Dkt. Mollel: Asiwepo Mtanzania ambaye atakosa huduma za Afya Hospitali kwa kukosa fedha

Dkt. Mollel: Asiwepo Mtanzania ambaye atakosa huduma za Afya Hospitali kwa kukosa fedha

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya, amegiza Vituo vya Afya na Hospitali kuwa kusiwepo na Mtanzania yeyote atakayekosa huduma za afya kwa sababu ya kukosa fedha.

Tamko hilo amelitoa leo Februari 7 wakati akijibu swali la nyongeza Bungeni kuhusu hali ya huduma za afya nchini.

 
Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya, amegiza Vituo vya Afya na Hospitali kuwa kusiwepo na Mtanzania yeyote atakayekosa huduma za afya kwa sababu ya kukosa fedha.

Tamko hilo amelitoa leo Februari 7 wakati akijibu swali la nyongeza Bungeni kuhusu hali ya huduma za afya nchini.
Anataka kushindana na Chalamila? By the way kama ilishindikana wakati wa USAID wataweza leo?
 
Serikali inaagiza au inatakiwa kuagizwa
 
Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya, amegiza Vituo vya Afya na Hospitali kuwa kusiwepo na Mtanzania yeyote atakayekosa huduma za afya kwa sababu ya kukosa fedha.

Tamko hilo amelitoa leo Februari 7 wakati akijibu swali la nyongeza Bungeni kuhusu hali ya huduma za afya nchini.

Hawa wazee siasa nyingii kwenye huduma serious
 
Back
Top Bottom