Pre GE2025 Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote

Pre GE2025 Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755

Naomba nikiri kwamba Mh. Mbunge ni Mdogo wangu na ni Rafiki yangu pia, amekuwa Mwenyekiti wangu wa UVCCM wa Wilaya ya Meatu wakati nikiwa Mwenyekiti UVCCM Taifa lakini pia wakati nasoma degree ya pili Mzumbe yeye alikuwa anasoma degree yake ya kwanza na hajawahi kuacha kuwa mtatamtata hivi hata wakati tunasoma alikuwa hivihivi mtatamtata ni Mtu ambaye habadiliki”

“Tofauti yake na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote, kuna wakati kwenye Familia mmefikia muda wa kula labda huwa mnakula saa saba mchana, kuna Watoto ikifika saa saba na dakika 5 wanakimbilia mbio chumbani kwa Baba wanauliza chakula bado hata mara 10 hadi Baba anatoka anamzaba kibao anamwambia Mimi sio Mama yako Mimi ndio napika?”

“Kuna wengine wanasikitika au wanakwenda kwa Mama kusema wana njaa na wanaambiwa subiri kidogo kinaiva, sasa Mpina ni aina ya yule Mtoto ambaye asubiri yeye kila saa mbio kwa Baba utafikiri Baba ndiye anapika, sasa Mpina punguza hizo pitia kwa Mama eeh!? pitia kwa Mama sema njaa halafu chakula kinapikwa mnakula”

Soma Pia: Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

“Kwahiyo sisi Wabunge wote ni Watoto wetu, wale wanaosumbua kupiga hodi kila saa, na wale wanaoanza kulia hata kabla njaa haijaanza, sasa Mpina wakati mwingine sio kwa Baba yake pekee yake hata Mgeni amekuja anawahi kwa Mgeni na kusema mpaka sasa hivi hawajapika” Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi leo October 07,2024 kwenye Jimbo la Kisesa ambalo
 
Naomba nikiri kwamba Mh. Mbunge ni Mdogo wangu na ni Rafiki yangu pia, amekuwa Mwenyekiti wangu wa UVCCM wa Wilaya ya Meatu wakati nikiwa Mwenyekiti UVCCM Taifa lakini pia wakati nasoma degree ya pili Mzumbe yeye alikuwa anasoma degree yake ya kwanza na hajawahi kuacha kuwa matatamatata hivi hata wakati tunasoma alikuwa hivihivi matatamatata ni Mtu ambaye habadiliki”

“Tofauti yake na Wana CCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote, kuna wakati kwenye Familia mmefikia muda wa kula labda huwa mnakula saa saba mchana, kuna Watoto ikifika saa saba na dakika 5 wanakimbilia mbio chumbani kwa Baba wanauliza chakula bado hata mara 10 hadi Baba anatoka anamzaba kibao anamwambia Mimi sio Mama yako Mimi ndio napika?”

“Kuna wengine wanasikitika au wanakwenda kwa Mama kusema wana njaa na wanaambiwa subiri kidogo kinaiva, sasa Mpina ni aina ya yule Mtoto ambaye asubiri yeye kila saa mbio kwa Baba utafikiri Baba ndiye anapika, sasa Mpina punguza hizo pitia kwa Mama eeh!? pitia kwa Mama sema njaa halafu chakula kinapikwa mnakula”

Soma Pia: Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

“Kwahiyo sisi Wabunge wote ni Watoto wetu, wale wanaosumbua kupiga hodi kila saa, na wale wanaoanza kulia hata kabla njaa haijaanza, sasa Mpina wakati mwingine sio kwa Baba yake pekee yake hata Mgeni amekuja anawahi kwa Mgeni na kusema mpaka sasa hivi hawajapika” ——— Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi leo October 07,2024 kwenye Jimbo la Kisesa ambalo
Kwa Dr、 Nchimbi, kiukweli CCM, imepata mtu sahihi, this man is a philosopher.
P
 
Hadithi za kipuuzi hizi zinaletwa kama mzaha kwenye mambo mazito ya nchi!

Huyu Nchimbi na yeye kajifunzia wapi mipasho ya kiswahili!

Mambo ya kufunika funika huko ndani ya CCM ndiyo yametufikisha hapa. Sasa wanatafuta njia za kumzima Mpina kiaina, asiseme kitu hata anapoona uozo kwa kuambiwa yeye ni mtoto mkorofi?

Hovyo kabisa.
 
amephilosophise theory gani?

philosopher: a person who offers views or theories on profound questions in ethics, metaphysics, logic, and other related fields
Msamehe mwamba sahivi amejibana Channel ten hivyo Nchimbi ni boss wake bila hivyo watoto hawezi kwenda haja kubwa, na utamaduni wa CCM ni kumsifia boss wako iwe kwa mabaya mazuri wewe ni kusifia tu hujui hata unasifia kitu gani
 
Hadithi za kipuuzi hizi zinaletwa kama mzaha kwenye mambo mazito ya nchi!
Huyu Nchimbi na yeye kajifunzia wapi mipasho ya kiswahili !

Mambo ya kufunika funika huko ndani ya CCM ndiyo yametufikisha hapa. Sasa wanatafuta njia za kumzima Mpina kiaina, asiseme kitu hata anapoona uozo kwa kuambiwa yeye ni mtoto mkorofi?

Hovyo kabisa.
Wana mlia timing wamuuwe kabisa, CCM wapo ajili ya kuiba mali za umma
 

Naomba nikiri kwamba Mh. Mbunge ni Mdogo wangu na ni Rafiki yangu pia, amekuwa Mwenyekiti wangu wa UVCCM wa Wilaya ya Meatu wakati nikiwa Mwenyekiti UVCCM Taifa lakini pia wakati nasoma degree ya pili Mzumbe yeye alikuwa anasoma degree yake ya kwanza na hajawahi kuacha kuwa mtatamtata hivi hata wakati tunasoma alikuwa hivihivi mtatamtata ni Mtu ambaye habadiliki”

“Tofauti yake na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote, kuna wakati kwenye Familia mmefikia muda wa kula labda huwa mnakula saa saba mchana, kuna Watoto ikifika saa saba na dakika 5 wanakimbilia mbio chumbani kwa Baba wanauliza chakula bado hata mara 10 hadi Baba anatoka anamzaba kibao anamwambia Mimi sio Mama yako Mimi ndio napika?”

“Kuna wengine wanasikitika au wanakwenda kwa Mama kusema wana njaa na wanaambiwa subiri kidogo kinaiva, sasa Mpina ni aina ya yule Mtoto ambaye asubiri yeye kila saa mbio kwa Baba utafikiri Baba ndiye anapika, sasa Mpina punguza hizo pitia kwa Mama eeh!? pitia kwa Mama sema njaa halafu chakula kinapikwa mnakula”

Soma Pia: Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

“Kwahiyo sisi Wabunge wote ni Watoto wetu, wale wanaosumbua kupiga hodi kila saa, na wale wanaoanza kulia hata kabla njaa haijaanza, sasa Mpina wakati mwingine sio kwa Baba yake pekee yake hata Mgeni amekuja anawahi kwa Mgeni na kusema mpaka sasa hivi hawajapika” Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi leo October 07,2024 kwenye Jimbo la Kisesa ambalo
Hapa anamaana mpina ananjaa au sijamuelewa.
 
Kwa Dr、 Nchimbi, kiukweli CCM, imepata mtu sahihi, this man is a philosopher.
P
Kumwambia Mpina njaa inamsumbua, umeona kuwa yupo sahihi. Kwahiyo unaunga mkono mpina kupigwa vibao, wewe ni mwanasheria na nguli. Hebu jaribu kutafakari kwa kina, hizi tamathali kisha ziweke kwenye uhalisia siwe ikawa hiyo njaa anayoisema Nchimbi ikawa na wewe imekukumba kwani hata Rais magufuli alisema jina lako kwa kikwao lina maana ya njaa. Tofautisha kitu unachokisema wewe na anachokisema mwingine, Maneno yako huwa yanachambuliwa na ulimwengu mzima tofauti na yangu yanaishia humu humu jf. Kwahiyo unapotoa kauli yoyote mtu kama wewe ambaye kwa sasa wewe si mtu bali ni Taasisi iiliyo sheheni kila aina ya nyanja za weledi upaswi kujibu au kuwakilisha jambo kama chawa.
 

Naomba nikiri kwamba Mh. Mbunge ni Mdogo wangu na ni Rafiki yangu pia, amekuwa Mwenyekiti wangu wa UVCCM wa Wilaya ya Meatu wakati nikiwa Mwenyekiti UVCCM Taifa lakini pia wakati nasoma degree ya pili Mzumbe yeye alikuwa anasoma degree yake ya kwanza na hajawahi kuacha kuwa mtatamtata hivi hata wakati tunasoma alikuwa hivihivi mtatamtata ni Mtu ambaye habadiliki”

“Tofauti yake na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote, kuna wakati kwenye Familia mmefikia muda wa kula labda huwa mnakula saa saba mchana, kuna Watoto ikifika saa saba na dakika 5 wanakimbilia mbio chumbani kwa Baba wanauliza chakula bado hata mara 10 hadi Baba anatoka anamzaba kibao anamwambia Mimi sio Mama yako Mimi ndio napika?”

“Kuna wengine wanasikitika au wanakwenda kwa Mama kusema wana njaa na wanaambiwa subiri kidogo kinaiva, sasa Mpina ni aina ya yule Mtoto ambaye asubiri yeye kila saa mbio kwa Baba utafikiri Baba ndiye anapika, sasa Mpina punguza hizo pitia kwa Mama eeh!? pitia kwa Mama sema njaa halafu chakula kinapikwa mnakula”

Soma Pia: Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

“Kwahiyo sisi Wabunge wote ni Watoto wetu, wale wanaosumbua kupiga hodi kila saa, na wale wanaoanza kulia hata kabla njaa haijaanza, sasa Mpina wakati mwingine sio kwa Baba yake pekee yake hata Mgeni amekuja anawahi kwa Mgeni na kusema mpaka sasa hivi hawajapika” Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi leo October 07,2024 kwenye Jimbo la Kisesa ambalo
Kunazidi kuchangamka hahahahahahaaha mgogoro upo.....tusiupake mafuta
 

Naomba nikiri kwamba Mh. Mbunge ni Mdogo wangu na ni Rafiki yangu pia, amekuwa Mwenyekiti wangu wa UVCCM wa Wilaya ya Meatu wakati nikiwa Mwenyekiti UVCCM Taifa lakini pia wakati nasoma degree ya pili Mzumbe yeye alikuwa anasoma degree yake ya kwanza na hajawahi kuacha kuwa mtatamtata hivi hata wakati tunasoma alikuwa hivihivi mtatamtata ni Mtu ambaye habadiliki”

“Tofauti yake na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote, kuna wakati kwenye Familia mmefikia muda wa kula labda huwa mnakula saa saba mchana, kuna Watoto ikifika saa saba na dakika 5 wanakimbilia mbio chumbani kwa Baba wanauliza chakula bado hata mara 10 hadi Baba anatoka anamzaba kibao anamwambia Mimi sio Mama yako Mimi ndio napika?”

“Kuna wengine wanasikitika au wanakwenda kwa Mama kusema wana njaa na wanaambiwa subiri kidogo kinaiva, sasa Mpina ni aina ya yule Mtoto ambaye asubiri yeye kila saa mbio kwa Baba utafikiri Baba ndiye anapika, sasa Mpina punguza hizo pitia kwa Mama eeh!? pitia kwa Mama sema njaa halafu chakula kinapikwa mnakula”

Soma Pia: Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

“Kwahiyo sisi Wabunge wote ni Watoto wetu, wale wanaosumbua kupiga hodi kila saa, na wale wanaoanza kulia hata kabla njaa haijaanza, sasa Mpina wakati mwingine sio kwa Baba yake pekee yake hata Mgeni amekuja anawahi kwa Mgeni na kusema mpaka sasa hivi hawajapika” Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi leo October 07,2024 kwenye Jimbo la Kisesa ambalo
Ukiwa unakula lazima usahau.

Alipokatwa Lowasa, Nchimbi alikimbilia kwa baba ama kwa mama?

Walimzaba kibao?
 

Naomba nikiri kwamba Mh. Mbunge ni Mdogo wangu na ni Rafiki yangu pia, amekuwa Mwenyekiti wangu wa UVCCM wa Wilaya ya Meatu wakati nikiwa Mwenyekiti UVCCM Taifa lakini pia wakati nasoma degree ya pili Mzumbe yeye alikuwa anasoma degree yake ya kwanza na hajawahi kuacha kuwa mtatamtata hivi hata wakati tunasoma alikuwa hivihivi mtatamtata ni Mtu ambaye habadiliki”

“Tofauti yake na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote, kuna wakati kwenye Familia mmefikia muda wa kula labda huwa mnakula saa saba mchana, kuna Watoto ikifika saa saba na dakika 5 wanakimbilia mbio chumbani kwa Baba wanauliza chakula bado hata mara 10 hadi Baba anatoka anamzaba kibao anamwambia Mimi sio Mama yako Mimi ndio napika?”

“Kuna wengine wanasikitika au wanakwenda kwa Mama kusema wana njaa na wanaambiwa subiri kidogo kinaiva, sasa Mpina ni aina ya yule Mtoto ambaye asubiri yeye kila saa mbio kwa Baba utafikiri Baba ndiye anapika, sasa Mpina punguza hizo pitia kwa Mama eeh!? pitia kwa Mama sema njaa halafu chakula kinapikwa mnakula”

Soma Pia: Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

“Kwahiyo sisi Wabunge wote ni Watoto wetu, wale wanaosumbua kupiga hodi kila saa, na wale wanaoanza kulia hata kabla njaa haijaanza, sasa Mpina wakati mwingine sio kwa Baba yake pekee yake hata Mgeni amekuja anawahi kwa Mgeni na kusema mpaka sasa hivi hawajapika” Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi leo October 07,2024 kwenye Jimbo la Kisesa ambalo
Aisee, Dr. Nchimbi is on another level to be true. He may not be big, bu he is very prominent, and is incredibly unique in his own way within the entire CCM.
 

Naomba nikiri kwamba Mh. Mbunge ni Mdogo wangu na ni Rafiki yangu pia, amekuwa Mwenyekiti wangu wa UVCCM wa Wilaya ya Meatu wakati nikiwa Mwenyekiti UVCCM Taifa lakini pia wakati nasoma degree ya pili Mzumbe yeye alikuwa anasoma degree yake ya kwanza na hajawahi kuacha kuwa mtatamtata hivi hata wakati tunasoma alikuwa hivihivi mtatamtata ni Mtu ambaye habadiliki”

“Tofauti yake na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote, kuna wakati kwenye Familia mmefikia muda wa kula labda huwa mnakula saa saba mchana, kuna Watoto ikifika saa saba na dakika 5 wanakimbilia mbio chumbani kwa Baba wanauliza chakula bado hata mara 10 hadi Baba anatoka anamzaba kibao anamwambia Mimi sio Mama yako Mimi ndio napika?”

“Kuna wengine wanasikitika au wanakwenda kwa Mama kusema wana njaa na wanaambiwa subiri kidogo kinaiva, sasa Mpina ni aina ya yule Mtoto ambaye asubiri yeye kila saa mbio kwa Baba utafikiri Baba ndiye anapika, sasa Mpina punguza hizo pitia kwa Mama eeh!? pitia kwa Mama sema njaa halafu chakula kinapikwa mnakula”

Soma Pia: Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

“Kwahiyo sisi Wabunge wote ni Watoto wetu, wale wanaosumbua kupiga hodi kila saa, na wale wanaoanza kulia hata kabla njaa haijaanza, sasa Mpina wakati mwingine sio kwa Baba yake pekee yake hata Mgeni amekuja anawahi kwa Mgeni na kusema mpaka sasa hivi hawajapika” Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi leo October 07,2024 kwenye Jimbo la Kisesa ambalo
Ana maanisha kuwa wabunge wengi wa CCM ni wachumia tumbo tofauti na Mpina anapigania masalahi ya Taifa.
 
Back
Top Bottom