Uchaguzi 2020 Dkt. Mwele Ntuli Malecela anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Dkt. Mwele Ntuli Malecela anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2020

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,448
Reaction score
7,972
2020 Oktoba hatufanyi makosa kuwachagua watu ambao wamelifanya Taifa la Tanzania kama kisiwa, hatutaki viongozi ambao wanaingilia kazi za wataalamu.

Dr Mwele, huyu mama anafaa kabisa kuwa kiongozi, Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Diplomasia ya nchi yetu ipo chini sana, tunasuguana na mataifa ya nje na taasisi za kimataifa kitu ambacho si kizuri katika uchumi wa nchi.

Kwa kipindi cha miaka 5 Taifa limepoteza mwelekeo, hatuna sera, tunachukua hili likishindikana mabeberu wananyonshewa vidole kumbe kama nchi imekosa plan.

Tanzania bora,yenye uchumi imara inakuja kama huyu Mama atakuwa Rais wa Tanzania.

Dr Mwele karibu Tanzania, wewe ndo mama usiye ogopa chochote, mwanamke imara,unafaa kuwa Rais wa Tanzania kwa sasa, tunakuhitaji Oktoba.

Wanawake tutakusapoti na una kura nyingi za vijana na akina mama.

Oktoba 2020 twende na Dr Mwele Malecela.

Nitashangaa kama kanda ya kati watampinga huyu mama na huku Kanda ya ziwa ni mbele kwa mbele.
 
Yuko chama gani? Huyo Mama

Natamani one day Tz tupate kiongozi mwanamke


Wazee wa patriarchal lazima wakupinge.
 
2020 Oktoba hatufanyi makosa kuwachagua watu ambao wamelifanya Taifa la Tanzania kama kisiwa,hatutaki viongozi ambao wanaingilia kazi za wataalamu.

Dr Mwele,huyu mama anafaa kabisa kuwa kiongozi,Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Diplomasia ya nchi yetu ipo chini sana,tunasuguana na mataifa ya nje na taasisi za kimataifa kitu ambacho si kizuri katika uchumi wa nchi.

Kwa kipindi cha miaka 5 Taifa limepoteza mwelekeo,hatuna sera, tunachukua hili likishindikana mabeberu wananyonshewa vidole kumbe kama nchi imekosa plan.

Tanzania bora,yenye uchumi imara inakuja kama huyu Mama atakuwa Rais wa Tanzania.

Dr Mwele karibu Tanzania,wewe ndo mama usiye ogopa chochote,mwanamke imara,unafaa kuwa Rais wa Tanzania kwa sasa,tunakuhitaji Oktoba.

Wanawake tutakusapoti na una kura nyingi za vijana na akina mama

Oktoba 2020 twende na Dr Mwele Malicela

Nitashangaa kama kanda ya kati watampinga huyu mama na huku Kanda ya ziwa ni mbele Kwa mbele
Tanzania bado haiko tayari kwa rais mwanamke, hata wewe hautampigia kura!
 
Kwani ulikuwa haupo,mbona watu wanapukutika na huku mnasema Tanzania hatuna wagonjwa wa corona
Unaweza kumtaja aliyesema Tanzania hakuna Corona? Ninacho jua Tanzania Corona ipo Ila imepungua, ukumbuke kabla ya Corona watu walikua wanakufa au vifo vya magonjwa mengine vimesimama na kuipisha Corona!! Au ndio tuwasikilize Marekani wanao sema Hospitali Dar zimefurika wagonjwa wa Corona?

Sent from my moto g(7) play using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kumtaja aliyesema Tanzania hakuna Corona? Ninacho jua Tanzania Corona ipo Ila imepungua, ukumbuke kabla ya Corona watu walikua wanakufa au vifo vya magonjwa mengine vimesimama na kuipisha Corona!! Au ndio tuwasikilize Marekani wanao sema Hospitali Dar zimefurika wagonjwa wa Corona?

Sent from my moto g(7) play using JamiiForums mobile app
Ndo maana wanasema serikali ya Tanzania inaongoza Kwa kusema uongo
 
Mlikuwa mkivuna hata mahali ambapo hamkupanda

Mlikuwa mkiumwa ninyi, ila wanaokufa ni Watanzania walala Hoi,

Makosa mlikuwa mkifanya ninyi Ila wakufungwa ni Yule asiye na kosa

Mnatamani enzi zenu, Mabeberu wakubwa nyinyi
 
Mlikuwa mkivuna hata mahali ambapo hamkupanda

Mlikuwa mkiumwa ninyi, ila wanaokufa ni Watanzania walala Hoi,

Makosa mlikuwa mkifanya ninyi Ila wakufungwa ni Yule asiye na kosa

Mnatamani enzi zenu, Mabeberu wakubwa nyinyi
Unaponda ubeberu lakini wewe mwenyewe ni beberu,ubinfsi umewajaa huku mkijifariji kuwa nyie ni wajamaa,kama sio ubeberu Kwa nini mnapenda kuitwa Waheshmiwa,nyie ni majamaa kimawazo lakini kivitendo nyie ndo mabeberu wakubwa na wa hatari
 
mwambie kwanza akapambane na 'kibjaji' kwenye nafasi ya ubunge kule mtera, hicho kibajaji kilimyanyasa sanaa babaake
 
Kama anatimiza sifa agombee tu, nchi huru hii, hakuna anayekatazwa kugombea,ndio maana hata lowasa chadema walimwita fisadi, halafu wakamteua kugombea Urais, Slaa alikua na list ya mafisadi papa, sasa hivi anatumikia serikali ile ile aliyoikosoa. Hivyo si ajabu akigombea, na wala haitashangaza sana. Lakini ukumbuke kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais.
 
Back
Top Bottom