Dkt. Mwigulu Nchemba, Watanzania watakukumbuka

Dkt. Mwigulu Nchemba, Watanzania watakukumbuka

Equitable

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2021
Posts
2,017
Reaction score
5,462
Uko vizuri upstair. Umetengeneza tatizo utakalolitatua 2024/2025.

Kulipa kodi ya kichwa ni tatizo ulilolitengeneza kwa manufaa ya CCM.

Tatizo hili utaliondoa bajeti ya 2024/2025 kuwa limekuwa kero kwa watz hivyo unaiondoa kodi watu wapate unafuu.

Wananchi watafurahi kuwa Serikali inawajali. Watakupa kura zote Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.

Unatumia ujinga wetu kwa manufaa yako. Mungu anakuona.

Ondoa kodi hii mara moja.

Kusanya kodi halali kwenye mabasi yote ya masafa marefu ambayo mengi mnayamiliki ninyi. Lazimisha mabasi yote ya masafa marefu mkoa to mkoa wawe wanatoa risiti za efd mashine.

1.8% ni fedha nyingi kuliko kodi ya kichwa.

Mf: Mwanza to Dar
50000 x0.018= 900 kwa siti moja. Gari la siti 40 ni
40x900= 36000 elfu thelathini na sita kwa safari moja.

Kuna magari mangapi?

Dhuluma haitakuacha. Wanyonge hawa unataka kuwaumiza.

Nakujua u msikivu utasikia Dr.
 
Uko vizuri upstair. Umetengeneza tatizo utakalolitatua 2024/2025.

Kulipa kodi ya kichwa ni tatizo ulilolitengeneza kwa manufaa ya CCM.

Tatizo hili utaliondoa bajeti ya 2024/2025 kuwa limekuwa kero kwa watz hivyo unaiondoa kodi watu wapate unafuu.

Wananchi watafurahi kuwa Serikali inawajali. Watakupa kura zote Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.

Unatumia ujinga wetu kwa manufaa yako. Mungu anakuona.

Ondoa kodi hii mara moja.

Kusanya kodi halali kwenye mabasi yote ya masafa marefu ambayo mengi mnayamiliki ninyi. Lazimisha mabasi yote ya masafa marefu mkoa to mkoa wawe wanatoa risiti za efd mashine.

1.8% ni fedha nyingi kuliko kodi ya kichwa.

Mf: Mwanza to Dar
50000 x0.018= 900 kwa siti moja. Gari la siti 40 ni
40x900= 36000 elfu thelathini na sita kwa safari moja.

Kuna magari mangapi?

Dhuluma haitakuacha. Wanyonge hawa unataka kuwaumiza.

Nakujua u msikivu utasikia Dr.
Watanzania tulipe kodi, tunautukuza UMASKINI kama Jiwe na Wanyonge
 
Tangu anateuliwa, nilijua tu huyu jamaa anatuletea majanga. Halafu sijui kampa nini Bi mkubwa! Maana anazikubali kweli sera zake mbovu, na ambazo zinachangia sehemu kubwa kwa wananchi kuichukia serikali!

Mfano ile ye kwenda kukopa point A, na kwenda kulipa point B! Si ujinga ule!! Badala ya kupunguza matumizi ya serikali yasiyo ya lazima! Wewe unawaza kukopa tu! Kisa unakopesheke.
 
Sasa yeye Ni mfanya biashara mkubwa unataka akale wapi,? Kama si kuwanyonya mifara mitanganyika, umegusa mabasi kwani yeye mjinga kiasi hicho azingue biashara yake? Labda timu yake ya mpira ,ndio anaweza kushusha Kodi za nyasi bandia
 

Attachments

  • 20220612_175943.jpg
    20220612_175943.jpg
    211.8 KB · Views: 6
  • 20220612_175937.jpg
    20220612_175937.jpg
    92.6 KB · Views: 6
Uko vizuri upstair. Umetengeneza tatizo utakalolitatua 2024/2025.

Kulipa kodi ya kichwa ni tatizo ulilolitengeneza kwa manufaa ya CCM.

Tatizo hili utaliondoa bajeti ya 2024/2025 kuwa limekuwa kero kwa watz hivyo unaiondoa kodi watu wapate unafuu.

Wananchi watafurahi kuwa Serikali inawajali. Watakupa kura zote Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.

Unatumia ujinga wetu kwa manufaa yako. Mungu anakuona.

Ondoa kodi hii mara moja.

Kusanya kodi halali kwenye mabasi yote ya masafa marefu ambayo mengi mnayamiliki ninyi. Lazimisha mabasi yote ya masafa marefu mkoa to mkoa wawe wanatoa risiti za efd mashine.

1.8% ni fedha nyingi kuliko kodi ya kichwa.

Mf: Mwanza to Dar
50000 x0.018= 900 kwa siti moja. Gari la siti 40 ni
40x900= 36000 elfu thelathini na sita kwa safari moja.

Kuna magari mangapi?

Dhuluma haitakuacha. Wanyonge hawa unataka kuwaumiza.

Nakujua u msikivu utasikia Dr.
Sie tupo MAGOTINI koti lake liondolewe apewe Mh Charles KIMEI we unaongelea uchaguzi ujao.

Narudia tena 2025 mbaaal mno. Amen
 
Kusanya kodi halali kwenye mabasi yote ya masafa marefu ambayo mengi mnayamiliki ninyi. Lazimisha mabasi yote ya masafa marefu mkoa to mkoa wawe wanatoa risiti za efd mashine.

1.8% ni fedha nyingi kuliko kodi ya kichwa.

Mf: Mwanza to Dar
50000 x0.018= 900 kwa siti moja. Gari la siti 40 ni
40x900= 36000 elfu thelathini na sita kwa safari moja.

Kuna magari mangapi?

Dhuluma haitakuacha. Wanyonge hawa unataka kuwaumiza.
Nimekupenda sana Mkuu, brains kama hizi ndizo zilitakiwa kupewa uongozi
 
Back
Top Bottom