Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nileteeni Madiwani wachapakazi kama Juma Raibu

zanku

Member
Joined
Jun 9, 2020
Posts
70
Reaction score
152
KAMPENI ZA MAGUFULI MKOANI KILIMANJARO

Nileteeni Madiwani Kama Juma Raibu

Leo katika kampeni zake zinazoendelea Mkoani Kilimanjaro Rais na Mgombea wa CCM Dkt John Pombe Magufuli wakati akiwaombea kura Wagombea wa Udiwani wa CCM amesema anahitaji madiwani wachapakazi za Wananchi wanyonge Kama Juma Raibu.

Rais Magufuli amemsifu Diwani Juma Raibu kwa kufuatilia masuala ya Ardhi wanazodhulumiwa Wananchi wanyonge,akataolea mfano suala Bibi aliedhukumiwa kiwanja chake katika kata ya BomaMbuzi Kisha Diwani huyo akaliibua na kulisimamia mpaka likamfikia Rais Magufuli ambae alimtuma Waziri Lukuvi kuja Kulitatua suala Hilo.

Hivi karibuni Juma Raibu amekuwa akipongezwa kila mahali kutokana na uchapakazi wake usiokuwa na mawaa wala kujikweza.


 
Kwa hiyo Mtei na kimei ni fala ?
Mkuu haya majamaa hayashindi
Picha linaanza kand ya kaskazini(Arush mosh, Tanga) tushachukua kula zetu kanda ya ziwa(Mwanza,geita kwa wasukuma huk) tushachukua kula zetu
.
Hawa jamaa wanaambulia Retweets tuu Manina [emoji23][emoji23]
 
Tutamfundisha yule mropkaji na msaliti wa Nchi October 28

Kuwa Tanzania hatutaki ushoga
Mkuu haya majamaa hayashindi
Picha linaanza kand ya kaskazini(Arush mosh, Tanga) tushachukua kula zetu kanda ya ziwa(Mwanza,geita kwa wasukuma huk) tushachukua kula zetu
.
Hawa jamaa wanaambulia Retweets tuu Manina [emoji23][emoji23]
 
Nileteeni Raibuuuuuuuu
Nileteeni Raibuuuuuuuu
Nileteeni Raibuuuuuuuu
Nileteeni Raibuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…