Acha kudanganya jamii kwani hakuna Mwaipopos anayeweza kuwa na hata robo ya Mweles IQ na kama kuna hata mmmoja unayemjua tuambie tukusaidie kuchambua
Aiseeee !!!Sizungumzii any other Mwaipopo nazungumzia IQ ya Ezelina Mwaipopo; Former Senior State Attorney, mama yake Mwele!!! Umeelewa? Hao wengine unawajua wewe!!
Wacha weeee !!Mabeberu wanataka kumtumia waje kuotesha ugonjwa mwingine tena kama walivyotaka kuleta zika na ebola...wakadunda kwa jemedari.
Kweli kabisa, propaganda za mabeberu siyo za kitoto, tusije kutangaziwa ugonjwa mwingine...a new disease found in bongoland.Wacha weeee !!
Una fikra za kizamani mnoKweli kabisa, propaganda za mabeberu siyo za kitoto, tusije kutangaziwa ugonjwa mwingine...a new disease found in bongoland.
Sawa mama, walioishi zamani nao watu...Una fikra za kizamani mno
mtishaji kishajiondokea.Mkurugenzi wa Magonjwa ya kitropiki kutoka WHO , Dr Mwele Malecela amesema wataalamu wa sekta mbalimbali wafanye kazi kwa kuzingatia weledi bila woga
Dr Mwele kwa sasa anafanya kazi Makao Makuu ya WHO Geneva Uswisi , amesema wataalamu waachwe wafanye kazi kwa weledi ili kupata matokeo chanya dhidi ya ugonjwa wa corona .
Amempongeza Rais Samia kwa hatua anazochukua katika kudhibiti ugonjwa wa Corona .
Chanzo : Mwananchi .
Pia soma;
Thread 'Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela' Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela
Thread 'Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika' Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika
Magu alikuwa ana Roho mbaya sana na chuki,,Mwele akilala usiku anatokewa na malaika mkuu kutoka Chato.
Ama kweli malaika mkuu alimchukia huyu dada. Eti Mwele kahongwa na mabeberu...dah! Malaika mkuu alikuwa ni kiboko kwa uongo na uzushi.
Tatizo WHO inatumiwa na mabeberu ili kukidhi haja yao! Kwa mabeberu Mwele hana ujanja wala tusidanganyane! Wanamlipa mshahara kupitia michango yao mikubwa kwa WHO! Linapokuja suala lenye maslahi kwa mabeberu hapo hakuna cha weledi wala baba yake na weledi!Ndivyo mtaalamu anavyotakiwa kuisimamia, kuifafanua, kuelekeza na pia kushauri bila woga.
Mabeberu ni akina nani ?Tatizo WHO inatumiwa na mabeberu ili kukidhi haja yao! Kwa mabeberu Mwele hana ujanja wala tusidanganyane! Wanamlipa mshahara kupitia michango yao mikubwa kwa WHO! Linapokuja suala lenye maslahi kwa mabeberu hapo hakuna cha weledi wala baba yake na weledi!
Hapo kenya kuna wataalamu kuwazidi wabongo, kafanye utafiti wako upya....Wataalam wa bongo kibongobongo....hivi tuna wataalamu wakuweza kuwaweka jukwaa moja na wataalamu let say hata wa hapo kenya kweli...yaani ukaweka hoja mezani halafu uweke mpambano wa uchambuzi kabisa yaaani. Tuache kuzinguana bana.
wengi wanaongea kiushabiki kuomyesha chuki kwa JPM huyu mama alitumika na mabeberu ndio maana alipotemwa tu kesho yake akanyanyuliwa hana kichwa chochoteWakenya wameacha kumtumia kutangaza dengue?
Kwakweli huyo ni kichwa cha kurithi kutoka kwa marehemu mama yake aliyetokea Tukuyu - Mbeya. Ana tabia/DNA zoote za BANYAMBALA such as; akili nyingi kichwani, kujiamini, hulka yake ya uongozi ni nzuri, kutoyumbishwa, kutokuwa mnafiki, kutojipendekeza n.kAmerithi kichwa cha marehemu mama yake binti Mwaipopo!!! DNA ya BANYAMBALA.