Pre GE2025 Dkt. Nchimbi niliposikia utakuwepo kwenye Mdahalo niliandaa swali kuhusu aliyeua Mradi wa Mabasi ya Wanafunzi DSM

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi niliposikia utakuwepo kwenye Mdahalo niliandaa swali kuhusu aliyeua Mradi wa Mabasi ya Wanafunzi DSM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni Bahati Mbaya kwamba hukufika kwenye Mdahalo huo kwa sababu unazozijua Mwenyewe.

Niliamini kwamba kwa vile Wakati wa Mradi huo wewe ulikuwa kiongozi wa Uvccm pamoja na Sukwa Said Sukwa wa Pemba, basi bila shaka Ungetuambia sababu hasa ya Mradi ule kufa hasa ikizingatiwa kwamba ulisimamiwa na UVCCM.

Kingine ambacho ningekuuliza ni kuhusu hatua ambazo alichukuliwa RPC wa Iringa Michael Kamuhanda, ambaye alishiriki kikamilifu katika Kumuua Mwangosi, Wakati ule wewe ulikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye ulikuwa mkubwa wa Mapolisi wote.

Hata hivyo sijakata Tamaa, natafuta namna ingine ya kukifikishia Ujumbe wangu.

PIA SOMA

- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
 
Ni Bahati Mbaya kwamba hukufika kwenye Mdahalo huo kwa sababu unazozijua Mwenyewe.

Niliamini kwamba kwa vile Wakati wa Mradi huo wewe ulikuwa kiongozi wa Uvccm pamoja na Sukwa Said Sukwa wa Pemba, basi bila shaka Ungetuambia sababu hasa ya Mradi ule kufa hasa ikizingatiwa kwamba ulisimamiwa na UVCCM.

Kingine ambacho ningekuuliza ni kuhusu hatua ambazo alichukuliwa RPC wa Iringa Michael Kamuhanda, ambaye alishiriki kikamilifu katika Kumuua Mwangosi, Wakati ule wewe ulikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye ulikuwa mkubwa wa Mapolisi wote.

Hata hivyo sijakata Tamaa, natafuta namna ingine ya kukifikishia Ujumbe wangu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Maswali haya ulitakiwa kumuuliza lowassa!
 
Ni Bahati Mbaya kwamba hukufika kwenye Mdahalo huo kwa sababu unazozijua Mwenyewe.

Niliamini kwamba kwa vile Wakati wa Mradi huo wewe ulikuwa kiongozi wa Uvccm pamoja na Sukwa Said Sukwa wa Pemba, basi bila shaka Ungetuambia sababu hasa ya Mradi ule kufa hasa ikizingatiwa kwamba ulisimamiwa na UVCCM.

Kingine ambacho ningekuuliza ni kuhusu hatua ambazo alichukuliwa RPC wa Iringa Michael Kamuhanda, ambaye alishiriki kikamilifu katika Kumuua Mwangosi, Wakati ule wewe ulikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye ulikuwa mkubwa wa Mapolisi wote.

Hata hivyo sijakata Tamaa, natafuta namna ingine ya kukifikishia Ujumbe wangu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Angeazisha vagi.Lazima.Kamuhanda mwenyewe alionywa anyamaze kimya kama kabugia mapera.
 
Ni Bahati Mbaya kwamba hukufika kwenye Mdahalo huo kwa sababu unazozijua Mwenyewe.

Niliamini kwamba kwa vile Wakati wa Mradi huo wewe ulikuwa kiongozi wa Uvccm pamoja na Sukwa Said Sukwa wa Pemba, basi bila shaka Ungetuambia sababu hasa ya Mradi ule kufa hasa ikizingatiwa kwamba ulisimamiwa na UVCCM.

Kingine ambacho ningekuuliza ni kuhusu hatua ambazo alichukuliwa RPC wa Iringa Michael Kamuhanda, ambaye alishiriki kikamilifu katika Kumuua Mwangosi, Wakati ule wewe ulikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye ulikuwa mkubwa wa Mapolisi wote.

Hata hivyo sijakata Tamaa, natafuta namna ingine ya kukifikishia Ujumbe wangu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Wewe ndo uliyemkimbiza na kihelehele chako.

Kwanini hukulificha Hilo swali usubilie afike na mjadala uanze ndo ungembabatiza na Hilo swali?

Sasa aliposikia swali hili pengine majibu hakuwa nayo au pengine yeye ndo alikuwa sehemu ya kuua huo mradi unategemea angekujibu Nini?

Heri nusu Shari kuliko Shari KAMILI ndo akaamua kutoka mbio
 
Wewe ndo uliyemkimbiza na kihelehele chako.

Kwanini hukulificha Hilo swali usubilie afike na mjadala uanze ndo ungembabatiza na Hilo swali?

Sasa aliposikia swali hili pengine majibu hakuwa nayo au pengine yeye ndo alikuwa sehemu ya kuua huo mradi unategemea angekujibu Nini?

Heri nusu Shari kuliko Shari KAMILI ndo akaamua kutoka mbio
😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom