Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya, amegiza Vituo vya Afya na Hospitali kuwa kusiwepo na Mtanzania yeyote atakayekosa huduma za afya kwa sababu ya kukosa fedha.
Tamko hilo amelitoa leo Februari 7 wakati akijibu swali la nyongeza Bungeni kuhusu hali ya huduma za afya nchini.
Tamko hilo amelitoa leo Februari 7 wakati akijibu swali la nyongeza Bungeni kuhusu hali ya huduma za afya nchini.