Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ulikuwa uteuzi wa Rais Samia au uteuzi wa state?

Katiba inasemaje
Acheni kujjtungia maneno
 
Ujumbe ulifika kutokea Karagwe ukapitia Kongwa na ukamalizikia Ruangwa watumiwa ujumbe wawili tayari wamepewa dose yao mmoja wanammalizia October.
Hivi zile lakini alizozitamka Mara tatu na akajizuia kulitamka Jambo lile ..... Ujumbe ulishawafikia wahusika ?
 
Ujumbe ulifika kutokea Karagwe ukapitia Kongwa na ukamalizikia Ruangwa watumiwa ujumbe wawili tayari wamepewa dose yao mmoja wanammalizia October.
Nyongo ya Mamba Ina lala nao hata ukigoma kulala.
 
Alipewa achague ila usiulize kapawa na nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…