Pre GE2025 Dkt. Nshala alitishiwa maisha sababu ya kupinga Mkataba wa DP World. Uteuzi wake CHADEMA unamaanisha nini kwenye Siasa za Tanzania?

Pre GE2025 Dkt. Nshala alitishiwa maisha sababu ya kupinga Mkataba wa DP World. Uteuzi wake CHADEMA unamaanisha nini kwenye Siasa za Tanzania?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

images (32).jpeg

Januari 21 ulifanyika Uchaguzi Mkuu CHADEMA kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti kwa Bara na Zanzibar, ambako Lissu alitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA, siku hiyo pia ulifanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama na Lissu akafanya uteuzi wa viongozi, na kati ya waliochaguliwa na Mwanasheria wa CHADEMA, Mjumbe wa Kamati Kuu Dkt. Nshala Rugemeleza.

Kwa wale waliokuwa wanafuatilia sakata la DP World jina hili la Nshala Rugemeleza sio jina geni kabisa. Umaarufu wake ulikua zaidi Juni mwaka 2023 alipojitokeza hadharani kupinga mkataba wa DP World kati ya serikali ya Tanzania na Dubai, mkataba ambao aliuita ni “batili” “kiuhaini” na “haramu”.

Bandari.jpg

Nshala hakuishia hapo kwani alitangaza hadharani kuwa yupo mbioni kufungua kesi kupinga dhamira ya Serikali ya kusaini mkataba huo, kitendo ambacho kilimpa umaarufu sana hasa kwenye mtandao wa X baada ya watu wengi kuunga mkono uamuzi huo.

Siku chache baadae, Nshala ambaye pia ni Rais Mstaafu wa (TLS) alitangaza kuwa maisha yake yapo hatarini baada ya kuarifiwa kuwa kuna mipango ya kutaka kumuua kwa kulikalia kooni sakata la DP World ambapo wanaharakati walijitokeza kuonya na kukemea huu ya vitisho dhidi ya Nshala. Siku chache baadae Ofisi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ilimuamuru Wakili Rugemeleza kufika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, juu ya kauli zake alizozitoa Julai 3.

Ofisi hiyo ilisema kuwa inafanya uchunguzi juu ya kauli alizozitoa, kauli ambazo zilisambaa kupitia mitandao ya kijamii.

Baada ya kupata intro hiyo (hasa kwa Gen Z wenzangu ambao jina hili lilikuwa geni) uteuzi wa Rugemeleza una maana gani kwa CHADEMA?

Gh4jN87XkAAgdaa.jpg_large.jpg

Kwa yeyote anayemfahamu Tundu Lissu, bila shaka atakubali kwamba mtindo wake wa siasa, ni mtu ambaye hapepesi macho, si rahisi kuyumbishwa sio kwa vitisho wala kwa rushwa, tabia ambayo tumeiona pia kwa Dkt. Nshala alivyosimama kidete katika kupinga na kupambana dhidi ya mkataba wa DP World.

- Je, kutakuwa na mwanga kwenye ripoti za CAG kuanza kufanyiwa kazi kwa kila anayetajwa kuhusika kwenye ubadhirifu kukaliwa kooni na hatimaye kuchukuliwa hatua?

- Je, siasa za CHADEMA zinaenda kubadilika kutoka kutukanana ovyo na kufanya character assassination na kuwa na vijana wenye kujenga hoja na kuwakabili wapinzani wao kimkakati kutokana na kuzungukwa na viongozi wenye mipango na weledi?

- Je, katika kipindi hiki ambacho, CHADEMA inashikilia msimamo wao wa No Reform, No Election Dkt. Nshala atasaidia kuleta mabadiliko yatakayopelekea kuwa na uchaguzi huru na haki?
 
Wala hata sijaelewa
Hujaelewa nini Mkuu? Uteuzi wa Dk. Nshala kama mjumbe wa kamati kuu na mwanasharia wa CHADEMA una athari gani kwenye Uchaguzi Mkuu ujao na siasa za CHADEMA ukizingatia historia yake kwenye sakata la DP World?
 
Hujaelewa nini Mkuu? Uteuzi wa Dk. Shala kama mjumbe wa kamati kuu na mwanasharia wa CHADEMA una athari gani kwenye Uchaguzi Mkuu ujao na siasa za CHADEMA ukizingatia historia yake kwenye sakata la DP World?
What is your hypothesis?
 
What is your hypothesis?
Naona vijana wa vijana wa CHADEMA wanaenda kuwa kama ACT na siasa safi zenye hoja lkn watakuwa aggressive pale mambo yakipindishwa kwa kuangalia mifano ya watu hao wawili ambao wame nyooka kama rula... mambo yatachangamka
 
Wakuu,


Januari 21 ulifanyika Uchaguzi Mkuu CHADEMA kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti kwa Bara na Zanzibar, ambako Lissu alitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA, siku hiyo pia ulifanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama na Lissu akafanya uteuzi wa viongozi, na kati ya waliochaguliwa na Mwanasheria wa CHADEMA, Mjumbe wa Kamati Kuu Dkt. Nshala Rugemeleza.

Kwa wale waliokuwa wanafuatilia sakata la DP World jina hili la Nshala Rugemeleza sio jina geni kabisa. Umaarufu wake ulikua zaidi Juni mwaka 2023 alipojitokeza hadharani kupinga mkataba wa DP World kati ya serikali ya Tanzania na Dubai, mkataba ambao aliuita ni “batili” “kiuhaini” na “haramu”.


Nshala hakuishia hapo kwani alitangaza hadharani kuwa yupo mbioni kufungua kesi kupinga dhamira ya Serikali ya kusaini mkataba huo, kitendo ambacho kilimpa umaarufu sana hasa kwenye mtandao wa X baada ya watu wengi kuunga mkono uamuzi huo.

Siku chache baadae, Nshala ambaye pia ni Rais Mstaafu wa (TLS) alitangaza kuwa maisha yake yapo hatarini baada ya kuarifiwa kuwa kuna mipango ya kutaka kumuua kwa kulikalia kooni sakata la DP World ambapo wanaharakati walijitokeza kuonya na kukemea huu ya vitisho dhidi ya Nshala. Siku chache baadae Ofisi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ilimuamuru Wakili Rugemeleza kufika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, juu ya kauli zake alizozitoa Julai 3.

Ofisi hiyo ilisema kuwa inafanya uchunguzi juu ya kauli alizozitoa, kauli ambazo zilisambaa kupitia mitandao ya kijamii.

Baada ya kupata intro hiyo (hasa kwa Gen Z wenzangu ambao jina hili lilikuwa geni) uteuzi wa Rugemeleza una maana gani kwa CHADEMA?

View attachment 3213770

Kwa yeyote anayemfahamu Tundu Lissu, bila shaka atakubali kwamba mtindo wake wa siasa, ni mtu ambaye hapepesi macho, si rahisi kuyumbishwa sio kwa vitisho wala kwa rushwa, tabia ambayo tumeiona pia kwa Dkt. Nshala alivyosimama kidete katika kupinga na kupambana dhidi ya mkataba wa DP World.

- Je, kutakuwa na mwanga kwenye ripoti za CAG kuanza kufanyiwa kazi kwa kila anayetajwa kuhusika kwenye ubadhirifu kukaliwa kooni na hatimaye kuchukuliwa hatua?

- Je, siasa za CHADEMA zinaenda kubadilika kutoka kutukanana ovyo na kufanya character assassination na kuwa na vijana wenye kujenga hoja na kuwakabili wapinzani wao kimkakati kutokana na kuzungukwa na viongozi wenye mipango na weledi?

