Dkt. Mhede amefanya nini mwendokasi tangu ateuliwe?

Dkt. Mhede amefanya nini mwendokasi tangu ateuliwe?

Janja weed

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2020
Posts
3,000
Reaction score
5,606
Naomba kujuzwa wanabodi yule Dkt. Mhede aliyepelekwa kule Mwendokasi ameshafanya nini cha maana katika mradi ule? Maana nakumbuka kuna mtu alitumbuliwa pale.
 
Ameanzisha route ya Kibaha, na kwa sasa mambo yanaenda vizuri huko Kama akiwa hatoshi basi mamlaka iliyomteua itaamua vinginevyo ila as for now tuassume yupo vizuri
 
Yaani jamaa aliaamka na bangi bwana.. si akapeleka mwendokasi route ya shekilango road. Mwenyewe baada ya siku tatu akafuta route. Naona anapambana na ya kibaha saiv.
Alafu aliziachia zile za makonda zipo nyingi tu barabarani saiv.
 
Yaani jamaa aliaamka na bangi bwana.. si akapeleka mwendokasi route ya shekilango road. Mwenyewe baada ya siku tatu akafuta route. Naona anapambana na ya kibaha saiv.
Alafu aliziachia zile za makonda zipo nyingi tu barabarani saiv.
bangi tena duh
 
Naomba kujuzwa wanabodi yule Dkt.Mhede aliyepelekwa kule Mwendokasi ameshafanya nini cha maana katika mradi ule, maana nakumbuka kuna mtu alitumbuliwa pale.
Sahivi mwendokasi Haina shida sisi tunaotumia usafiri huu tumeridhika basi za kutosha speed nzuri..hongera kwao wamentain hivihivi..
 
Naomba kujuzwa wanabodi yule Dkt.Mhede aliyepelekwa kule Mwendokasi ameshafanya nini cha maana katika mradi ule, maana nakumbuka kuna mtu alitumbuliwa pale.
Sahivi mwendokasi Haina shida sisi tunaotumia usafiri huu tumeridhika basi za kutosha speed nzuri..hongera kwao wamentain hivihivi..
 
Amejitahidi sana kuboresha aisee ila ajitahidi waanze tena kutangaza vituo ilikua inaongeza sana ubora maana Dar wageni ni wengi na hata watalii pia ambao huu mradi kwao haupo na wakija wanaushangaa na kuona tumepiga hatua kubwa. Nasisitiza waanze tena kutangaza vituo nimeshuhudia watalii wanaulizana na mmoja akimwambia mwenzake naye aliambiwaga vituo vinatangazwa. Msione kama ni kitu kidogo mnaacha kiholela tu wakati haiwaongezei gharama
 
Yaani jamaa aliaamka na bangi bwana.. si akapeleka mwendokasi route ya shekilango road. Mwenyewe baada ya siku tatu akafuta route. Naona anapambana na ya kibaha saiv.
Alafu aliziachia zile za makonda zipo nyingi tu barabarani saiv.
Wakati mwingine try and error katika maisha lazima itumike.
 
Bongo mambo mengi hayaendi sababu wasomi "Washamba" wanapewa kazi ya Kuendesha Miradi mikubwa ya "Kisasa"
 
Pale kwenye garage zao pale jangwani au gerezani asee kuna migari ipo Tu wanasema imeharibika af unakuta watu wanasubirishwa pale hata nusu saa Amna Gari
 
Jamaa Yuko vizuri. Kutoka Kibaha mpaka feri dkk 40. What more do you expect from a state run corporation.
 
Naomba kujuzwa wanabodi yule Dkt. Mhede aliyepelekwa kule Mwendokasi ameshafanya nini cha maana katika mradi ule? Maana nakumbuka kuna mtu alitumbuliwa pale.
Hajafanya kitu chochote. Kwa hiyo ninakuomba uje ofisini kwangu kesho uchukue barua ya uteuzi kuanzia kesho unam-replace. Hiyo nafasi unaichukua wewe kuanzia kesho
 
acheni mnyalu wawatu apumzike akili imkae sawa kutoka kupokea million 15 Hadi 3milion nijambo linahtaji kidogo mapinduzi yakiakili
unfikiri mishahara ya watumishi wa umma inashuka kama kumsukuma mlevi....., analipwa hela ileile alokuwa analipwa tra mradi hakujihamisha, alihamishwa na mamlaka, anachokosa ni posho tu TRA n sasa anakula za UDART!
 
Amejitahidi sana kuboresha aisee ila ajitahidi waanze tena kutangaza vituo ilikua inaongeza sana ubora maana Dar wageni ni wengi na hata watalii pia ambao huu mradi kwao haupo na wakija wanaushangaa na kuona tumepiga hatua kubwa. Nasisitiza waanze tena kutangaza vituo nimeshuhudia watalii wanaulizana na mmoja akimwambia mwenzake naye aliambiwaga vituo vinatangazwa. Msione kama ni kitu kidogo mnaacha kiholela tu wakati haiwaongezei gharama
Shida hapo ni system ya umeme kwenye hayo magari ila kwa usemalo lina mashiko ndani yake
 
Hamna kitu mnampalilia tu mradi wa mwendokasi unatakiwa uwe wa awamu sita kwa Jiji la Dar es Salaam pekee, sasa hata hiyo ya pili Mbagala inasuasua licha ya Rais kutaka ikamilishwe mapema, Gongolamboto ndio kwaanza hata hakuna kilichoanza kujengwa , nauli wanakusanya na mitiketi ya makaratasi kama kawaida , yule mzee aliyetumbuliwa alitumbuliwa kutokana na kuvuja kwa mapato sasa huyu mnayemfagilia kafanya nini? kadi za kulipia nauli hakuna, mabasi mapya hata wameshindwa kuyaandika routes, vibao vya mkaa ndio vimewekwa ni aibu. Miradi kama hiii ya kimkakati haihitaji siasa kabisaaaa, wala kujigamba .
 
Back
Top Bottom