Zanzibar 2020 Dkt. Magufuli: Mipaka ya Tanzania sio ya kurithi kwa wakoloni

Zanzibar 2020 Dkt. Magufuli: Mipaka ya Tanzania sio ya kurithi kwa wakoloni

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka waliyorithi kutoka kwa wakoloni

Mataifa mengi ya afrika yalitawaliwa hadi miaka ya 1950 kipindi ambacho mataifa ya afrika yalianza kupata uhuru. Lakini mataifa hayo mengi waliendelea kuenzi mipaka iliyowekwa na wakoloni

Amesema hali ilikuwa tofauti kwa Tanganyika na Zanzibar waliungana kwa hiyari yao na kufanya kutobaki katika mipaka ambayo iliwekwa na wakoloni

Magufuli aliyasema hayo alipokuwa Zanzibar katika mkutano wa kampeni katika viwanja vya Mnazi Mmoja
 
Tufanyeni serikali moja basi wazanzibari hawatuwezi ni kuamka na kutangaza tu sasa ni serikali moja,tupendeze zaidi.
 
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka waliyorithi kutoka kwa wakoloni

Mataifa mengi ya afrika yalitawaliwa hadi miaka ya 1950 kipindi ambacho mataifa ya afrika yalianza kupata uhuru. Lakini mataifa hayo mengi waliendelea kuenzi mipaka iliyowekwa na wakoloni

Amesema hali ilikuwa tofauti kwa Tanganyika na Zanzibar waliungana kwa hiyari yao na kufanya kutobaki katika mipaka ambayo iliwekwa na wakoloni

Magufuli aliyasema hayo alipokuwa Zanzibar katika mkutano wa kampeni katika viwanja vya Mnazi Mmoja
Kwa taarifa yake mipaka ya Tanzania na Kenya, Uganda, Rwanda, Congo, Zambia, Malawi, msumbiji na Burundi anakotoka iliwekwa na wakoloni wa Kijerumani.
 
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka waliyorithi kutoka kwa wakoloni

Mataifa mengi ya afrika yalitawaliwa hadi miaka ya 1950 kipindi ambacho mataifa ya afrika yalianza kupata uhuru. Lakini mataifa hayo mengi waliendelea kuenzi mipaka iliyowekwa na wakoloni

Amesema hali ilikuwa tofauti kwa Tanganyika na Zanzibar waliungana kwa hiyari yao na kufanya kutobaki katika mipaka ambayo iliwekwa na wakoloni

Magufuli aliyasema hayo alipokuwa Zanzibar katika mkutano wa kampeni katika viwanja vya Mnazi Mmoja
Magufuli akili yake ni ya hovyo?
 
Tufanyeni serikali moja basi wazanzibari hawatuwezi ni kuamka na kutangaza tu sasa ni serikali moja,tupendeze zaidi.


Kwa nini CCM hawafanyi hayo , wanaogopa kitu gani ???
 
TANGANYIKA na Zanzibar wameunganishwa na malkia wa uingereza.
Muungano wa TANGANYIKA na Zanzibar NI Mali ya queen Elizabeth wa uingereza.
Ndo maana mpaka leo hauwezi kuwasikia wazungu wakiwatetea masheikh wa uhamsho waliotaka kujitenga kwa Zanzibar na TANGANYIKA.
Na hauwezi kusikia kamwe
 
UK na CIA wala kina Magu hawajui sababu hao wababe kusimamia hilo kwa nguvu zote wao kazi yao kusema wataulinda kwa gharama zozote !! Hivi hajuagi hayo mambo weeehuuu ataropoka tuuuu
 
Ila oleksanda ni mweupe sana kichwan...sema ndo ivo tena aliokota pochi ya mzungu,...akawa prezidaa...
 
Kuna haja ya watu kufundishwa historia upya kabla hawajawa viongozi.

Pia angetufafanulia baada ya huo muungano, eneo la Zanzibar kiutawala lilibadilika au ni lilelile waliloachiwa na wakoloni baada ya makubaliano ya Mjerumani na Muingereza?
 
Back
Top Bottom