Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Na wazalendo si wanasema Coroda imeombewa, haipo!wengi wanaongea kiushabiki kuomyesha chuki kwa JPM huyu mama alitumika na mabeberu ndio maana alipotemwa tu kesho yake akanyanyuliwa hana kichwa chochote
Na uzuri alipata kazi uswisi kabla mjp hajafariko ivyo akajioneaHuyu mama alipigwa chura na mwendazake.Kupigwa chura means kufukuzwa kwa kudhalilisha ikiwa na maana uharibikiwe kabisa upoteze direction lakini Mungu anakuinuia zaidi ya ulivyokuwa ni lazima aliyekupiga chura ateseke Sana.Ni SAwa na mwanamke kakuacha kisa huna pesa baada ya kukuacha pesa zikakutembelea mara mia zaidi huwa wanaumia Sana.
Huyu mama kusema ukweli alizingua mno, kwa nafasi yake kama mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti hakutakiwa kutoa taarifa sensitive Kama hizo za uwepo wa ugonjwa wa Zika bila kushauliana na wizara husika, na mwenye mandate ya kulitangazia Taifa kuhusu uwepo wa ugonjwa ni waziri husika.Huyu mama alipigwa chura na mwendazake.Kupigwa chura means kufukuzwa kwa kudhalilisha ikiwa na maana uharibikiwe kabisa upoteze direction lakini Mungu anakuinuia zaidi ya ulivyokuwa ni lazima aliyekupiga chura ateseke Sana.Ni SAwa na mwanamke kakuacha kisa huna pesa baada ya kukuacha pesa zikakutembelea mara mia zaidi huwa wanaumia Sana.
Mabeberu ni akina nani ?wengi wanaongea kiushabiki kuomyesha chuki kwa JPM huyu mama alitumika na mabeberu ndio maana alipotemwa tu kesho yake akanyanyuliwa hana kichwa chochote
Kwa hiyo huyo ni Ipopo?Amerithi kichwa cha marehemu mama yake binti Mwaipopo!!! DNA ya BANYAMBALA.
Kwa hiyo huyo ni Ipopo?
Lkn si upoHuyu mama kusema ukweli alizingua mno, kwa nafasi yake kama mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti hakutakiwa kutoa taarifa sensitive Kama hizo za uwepo wa ugonjwa wa Zika bila kushauliana na wizara husika, na mwenye mandate ya kulitangazia Taifa kuhusu uwepo wa ugonjwa ni waziri husika.
Sema ndo hivyo wanasiasa walimbeba na kumfanya asionekane na hatia kwa faida zao kisiasa.
Jembe baada ya JPM kwenda zake! Ahahahahahahahaj!Dr. Mwele jembe sana
Magu alikuwa ana Roho mbaya sana na chuki kuliko SHETANI, halafu akawa anatamani kujipigia debe apate kuwa Mkuu wa Malaika.Magu alikuwa ana Roho mbaya sana na chuki,,
Hatma yake imefupisha uhai wake
Jembe la kitu gani? Miaka yote akiwa NIMR aliishia kusafiri na kufuiata wanaume US tu! Hakuna lolote, chochote kilichofanyika.Dr. Mwele jembe sana
Kwani hiyo zika bado anaiona nchini? Au ilikuwa nyumbani kwao tu!Mkurugenzi wa Magonjwa ya kitropiki kutoka WHO , Dr Mwele Malecela amesema wataalamu wa sekta mbalimbali wafanye kazi kwa kuzingatia weledi bila woga.
Dr Mwele kwa sasa anafanya kazi Makao Makuu ya WHO Geneva Uswisi , amesema wataalamu waachwe wafanye kazi kwa weledi ili kupata matokeo chanya dhidi ya ugonjwa wa corona.
Amempongeza Rais Samia kwa hatua anazochukua katika kudhibiti ugonjwa wa Corona.
Chanzo : Mwananchi .
Pia soma;
Thread 'Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela' Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela
Thread 'Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika' Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika
Hana ujembe wowote kabebwabebwa sana huyu hana jipya,anatafuta attention tuMkurugenzi wa Magonjwa ya kitropiki kutoka WHO , Dr Mwele Malecela amesema wataalamu wa sekta mbalimbali wafanye kazi kwa kuzingatia weledi bila woga.
Dr Mwele kwa sasa anafanya kazi Makao Makuu ya WHO Geneva Uswisi , amesema wataalamu waachwe wafanye kazi kwa weledi ili kupata matokeo chanya dhidi ya ugonjwa wa corona.
Amempongeza Rais Samia kwa hatua anazochukua katika kudhibiti ugonjwa wa Corona.
Chanzo : Mwananchi .
Pia soma;
Thread 'Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela' Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela
Thread 'Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika' Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika
Kwa hiyo anasema TZ bado kuna Zika?Ndivyo mtaalamu anavyotakiwa kuisimamia, kuifafanua, kuelekeza na pia kushauri bila woga.
Afadhali umetukumbusha sarakasi la ugomjwa Wa zika! Ilikuwa tuliwe kichwa!! Tumshuru hayati kwa kusimama imara!! Kibaraka wao akagonga mwamba, wakamliwaza kwa kumpà post ya kimatàifa!!Mabeberu wanataka kumtumia waje kuotesha ugonjwa mwingine tena kama walivyotaka kuleta zika na ebola...wakadunda kwa jemedari.
kaenda kuwa kiongozi wa malaika uko kuzimuMagu alikuwa ana Roho mbaya sana na chuki kuliko SHETANI, halafu akawa anatamani kujipigia debe apate kuwa Mkuu wa Malaika.
Sasa hiyo wapi na wapi?
Naona ulikuwa sahihi, maana malaika mkuu keshamuita kwenye gwaride la parapandani.Mwele akilala usiku anatokewa na malaika mkuu kutoka Chato.
Ama kweli malaika mkuu alimchukia huyu dada. Eti Mwele kahongwa na mabeberu...dah! Malaika mkuu alikuwa ni kiboko kwa uongo na uzushi.
Huyu Malecela wenu yeye kaenda kuwa nani? Wewe mwenyewe ni marehemu mtarajiwa.kaenda kuwa kiongozi wa malaika uko kuzimu