Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Tujikumbukushe Mwakyembe alipokua anawapa Ngumbaru wenzetu makavu live kuhusu elimu yake ya PhD bila kupindisha. Dkt. tutakukumbuka daima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiburi cha madaraka ni kansa ya Taifa.Tujikumbukushe Mwakyembe alipokua anawapa Ngumbaru wenzetu makavu live kuhusu elimu yake ya PhD bila kupindisha. Dr tutakukumbuka daima
View attachment 2646438
Duh, mbona imekuwa ghafla sana?Tujikumbukushe Mwakyembe alipokua anawapa Ngumbaru wenzetu makavu live kuhusu elimu yake ya PhD bila kupindisha. Dr tutakukumbuka daima
View attachment 2646438
Ametu from nini?Katutoka?
Ikawaje? Wengi waliahidiwa PM wakashangazishwaDr kidogo aukwae Uwaziri Mkuu 2015
chezea jiwe wewe!Ikawaje? Wengi waliahidiwa PM wakashangazishwa
PoleMzee wa digrii nne sijamsikia kitambo.
Wahenga walisema "Kiburi si maungwana"Tujikumbukushe Mwakyembe alipokua anawapa Ngumbaru wenzetu makavu live kuhusu elimu yake ya PhD bila kupindisha. Dr tutakukumbuka daima
View attachment 2646438
Uchawi ni Elimu pia na ndiyo maana na wao Wana vyeo kulingana na level ya mafunzo ya kichawi.Kiburi cha madaraka ni kansa ya Taifa.
Wachawi wanaowarogezea wapate vyeo wamefikia level gani ya elimu?