Dkt. Nchimbi azungumza na makamu wa rais wa Nigeria

Dkt. Nchimbi azungumza na makamu wa rais wa Nigeria

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe. Kashim Shettima Mustapha, Makamu wa Rais wa Nigeria, walipokutana Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek, nchini Namibia, mara baada ya mazishi ya Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, tarehe 1 Machi 2025.
20250303_204112.jpg
 

Attachments

  • 20250303_204111.jpg
    20250303_204111.jpg
    190.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom