mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana JF,
Vodacom Kwa Sasa rasmi Kibanda umiza. Ukiacha hela kidogo Tu wanaanza kukwambia Asante Kwa kujiunga Sasa endelea kuchagua ili ushinde. Unaweza weka fedha kufungua kifurushi wataficha menu hhuku wakikuwekea fedha Za kiwango cha chini. Upati menu ulizoziona kabla ya kuweka fedha.
Mfano nimeweka 7500 wakata 1200 ambazo nadaiwa. Nikaweka kifurushi cha 5000 badala ya kubaki Na 1300 nimekuta 500 Tu. Hii wamenifanyia mara nyingi, Dr. Nxungulile alihaidi kuzuia uporaji Huu lakini bado. Kwa sasa matumizi ya mpesa ndio use e, wanaokataza fedha nyingi muno.
Naona hata Dr. Nsungulile kwa sasa naye hatoshi apigwe chini Tu.
Ndugu mteja, Tsh 1200 zimetumika kulipia huduma ya Nipige Tafu. Kwa sasa huna deni. Piga *149*01*99# sasa kukopa tena!.
Mchanganuo wa Tsh. 7500 ya muda wa maongezi ni: Gharama: Tsh. 6355.93 VAT:Tsh. 1144.07 Jumla:Tsh. 7500
Hongera!Kifurushi cha Internet Tsh5000 cha MB 3072 kimewezeshwa hadi 2021-04-01. Furahia Facebook yenye PICHA bure ununuapo kifurushi chochote cha data.
Baada ya hapo salio nakiya 500 tu
Vodacom Kwa Sasa rasmi Kibanda umiza. Ukiacha hela kidogo Tu wanaanza kukwambia Asante Kwa kujiunga Sasa endelea kuchagua ili ushinde. Unaweza weka fedha kufungua kifurushi wataficha menu hhuku wakikuwekea fedha Za kiwango cha chini. Upati menu ulizoziona kabla ya kuweka fedha.
Mfano nimeweka 7500 wakata 1200 ambazo nadaiwa. Nikaweka kifurushi cha 5000 badala ya kubaki Na 1300 nimekuta 500 Tu. Hii wamenifanyia mara nyingi, Dr. Nxungulile alihaidi kuzuia uporaji Huu lakini bado. Kwa sasa matumizi ya mpesa ndio use e, wanaokataza fedha nyingi muno.
Naona hata Dr. Nsungulile kwa sasa naye hatoshi apigwe chini Tu.
Ndugu mteja, Tsh 1200 zimetumika kulipia huduma ya Nipige Tafu. Kwa sasa huna deni. Piga *149*01*99# sasa kukopa tena!.
Mchanganuo wa Tsh. 7500 ya muda wa maongezi ni: Gharama: Tsh. 6355.93 VAT:Tsh. 1144.07 Jumla:Tsh. 7500
Hongera!Kifurushi cha Internet Tsh5000 cha MB 3072 kimewezeshwa hadi 2021-04-01. Furahia Facebook yenye PICHA bure ununuapo kifurushi chochote cha data.
Baada ya hapo salio nakiya 500 tu