Ww ndio unalialia kuhusu huyo Mwigulu, ndio maana nimekuta umwagize huyo Mwigulu auze yale madini mnayosema tunayo mengi, ili asitufanyie double taxation kwenye simu, na kuanzisha tena hizo Bureau de change.Jikite kwenye hoja acha kulialia
Inavyoonekana hizo rasilimali walishagawa kwa mabeberu na wachina, kwa sasa wanajipanga kugawa ardhi na bandari ambayo ni lango la nchi, ngozi nyeusi wana akili ya kizezeta sana...
Mpologomi na the late MbilinyiNdugu zangu,
Mdogo wangu Mwigulu Nchemba umetegwa na umetegeka.Kuna sera za masuala ya fedha ambazo katu mtu makini hawezi kufanya wewe unafanya ili upate umaarufu na sio kwa maslahi ya nchi.Kuna kundi limekuzingira linahitaji yafuatayo ambayo na wewe umeingia mkenge;...
Watapiga kelele mwezi huu afu watatulia tuliii.Waziri kazia hapo hapo tena bado kuna kodi kibao hujaanzosha.wapiga dili hampendi kulipa kodi. Mmezidi malalamiko.
Una miliki hata mashine ya kusaga karanga kweli wewe?Inavyoonekana hizo rasilimali walishagawa kwa mabeberu na wachina, kwa sasa wanajipanga kugawa ardhi na bandari ambayo ni lango la nchi, ngozi nyeusi wana akili ya kizezeta sana...
Inahuaika na biashara sio kuropoka,lipa kodi mkuuZezeta limekurupushwa kutoka mafichoni, mashine ya kusaga karanga inahusianaje na kugawa bandari kwa mchina....
Nyie ndo Diallo anaowasema....Inahuaika na biashara sio kuropoka,lipa kodi mkuu
Ahhhhhhhhhhh!. Yule mama mkwe wa taifa? Hivi kweli ndiko tunarudi tena? Mungu inusuru nchi yangu.😆😆😆 Bi Zakia.
Mada nzuri namna hii lakini bado unaleta ujinga ili tu mimba yako aliyokuachia huyo awamu ya 5 ifurahi!
Wenye akili za kimaskini siku zote wana utajiri uliokithiri wa chuki, fitina, husda, ubaguzi, choyo, roho mbaya na uchawi.
Hawapendi kuona wengine wakijikwamua kwa kutumia akili zao au ubunifu wao.
Mtu hajui chochote kuhusu uendeshaji wa kampuni, shirika, kiwanda au bureau de change lakini atajidai anajua kila kitu na kuita wenzake wapiga dili!
Shame on you low-thinkers!!
NB: Madelu hajawahi kufaa kwa chochote!
Muacheni waziri afanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Mambo ya kuvamia biashara za watu zilizoko kihalali na kupora fedha ni unyang'anyi!.
Serikali yenye heshima haiwezi kufanya mambo yale ya kijambazi!
JPM hakuruhusu misamaha ya kodi ila sasa Mh! nadhani umenena vyemaNdugu zangu,
Mdogo wangu Mwigulu Nchemba umetegwa na umetegeka.Kuna sera za masuala ya fedha ambazo katu mtu makini hawezi kufanya wewe unafanya ili upate umaarufu na sio kwa maslahi ya nchi.Kuna kundi limekuzingira linahitaji yafuatayo ambayo na wewe umeingia mkenge;
Umepewa mtego kuwa na mamlaka ya kufuta Kodi kama waziri wa fedha; walio nyuma ya ajenda hii wakishanufaika wewe utatolewa kafara na "narratives" zitatengenezwa ili uongekane hufai kwa chochote kile.Mawaziri wa fedha waliowahi kuwa na nguvu hii waliangushwa kwa aibu.
Sasa umejiingiza kwenye mkenge wa "watakatishaji pesa" kupitia bureaux de change.Nimekuona unazungza lakini uso wako hauna furaha kabisa.
Kama ni shinikizo jiuzulu ili historia ije kujitetea laa sivyo hiza nene mbeleni.Teta na Rais au jiuzulu mapema.
Rais wa maweRais wa Iramba anazingua sana
Sawa!Hujui kitu ndio maana unakimbilia kutoa povu badala ya hoja
Kwani nchi haina mifumo thabiti, ya utawala??Ndugu zangu,
Mdogo wangu Mwigulu Nchemba umetegwa na umetegeka. Kuna sera za masuala ya fedha ambazo katu mtu makini hawezi kufanya wewe unafanya ili upate umaarufu na sio kwa maslahi ya nchi. Kuna kundi limekuzingira linahitaji yafuatayo ambayo na wewe umeingia mkenge;
Umepewa mtego kuwa na mamlaka ya kufuta Kodi kama waziri wa fedha; walio nyuma ya ajenda hii wakishanufaika wewe utatolewa kafara na "narratives" zitatengenezwa ili uongekane hufai kwa chochote kile. Mawaziri wa fedha waliowahi kuwa na nguvu hii waliangushwa kwa aibu.
Sasa umejiingiza kwenye mkenge wa "watakatishaji pesa" kupitia bureaux de change. Nimekuona unazungza lakini uso wako hauna furaha kabisa.
Kama ni shinikizo jiuzulu ili historia ije kujitetea laa sivyo hiza nene mbeleni. Teta na Rais au jiuzulu mapema.