwe kuhamisha amana zao toka mabenki.

Baraza la Congress likapitisha sheria ya Roosevelt ya dharura ya kibenki (Roosevelt Emergency Banking Act); ambayo ilisanifu upya mabenki na kufunga zile ambazo zilifilisika, siku tatu baadaye FDR akawaomba Wamarekani kurudisha amana zao benki ambapo hadi mwisho wa mwezi huo takriban robo tatu ya mabenki yalirudi sokoni. Huu ni mkakati mojawapo kati ya mingi aliyotekeleza kufufua uchumi wa Amerika zikiwemo kilimo, viwanda na biashara. Mhe. Rais Dkt. Magufuli anaakisika kwenye modeli hii ya FDR kwa jitihada zake makini za kuratibu mageuzi ya kiuchumi akigusa sekta muhimu za taasisi za fedha, madini, nishati, miundombinu, kilimo, viwanda na biashara zikiwemo biashara ndogondogo na za kati ambazo ndizo zina walipa kodi wengi zaidi.

Dunia inayo ya kujifunza toka Zanzibar, leo Zanzibar imeondolewa kwenye orodha ya maeneo yenye Malaria kwenye sayari ya dunia. ZANZIBAR NI MALARIA FREE ZONE.

Mhe. Magufuli anaishi kama wanavyoishi Joseph Stalin, William Tubman, Abeid Karume, Mwl. Nyerere, Nelson Madela, Mao Tse Tung na FDR nikitaja kwa uchache. Ni vivyo hivyo Dr. Hussein Ali Mwinyi (kama atahakikishiwa ushirikiano wa kutosha) ataendelea kuishi kwenye mtima wa dunia hata baada ya kustaafu.


...Mwinyi, nakupa huu ufunguo, ukaifungue Zanzibar kimaendeleo. Picha ya maktaba imetumika kufikisha tu ujumbe japo kihalisia hapa Dr. Mwinyi alikuwa Waziri wa Ulinzi.

Taswira kwa hisani ya google.
Mwinyi anafaa kuwa Raisi WA Tz nzima..
 
Back
Top Bottom