Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli na Mama Samia Suluhu Hassan kuapishwa kuwa Rais na Makamu wa Rais katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, Novemba 5, 2020

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli na Mama Samia Suluhu Hassan kuapishwa kuwa Rais na Makamu wa Rais katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, Novemba 5, 2020

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Magufuli ataapishwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, Novemba 5, 2020, hafla itakayohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa.

Wananchi wanaopenda kuhudhuria wanakaribishwa kufika uwanjani kabla saa 1 asubuhi.

Dkt. Magufuli wa CCM alitangzwa kuwa mshindi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 28. Pia imemtangaza Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais Mteule.

Dkt. Magufuli ameshinda kwa kupata kura 12,516,252 (sawa na 84.4% ya kura halali). Dkt. Magufuli ambaye pia ni Rais wa Tanzania amepata ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili kama Marais waliotangulia.


1604215746576.png

PIA SOMA:
= >
Uchaguzi 2020 - Tume ya Taifa ya Uchaguzi yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili
 
Asisahau amechaguliwa na wastani wa theluthi moja tu ya Watanzania wote. Wengi hatukupoteza muda wetu kwenda kupanga foleni maana tulishatambua kitambo rafu na dhuluma vitatawala.

Hivyo hana budi kupunguza hulka yake ya kupenda kujimwambafai.
 
Mungu ailinde amani ya nchi yetu.

Nampongeza Magufuli na CCM kwa ushindi huu wa kishindo
 
Asisahau amechaguliwa na wastani wa theluthi moja tu ya Watanzania wote. Wengi hatukupoteza muda wetu kwenda kupanga foleni maana tulishatambua kitambo rafu na dhuluma vitatawala.

Hivyo hana budi kupunguza hulka yake ya kupenda kujimwambafai.
Majinga kama wewe huwa hayaoni aibu kujitokeza na kuonyesha ujinga wenu..hukupiga kura na kura zenu hazijatosha sababu ya mafala kama wewe alafu unapiga kelele za kuibiwa kura humu..
Hivi unajua kiwango cha ujinga ulichonacho?
ulienda shule kunywa uji wa UPE tu wewe, bure kabisa.
 
Majinga kama wewe huwa hayaoni aibu kujitokeza na kuonyesha ujinga wenu..hukupiga kura na kura zenu hazijatosha sababu ya mafala kama wewe alafu unapiga kelele za kuibiwa kura humu..
Hivi unajua kiwango cha ujinga ulichonacho?
ulienda shule kunywa uji wa UPE tu wewe, bure kabisa.
CCM is commiting act of TREASON, daylight TREASON. Mnafanya uhaini.
 
CCM is commiting act of TREASON, daylight TREASON. Mnafanya uhaini.
I feel very sorry for Tundu Lissu, i am a pro JPM guy by i do feel sorry for Tundu Lissu, the poor man is limping desperately trying to convince people like those mofos to vote for him then the mofos come here proudly saying didnt bother to vote but whining and groaning of vote rigging...
Now this is TREASON from hyprocrite bavicha...
 
Wananchi wanaopenda kuhudhuria wanakaribishwa kufika uwanjani kabla saa 1 asubuhi.


Wanaudhuria vipi? Wakati haijatangazwa kama itakua ni public holiday?



Cc: mahondaw
 
I feel very sorry for Tundu Lissu, i am a pro JPM guy by i do feel sorry for Tundu Lissu, the poor man is limping desperately trying to convince people like those mofos to vote for him then the mofos come here proudly saying didnt bother to vote but whining and groaning of vote rigging...
Now this is TREASON from hyprocrite bavicha...

MATAGA kwenye ubora wa hali ya kiwango cha SGR
 
Jambo ambalo hatokuja sahauliwa ni jambo la kuhamisha. Makao makuu ya nchi up to dodoma . Dah aseeeeeeeeeeeeeee. Ni hilo tuuu mambo mengine ni extra.
 
Back
Top Bottom