Yaani viwanja vya CCM vinawekwa nyasi Kwa kodi yetu WananchiViwanja vitano vya CCM kuwekwa nyasi bandia.
Alafu ili kuwapumbaza akajazia nyama za usimba na uyanga ili mbaki mnabishana huku mitaani msahau mambo ya msingi kwenye hotuba ya bajeti.Yaani viwanja vya CCM vinawekwa nyasi Kwa kodi yetu Wananchi
Nitumie nafasi hii kuwahakikishia Watanzania kuwa tutaweka nyasi bandia kwenye viwanja 5 kwa kuanzia Mwanza, Arusha, Tanga, Dodoma na Mbeya ili kukuza mchezo hapa nchini.
Msamaha wa kodi kwenye nyasi bandia na vifaa ambata vyake utakwenda mpaka ngazi ya Halmashauri".
Wanaweka nyasi bandia halafu wakati huo huo TFF wana ndoto za kuomba kuandaa AFCON ya mwaka 2027, na ambapo viwanja vinavyotakiwa kutumika ni lazima viwe na nyasi za asili kama zile za Uwanja wa Benjamin Mkapa, Kirumba Mwanza, Sheikh Amri Abeid Arusha, Sokoine Mbeya, nk!
Nitumie nafasi hii kuwahakikishia Watanzania kuwa tutaweka nyasi bandia kwenye viwanja 5 kwa kuanzia Mwanza, Arusha, Tanga, Dodoma na Mbeya ili kukuza mchezo hapa nchini.
Msamaha wa kodi kwenye nyasi bandia na vifaa ambata vyake utakwenda mpaka ngazi ya Halmashauri".