johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wengi Hawajui Mchango wa Nchimbi Kwa Vijana wa sekta mbali mbali nchini lakini ni huyu Nchimbi ndiye aliruhusu Vijana kutumia ukumbi wa Kinondoni kukuza vipaji vyao bila kujali itikadi za kisiasa
Nakumbuka tukiwa pale Kambi ya Home Alone jirani na Kwa Salva Rweyemamu Mwenyekiti Nchimbi alisema siyo Sahihi Vijana wetu kwenda kucheza show Kwenye kumbi za Disco huko Billicanas na Magot bali tuwatengenezee Mifumo ya Wao kukuza vipaji na kuuza Kazi zao
Siku chache baadae ikatolewa ruhusa ukumbi wa Vijana Social Kinondoni na Ule wa CCM Makangira pale Msasani Namanga Kwa Wassira pawe huru Vijana wetu kuonyesha na kukuza vipaji vyao
Ndio wakaibuka akina Vengu, Masanja, Mrisho Moto, Mwakifwamba, Waukae, anti Ezekiel, Thabit na wengine kibao katika Fani za Sanaa ya maigizo na uimbaji
Kadhalika vikundi lukuki Vya uzalishaji Mali pale Kinondoni vilianzishwa chini ya maelekezo ya Nchimbi
Binafsi namuona Dr Nchimbi akitupaisha Kiuchumi
Ahsanteni Sana 😃😃
Chadema sasa chagueni Mwenyekiti yoyote atatulizwa na Kutulia🐼
Nakumbuka tukiwa pale Kambi ya Home Alone jirani na Kwa Salva Rweyemamu Mwenyekiti Nchimbi alisema siyo Sahihi Vijana wetu kwenda kucheza show Kwenye kumbi za Disco huko Billicanas na Magot bali tuwatengenezee Mifumo ya Wao kukuza vipaji na kuuza Kazi zao
Siku chache baadae ikatolewa ruhusa ukumbi wa Vijana Social Kinondoni na Ule wa CCM Makangira pale Msasani Namanga Kwa Wassira pawe huru Vijana wetu kuonyesha na kukuza vipaji vyao
Ndio wakaibuka akina Vengu, Masanja, Mrisho Moto, Mwakifwamba, Waukae, anti Ezekiel, Thabit na wengine kibao katika Fani za Sanaa ya maigizo na uimbaji
Kadhalika vikundi lukuki Vya uzalishaji Mali pale Kinondoni vilianzishwa chini ya maelekezo ya Nchimbi
Binafsi namuona Dr Nchimbi akitupaisha Kiuchumi
Ahsanteni Sana 😃😃
Chadema sasa chagueni Mwenyekiti yoyote atatulizwa na Kutulia🐼