Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Lissu labda akutane na Amsterdam mtetezi wa haki za mashoga!Atajijua mwenyewe.
We mtoto wa shule weweππLissu labda akutane na Amsterdam mtetezi wa haki za mashoga!
Ahahahahaha! Kesho nina test ya Historia ya Tanzania na Maadili! Ahahahahaha!!We mtoto wa shule weweππ
Katibu Binafsi tangu asubuhi uko bize na Dr Nchimbi Nyuzi zako watu hawazitakiRais Mstaafu wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mzee Thabo Mbeki akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi walipokutana Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek, nchini Namibia, mara baada ya mazishi ya Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, tarehe 1 Machi 2025.
Mi ndo mwalimu wa hilo somoAhahahahaha! Kesho nina test ya Historia ya Tanzania na Maadili! Ahahahahaha!!
Eti Bwana inatuhusu nini?Atajijua mwenyewe.
Ni ukora mtupu.Eti Bwana inatuhusu nini?
Teacher nifikirie basi kwenye usahihishaji! Mi kijana wako mtiifu!!ππππMi ndo mwalimu wa hilo somo
Lisu hapa kaingiaje????!!!!!Lissu labda akutane na Amsterdam mtetezi wa haki za mashoga!
Huwezi kuelewa kama ubongo wako umeshikilizia na kisoda Cha Novida!Lisu hapa kaingiaje????!!!!!
Kumbe Hivi Yale Madai ya kwamba vijana wengi wa sasa kwamba wana matatizo ya afya ya akili yana Ukweli ?!!?
Amen!Dkt Nchimbi mtu makini sana. Mungu amlinde. namuona akiwa juu zaidi 2030/2040.
... Amsterdam ni mtetezi wa haki za "madheha" ,hili wewe hulifahamu ?!!Lisu hapa kaingiaje????!!!!!
Kumbe Hivi Yale Madai ya kwamba vijana wengi wa sasa kwamba wana matatizo ya afya ya akili yana Ukweli ?!!?