iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 864
- 1,798
CHAGUENI CHAMA CHA MAPINDUZI KWANI NDICHO CHENYE ILANI BORA INAYOTEKELEZEKA - BALOZI NCHIMBI.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akizungumza kwenye mkutano wa hadhara Katika Viwanja vya Sabasaba Mtwara Mjini amesema Chama cha Mapinduzi ndo kinatekeleza Ilani na kimefanya Vizuri hivyo Wananchi waendelee kukichagua Uchaguzi utakapo fika kuanzia Serikali za Mitaa mpaka Uchaguzi Mkuu.
"Wananchi muendelee kukiamini Chama cha Mapinduzi Ili kielendelee kushika Dola kwani bado tunafanya vizuri Mtwara tu Ilani imetekelezwa kwa asilimia 80 ". Na kusisitiza Wananchi kuendelea kutunza Amani yetu na asitokee Mtu akashawishi kuharibu amani iliyopo Nchini.
Katika ziara hiyo Katibu Mkuu wa CCM ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Oganaizesheni, Ndugu Issa Usi Haji Gavu, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla na Ndugu Rabia Hamid Abdalla, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI).
iamwangdamin
CCM OYEEEEE , CCM MBELE KWA MBELE
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akizungumza kwenye mkutano wa hadhara Katika Viwanja vya Sabasaba Mtwara Mjini amesema Chama cha Mapinduzi ndo kinatekeleza Ilani na kimefanya Vizuri hivyo Wananchi waendelee kukichagua Uchaguzi utakapo fika kuanzia Serikali za Mitaa mpaka Uchaguzi Mkuu.
"Wananchi muendelee kukiamini Chama cha Mapinduzi Ili kielendelee kushika Dola kwani bado tunafanya vizuri Mtwara tu Ilani imetekelezwa kwa asilimia 80 ". Na kusisitiza Wananchi kuendelea kutunza Amani yetu na asitokee Mtu akashawishi kuharibu amani iliyopo Nchini.
Katika ziara hiyo Katibu Mkuu wa CCM ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Oganaizesheni, Ndugu Issa Usi Haji Gavu, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla na Ndugu Rabia Hamid Abdalla, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI).
iamwangdamin
CCM OYEEEEE , CCM MBELE KWA MBELE