Dkt. Mwigulu Nchemba anajipenyeza kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa Urais

Dkt. Mwigulu Nchemba anajipenyeza kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa Urais

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?

Je, ni nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo?

Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.

Muda utasema
 
Wana matumizi mabaya ya pesa ndio maana wanatutoza Kodi ya uzalendo..!
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda u
 
Mwigulu anajiona ni Rais kabisa, ni hatari sana. Waziri ambaye majukumu yake ni ya ofisini tu anatengeneza sinema ili aonekane anakubalika, hatari sana.
Kawalipa watu wamweleze issue ambazo ziko nje ya wizara take naye kajibu kama Rais kuwa anaenda kuzitatua kwa kushirikiana na mawaziri husika.
 
Mama wa kambo urais wake ni wa kurithi, Mwigulu anajiona ndio mtoto anayestahili kuupata urais.

Mama wa kambo hana la kusema kwa hawa Wabara, maana urais wa muungano sio wa wazanzibari tena bali ni wa wabara.

Akina Mwigulu wanalazimisha kodi kubwa sijui za uzalendo ili wapate hela nyingi za kuhonga, na kulipa vikundi vya watu wasiojulikana kuua, na kuteka wote watakaozuia njia yake ya kuupata urais.
 
Endeleeni kuchonga hii kinyago
images (44).jpeg
 
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.

Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
MBOWE anaitwa gaidi, LAKINI Mwigulu Nchemba ni muhaini mtarajiwa
 
Gaidi huyu mtu hatari sana.

Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.


Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma.
Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais,
Haya sio matumizi mabaya ya muda kwa watumiaji wengine?
Nani yupo nyuma yake aliye ratibu msafara mkubwa hivyo.
Mh Rais Mwigulu si mwema kwako.Muda utasema
 
Back
Top Bottom