Zanzibar 2020 Dkt. Mwinyi: Nitaenzi Muungano, una faida nyingi

Zanzibar 2020 Dkt. Mwinyi: Nitaenzi Muungano, una faida nyingi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dkt Hussein Mwinyi amesema muungano uliopo kati ya Tanganyika na Zanzibar ndio unaleta amani na utulivu katika Taifa.

Amesema Muungano unaleta umoja wa Kitaifa na hivyo Wazanzibari wanaweza kumiliki ardhi na kuwa na shughuli Tanzania bara, kitu ambacho kimeongeza umoja.

Ameongeza kuwa endapi atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibari katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 ataendelea kuuenzi Muungano uliopo.

Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka 1964 na kuunda Tanzania ambayo inaongozwa na Serikali 2 ambazo ni Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni unaofanyika Mnazi Mmoja, Zanzibar.
 
Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dkt Hussein Mwinyi amesema muungano uliopo kati ya Tanganyika na Zanzibar ndio unaleta amani na utulivu katika Taifa

Amesema Muungano unaleta umoja wa Kitaifa na hivyo Wazanzibari wanaweza kumiliki ardhi na kuwa na shughuli Tanzania bara, kitu ambacho kimeongeza umoja

Ameongeza kuwa endapi atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibari katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 ataendelea kuuenzi Muungano uliopo

Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka 1964 na kuunda Tanzania ambayo inaongozwa na Serikali 2 ambazo ni Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni unaofanyika Mnazi Mmoja, Zanzibar
Iwapo hutachaguliwa ni nini hatma ya muungano?
 
Mwinyi anaenda kuifanya Zanzibar kuwa kisiwa kilichoendelea zaidi Africa
 
Mwaka huu hadanganywi ntu ,na ilivyokuwa CCM Zanzibar mapande mawili ndio kabisa wakiharisha wanajulikana kahara nani na katumia choo gani.wapo uchii hawana walipangalo lisijulikane,tena CCM wa bara kuweni waangalifu msikubali kupanga njama ,na CCM wa Zanzibar ,sasa hivi Zanzibar CCM haipo haipo waliopo ni mashushu wao kwa wao yaani ile umdhaniae sie kumbe ndie ,ndipo walipofikia ,mkipanga nao siku ya pili mambo yenu yapo nje uwanjani ,jamaa wa CCM Zanzibar hawafai wameshapoteza serikali kwa wapinzani.
 
Magufuli kasema kuwa muungano ni wa hiari, lakini wenye muungano wao wanapoonyesha hiari ya kuuvunja muungano wanatishiwa kwa mizinga ya kijeshi na vifafu vya Vita.
 
......mzawa mkuranga akipewa urais wa zbar lazima apigane maana hawamtaki
 
Magufuli kasema kuwa muungano ni wa hiari, lakini wenye muungano wao wanapoonyesha hiari ya kuuvunja muungano wanatishiwa kwa mizinga ya kijeshi na vifafu vya Vita.
Wanao tishia kuuvunja ni wachumia tumbo! Sio wenvi na wanashinikizwa.
 
Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dkt Hussein Mwinyi amesema muungano uliopo kati ya Tanganyika na Zanzibar ndio unaleta amani na utulivu katika Taifa.

Amesema Muungano unaleta umoja wa Kitaifa na hivyo Wazanzibari wanaweza kumiliki ardhi na kuwa na shughuli Tanzania bara, kitu ambacho kimeongeza umoja.

Ameongeza kuwa endapi atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibari katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 ataendelea kuuenzi Muungano uliopo.

Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka 1964 na kuunda Tanzania ambayo inaongozwa na Serikali 2 ambazo ni Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni unaofanyika Mnazi Mmoja, Zanzibar.
Kwani alokwambia wazanzibari shida yao ardhi nani ? Mtalii analeta shida kweli kweli, amani na utulivu vilikuwepo Zanzibar kabla ya muungano na vitaendelea kuwepo baada pia inshallah.
 
Back
Top Bottom