Dkt Mpango: Nimestushwa na taarifa ya kupigwa kwa fedha za wakulima wa tumbaku Takribani Bilioni 1.2

Dkt Mpango: Nimestushwa na taarifa ya kupigwa kwa fedha za wakulima wa tumbaku Takribani Bilioni 1.2

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Makamu wa Rais ameoneshwa kusikitishwa Kwa ulaji huo wa pesa za wakulima ukiofanywa na Watumishi Kwa kushirikiana na Maofisa wa NMB na watu wengine 15.

Waziri wa Kilimo amesema amechukua hatua zikiwamo.kuwasimamisha kazi waliotajwa huku VP Mpango akimtaka kuchukua hatua zaidi Kwa kushirikiana na Vyombo vya Dola.
---

20241011_193048.jpg
Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ikihusisha watumishi wa umma na wengine 15 na Afisa Mikopo wa Benki ya NMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.

Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.

Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.

"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu waNMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.

Soma Pia: Masasi: Waziri Bashe aagiza diwani wa CCM kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kutafuna fedha za wakulima milioni 139

Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.

Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.

"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu wa NMB huyu Afisa Mikopo Tabora aliyekula njama za wizi huu asimamishwe kazi mara moja na watumishi wa umma wote waliopiga fedha hizo na wengine kuhamishwa wasakwe na kushikiliwa

My Take
Tanzania ina jamii ya watu wanaoona wizi ni ujanja na kwamba bila kuchukua hatua Kali zaidi ufisadi hauwezi kuisha maana ni chain.👇👇

View: https://youtu.be/-33KNsZ131g?si=VPygbtXlJKAlxEEs
 
Makamu wa Rais ameoneshwa kusikitishwa Kwa ulaji huo wa pesa za wakulima ukiofanywa na Watumishi Kwa kushirikiana na Maofisa wa NMB na watu wengine 15.

Waziri wa Kilimo amesema amechukua hatua zikiwamo.kuwasimamisha kazi waliotajwa huku VP Mpango akimtaka kuchukua hatua zaidi Kwa kushirikiana na Vyombo vya Dola.
---

Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ikihusisha watumishi wa umma na wengine 15 na Afisa Mikopo wa Benki ya NMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.

Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.

Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.

"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu waNMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.

Soma Pia: Masasi: Waziri Bashe aagiza diwani wa CCM kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kutafuna fedha za wakulima milioni 139

Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.

Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.

"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu wa NMB huyu Afisa Mikopo Tabora aliyekula njama za wizi huu asimamishwe kazi mara moja na watumishi wa umma wote waliopiga fedha hizo na wengine kuhamishwa wasakwe na kushikiliwa

My Take
Tanzania ina jamii ya watu wanaoona wizi ni ujanja na kwamba bila kuchukua hatua Kali zaidi ufisadi hauwezi kuisha maana ni chain.
Aarndelea kushtushwa mpaka lini?
 
Makamu wa Rais ameoneshwa kusikitishwa Kwa ulaji huo wa pesa za wakulima ukiofanywa na Watumishi Kwa kushirikiana na Maofisa wa NMB na watu wengine 15.

Waziri wa Kilimo amesema amechukua hatua zikiwamo.kuwasimamisha kazi waliotajwa huku VP Mpango akimtaka kuchukua hatua zaidi Kwa kushirikiana na Vyombo vya Dola.
---

Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ikihusisha watumishi wa umma na wengine 15 na Afisa Mikopo wa Benki ya NMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.

Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.

Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.

"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu waNMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.

Soma Pia: Masasi: Waziri Bashe aagiza diwani wa CCM kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kutafuna fedha za wakulima milioni 139

Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.

Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.

"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu wa NMB huyu Afisa Mikopo Tabora aliyekula njama za wizi huu asimamishwe kazi mara moja na watumishi wa umma wote waliopiga fedha hizo na wengine kuhamishwa wasakwe na kushikiliwa

My Take
Tanzania ina jamii ya watu wanaoona wizi ni ujanja na kwamba bila kuchukua hatua Kali zaidi ufisadi hauwezi kuisha maana ni chain.
Anashtushwa nini wakati huu wizi unainufaisha CCM? Si angeanzia na reports za CAG?
 
Waziri wa Kilimo amesema amechukua hatua zikiwamo.kuwasimamisha kazi waliotajwa huku VP Mpango akimtaka kuchukua hatua zaidi Kwa kushirikiana na Vyombo vya Dola.
Mambo mengine ni kusoma na kucheka kwa machungu na kuyaacha yalivyo. Huenda siku moja, haya haya ndiyo yatakayo tusaidia kuondokana na adha ya tawala za aina hii.

Dr. Mpango, umetimiza wajibu wako. Tuendelee na mengine.
 
Aarndelea kushtushwa mpaka lini?
[emoji23][emoji23] ila mzee mpango tumuacheni na tuendelee kumuombea mzee wa watu hana shida ana hofu kubwa ya Mungu.
Wasengeh ni hawa wengine..kama huyo mwingine pemben yake hapo anajifanya kuongea kwa jazba mbona yeye kapiga ufisadi kwenye sukari shilingi 300 kwenye tani milioni 800.
 
Hata hasemi wamepigaje hizo hela. Kwa haraka nachofahamu mfumo wa tumbaku upo wazi sana. Pia kupiga hela ya mkulima sio rahisi kama anavyotaka kutuambia.

Kama wizi ulifanyika, ni suala ambalo halikuwa linamsubiria yeye. Toka mauzo ya tumbaku yameanza ameenda mara ngapi huko hajawi kusema.

Aache kupooza kashfa zake za sukari kwa kujifanya anauchungu na wakulima wa tumbaku.
Afu asitishe wakulima kuwa anamamlaka ya kufuta ushirika. Nani alyemwambia kufuta ushirika ndiyo mwisho wa kilimo?

vyama vingapi vya ushirika vilikufa na kilimo kiliendelea. Aachane na wakulima kama anashindwa kusimamia wizara ya kilimo, aende wizara nyingine huko.
Mpaka sasa mbegu na mbolea bado ni changamoto yeye anazurura tu.
 
Tanzania ina jamii ya watu wanaoona wizi ni ujanja na kwamba bila kuchukua hatua Kali zaidi ufisadi hauwezi kuisha maana ni chain.
Tena jamii ya watanzania inamshangaa na kumnanga asiyeiba
 
Back
Top Bottom