Hajazuiliwa kununua kama Hela ameipata halali.kama ni Hela Yako ni ruksa kununua mahekalu hata Washington au popote dunianiSioni ajabu ya haya mambo ikiwa afisa wa ikulu 'anatuhumiwa' kununua hekalu la mabilioni Masaki na ni mtu wa kulipwa mshahara.
Baada ya wewe kushtushwa na mimi pia nimeshtushwa.Hata mimi nimeshtushwa baada ya kuona VP ameshtushwa
Muanzisha Uzi na lile jinga lenzako Lucas Mwashambwa endeleeni kulamba makalio ya wapigaji na mshtushwe zaidiMakamu wa Rais ameoneshwa kusikitishwa Kwa ulaji huo wa pesa za wakulima ukiofanywa na Watumishi Kwa kushirikiana na Maofisa wa NMB na watu wengine 15.
Waziri wa Kilimo amesema amechukua hatua zikiwamo.kuwasimamisha kazi waliotajwa huku VP Mpango akimtaka kuchukua hatua zaidi Kwa kushirikiana na Vyombo vya Dola.
---
Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ikihusisha watumishi wa umma na wengine 15 na Afisa Mikopo wa Benki ya NMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.
Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.
Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.
"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu waNMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.
Soma Pia: Masasi: Waziri Bashe aagiza diwani wa CCM kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kutafuna fedha za wakulima milioni 139
Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.
Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.
"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu wa NMB huyu Afisa Mikopo Tabora aliyekula njama za wizi huu asimamishwe kazi mara moja na watumishi wa umma wote waliopiga fedha hizo na wengine kuhamishwa wasakwe na kushikiliwa
My Take
Tanzania ina jamii ya watu wanaoona wizi ni ujanja na kwamba bila kuchukua hatua Kali zaidi ufisadi hauwezi kuisha maana ni chain.
Alishapata mgao wake, ukiona msomali anapiga kelele ujue kwenye mgao hayumoHuyo Bashe atwambie waliopoga bilioni 7 za Karagwe kesi iliishia wapi?
Wengine machozi yamewabubujikwaaa πBaada ya wewe kushtushwa na mimi pia nimeshtushwa.
Nikishamaliza kushtuka nitabubujikwa na machozi na kugaragara.
Asante.
Hatuna ungozi kama Mimi raia naibiwa fedha na watumishi wa umma harafu kiongozi anaishia kusema ameshitushwaMakamu wa Rais ameoneshwa kusikitishwa Kwa ulaji huo wa pesa za wakulima ukiofanywa na Watumishi Kwa kushirikiana na Maofisa wa NMB na watu wengine 15.
Waziri wa Kilimo amesema amechukua hatua zikiwamo.kuwasimamisha kazi waliotajwa huku VP Mpango akimtaka kuchukua hatua zaidi Kwa kushirikiana na Vyombo vya Dola.
---
Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ikihusisha watumishi wa umma na wengine 15 na Afisa Mikopo wa Benki ya NMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.
Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.
Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.
"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu waNMB waliopiga fedha za tumbaku zaidi ya shilingi bilioni 1.2 mkoani Tabora.
Soma Pia: Masasi: Waziri Bashe aagiza diwani wa CCM kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kutafuna fedha za wakulima milioni 139
Akizungumza wakati wa kuhitimisha ziara yake ya siku 4 mkoani humo Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema, ameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Waziri Bashe na anaagiza hatua za uchunguzi kufanyika na vyombo vya dola viwasake waliohusika.
Amesema fedha hizo zilizopigwa ni mikopo ya wakulima wa Kisanga Amcos Sikonge mkoani Tabora.
"Asante Waziri Bashe kwa kulipua hili na hongera kwa kuchukua hatua kwako kwa kuwasimamisha kazi maafisa kilimo na ushirika, namuagiza Mtenda Mkuu wa NMB huyu Afisa Mikopo Tabora aliyekula njama za wizi huu asimamishwe kazi mara moja na watumishi wa umma wote waliopiga fedha hizo na wengine kuhamishwa wasakwe na kushikiliwa
My Take
Tanzania ina jamii ya watu wanaoona wizi ni ujanja na kwamba bila kuchukua hatua Kali zaidi ufisadi hauwezi kuisha maana ni chain.
Kwani lini Watumishi wa Umma hawakuwahi kuwaibia pesa?Hatuna ungozi kama Mimi raia naibiwa fedha na watumishi wa umma harafu kiongozi anaishia kusema ameshitushwa
Hukumu ndio Haki ya mdaiAkishashtuka,
Na wakiwachukulia hatua
What's next?
Wakulima wanapewa hela nyingine au ndio imetoka?
Baada ya kustushwa kilichofuatia ni ππDuuuuh! Makamu wa rais anashtushwa na wizi? Kwahyo baada ya kushtuka? Ataamka usingizini au ataendelea kulalaππ
Nilitegemea kuona hatua kali zimechukuliwa dhidi ya wezi. Kumbe ameshtuka tu.
Any way nashukuru hata nmepata taarfa ya makamu wa rais maana toka mei mosi mwaka huu sijawahi kusikia habari zake wala ziara yake yyte ile.
Huyu mzee kapoa saana dah.