Dkt. Mwinyi aondoa kodi ya sukari Zanzibar

Vimba na upasuke....kwa chuki zako[emoji41]
 
si mbaya ni kazi muzuri sana 🐒
 
Kufunga au kubadili ratiba ya kula toka mchana kwenda usiku
Kwa hiyo ulitaka tusile kabisa au?, unataka tufe na njaa nini.
Kufunga Kwa waislamu ni baada ya kuingia alfajiri ya kweli mpaka kuzama kwa jua, baada ya hapo kula unavyotaka na hapo bado kuna waislamu kibao hawafungi, hiyo ndio sheria aliyoweka Mwenyezi Mungu na yeye ndio atatulipa. Funga haijakusudiwa mtu ajikalifishe nafsi ndio maana kuna daku mda mfupi kabla ya kuingia alfajiri lakini pia kuna watu wanakula daku saa nne na hawali tena mpaka kuzama kwa jua.

Lakini kuna nchi wanafunga mpaka masaa 16 (inategemea na tilting of earth) Kwa sababu mchana unakuwa mrefu kuliko usiku, na wengine just saa 8 tu. Lkn kwa ukanda wetu wa Africa mashariki ni saa 12-13 huwa haibadiliki
 
Kumbukumbu za ukristo wanazo orthodox na sio vatican ya warumi,,,shina la kanisa lilianzia mashariki ya kati na kwa ulaya hapo uturuki na ugiriki ambako huko kote kanisa lao la asili ni orthodox na sio kanisa la warumi , wengi wamekalili vatican sababu warumi walisambaza kanisa lao na mengine ya magharibi kupitia ukoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…