Pre GE2025 Dkt. Mpango: Nimeamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia

Pre GE2025 Dkt. Mpango: Nimeamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema baada ya kutumika vya kutosha katika nafasi mbalimbali serikalini, ameamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan.

1739286053923.png

Mbali na umakamu wa Rais, amesema amefanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tume ya Mipango, Waziri wa Fedha na Mipango, Benki ya Dunia (WB) na Julai 2025 atafikisha miaka 68, hivyo inatosha.

"Ni uamuzi ambao nimefanya kwa dhati, Watanzania tunakimbilia milioni 64, nina amini kabisa kuna Watanzania ambao ni vijana wanaweza kubeba mzigo wa kumsaidia Rais kikamilifu bila wasiwasi na chaguo lililofanywa na chama chetu ni chaguo sahihi," amesema.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Dkt. Mpango amesema hayo leo Jumanne, Februari 2025 jijini Arusha alipofungua kikao kazi cha tano cha Mamlaka ya Serikali Mtandao.

Dkt. Mpango ameomba kupumzika kuendelea na wadhifa huo baada ya awamu hii ya sita kumaliza na Chama cha Mapinduzi (CCM), kimempitisha Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.


Soma, Pia:
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema baada ya kutumika vya kutosha katika nafasi mbalimbali serikalini, ameamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan.


Mbali na umakamu wa Rais, amesema amefanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tume ya Mipango, Waziri wa Fedha na Mipango, Benki ya Dunia (WB) na Julai 2025 atafikisha miaka 68, hivyo inatosha.

"Ni uamuzi ambao nimefanya kwa dhati, Watanzania tunakimbilia milioni 64, nina amini kabisa kuna Watanzania ambao ni vijana wanaweza kubeba mzigo wa kumsaidia Rais kikamilifu bila wasiwasi na chaguo lililofanywa na chama chetu ni chaguo sahihi," amesema.

Dkt. Mpango amesema hayo leo Jumanne, Februari 2025 jijini Arusha alipofungua kikao kazi cha tano cha Mamlaka ya Serikali Mtandao.

Dkt. Mpango ameomba kupumzika kuendelea na wadhifa huo baada ya awamu hii ya sita kumaliza na Chama cha Mapinduzi (CCM), kimempitisha Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

Soma, Pia:
Huwezi kuchanganya kanga na kuku, wakikua kanga wanajitenga na kuku wanajuana tu.
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema baada ya kutumika vya kutosha katika nafasi mbalimbali serikalini, ameamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan.


Mbali na umakamu wa Rais, amesema amefanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tume ya Mipango, Waziri wa Fedha na Mipango, Benki ya Dunia (WB) na Julai 2025 atafikisha miaka 68, hivyo inatosha.

"Ni uamuzi ambao nimefanya kwa dhati, Watanzania tunakimbilia milioni 64, nina amini kabisa kuna Watanzania ambao ni vijana wanaweza kubeba mzigo wa kumsaidia Rais kikamilifu bila wasiwasi na chaguo lililofanywa na chama chetu ni chaguo sahihi," amesema.

Dkt. Mpango amesema hayo leo Jumanne, Februari 2025 jijini Arusha alipofungua kikao kazi cha tano cha Mamlaka ya Serikali Mtandao.

Dkt. Mpango ameomba kupumzika kuendelea na wadhifa huo baada ya awamu hii ya sita kumaliza na Chama cha Mapinduzi (CCM), kimempitisha Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

Soma, Pia:
CHANZO: Mwananchi
Patriot
 
Tunaokufahamu hatujashangazwa
Wewe ni mzalendo kweli (usingeyaweza, yavulimia).
 
Mazaliwa YY anangoja NN?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema baada ya kutumika vya kutosha katika nafasi mbalimbali serikalini, ameamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan.


Mbali na umakamu wa Rais, amesema amefanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tume ya Mipango, Waziri wa Fedha na Mipango, Benki ya Dunia (WB) na Julai 2025 atafikisha miaka 68, hivyo inatosha.

"Ni uamuzi ambao nimefanya kwa dhati, Watanzania tunakimbilia milioni 64, nina amini kabisa kuna Watanzania ambao ni vijana wanaweza kubeba mzigo wa kumsaidia Rais kikamilifu bila wasiwasi na chaguo lililofanywa na chama chetu ni chaguo sahihi," amesema.

Dkt. Mpango amesema hayo leo Jumanne, Februari 2025 jijini Arusha alipofungua kikao kazi cha tano cha Mamlaka ya Serikali Mtandao.

Dkt. Mpango ameomba kupumzika kuendelea na wadhifa huo baada ya awamu hii ya sita kumaliza na Chama cha Mapinduzi (CCM), kimempitisha Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

Soma, Pia:
CHANZO: Mwananchi
Barua Iko wapi!?
 
Atakuwa amenusa kitu cha aibu mbele ya safari.
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema baada ya kutumika vya kutosha katika nafasi mbalimbali serikalini, ameamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan.


Mbali na umakamu wa Rais, amesema amefanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tume ya Mipango, Waziri wa Fedha na Mipango, Benki ya Dunia (WB) na Julai 2025 atafikisha miaka 68, hivyo inatosha.

"Ni uamuzi ambao nimefanya kwa dhati, Watanzania tunakimbilia milioni 64, nina amini kabisa kuna Watanzania ambao ni vijana wanaweza kubeba mzigo wa kumsaidia Rais kikamilifu bila wasiwasi na chaguo lililofanywa na chama chetu ni chaguo sahihi," amesema.

Dkt. Mpango amesema hayo leo Jumanne, Februari 2025 jijini Arusha alipofungua kikao kazi cha tano cha Mamlaka ya Serikali Mtandao.

Dkt. Mpango ameomba kupumzika kuendelea na wadhifa huo baada ya awamu hii ya sita kumaliza na Chama cha Mapinduzi (CCM), kimempitisha Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.
View attachment 3233654

Soma, Pia:
CHANZO: Mwananchi
Ukiwa na dhamira ya dhati na nchi hii huwezi kufanya kazi na serikali hii iliyojaa matapeli
 
Back
Top Bottom