- Je, katika kipindi hiki ambacho, CHADEMA inashikilia msimamo wao wa No Reform, No Election Dkt. Nshala atasaidia kuleta mabadiliko yatakayopelekea kuwa na uchaguzi huru na haki?
Mshana Jr Kiranga Nyani Ngabu johnthebaptist Pascal Mayalla Retired 🌚 Msanii Ritz na wengine bila kuwasahau nyuki wa mama Tlaatlaah Lucas Mwashambwa ChoiceVariable Dr. Mwigulu Nchemba Gerson Msigwa mna maoni gani kwenye hili?
 
Wakuu,


Januari 21 ulifanyika Uchaguzi Mkuu CHADEMA kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti kwa Bara na Zanzibar, ambako Lissu alitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA, siku hiyo pia ulifanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama na Lissu akafanya uteuzi wa viongozi, na kati ya waliochaguliwa na Mwanasheria wa CHADEMA, Mjumbe wa Kamati Kuu Dkt. Nshala Rugemeleza.

Kwa wale waliokuwa wanafuatilia sakata la DP World jina hili la Nshala Rugemeleza sio jina geni kabisa. Umaarufu wake ulikua zaidi Juni mwaka 2023 alipojitokeza hadharani kupinga mkataba wa DP World kati ya serikali ya Tanzania na Dubai, mkataba ambao aliuita ni “batili” “kiuhaini” na “haramu”.


Nshala hakuishia hapo kwani alitangaza hadharani kuwa yupo mbioni kufungua kesi kupinga dhamira ya Serikali ya kusaini mkataba huo, kitendo ambacho kilimpa umaarufu sana hasa kwenye mtandao wa X baada ya watu wengi kuunga mkono uamuzi huo.

Siku chache baadae, Nshala ambaye pia ni Rais Mstaafu wa (TLS) alitangaza kuwa maisha yake yapo hatarini baada ya kuarifiwa kuwa kuna mipango ya kutaka kumuua kwa kulikalia kooni sakata la DP World ambapo wanaharakati walijitokeza kuonya na kukemea huu ya vitisho dhidi ya Nshala. Siku chache baadae Ofisi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ilimuamuru Wakili Rugemeleza kufika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, juu ya kauli zake alizozitoa Julai 3.

Ofisi hiyo ilisema kuwa inafanya uchunguzi juu ya kauli alizozitoa, kauli ambazo zilisambaa kupitia mitandao ya kijamii.

Baada ya kupata intro hiyo (hasa kwa Gen Z wenzangu ambao jina hili lilikuwa geni) uteuzi wa Rugemeleza una maana gani kwa CHADEMA?

View attachment 3213770

Kwa yeyote anayemfahamu Tundu Lissu, bila shaka atakubali kwamba mtindo wake wa siasa, ni mtu ambaye hapepesi macho, si rahisi kuyumbishwa sio kwa vitisho wala kwa rushwa, tabia ambayo tumeiona pia kwa Dkt. Nshala alivyosimama kidete katika kupinga na kupambana dhidi ya mkataba wa DP World.

- Je, kutakuwa na mwanga kwenye ripoti za CAG kuanza kufanyiwa kazi kwa kila anayetajwa kuhusika kwenye ubadhirifu kukaliwa kooni na hatimaye kuchukuliwa hatua?

- Je, siasa za CHADEMA zinaenda kubadilika kutoka kutukanana ovyo na kufanya character assassination na kuwa na vijana wenye kujenga hoja na kuwakabili wapinzani wao kimkakati kutokana na kuzungukwa na viongozi wenye mipango na weledi?

- Je, katika kipindi hiki ambacho, CHADEMA inashikilia msimamo wao wa No Reform, No Election Dkt. Nshala atasaidia kuleta mabadiliko yatakayopelekea kuwa na uchaguzi huru na haki?
Punguza kamdomo
 
Wakuu,


Januari 21 ulifanyika Uchaguzi Mkuu CHADEMA kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti kwa Bara na Zanzibar, ambako Lissu alitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA, siku hiyo pia ulifanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama na Lissu akafanya uteuzi wa viongozi, na kati ya waliochaguliwa na Mwanasheria wa CHADEMA, Mjumbe wa Kamati Kuu Dkt. Nshala Rugemeleza.

Kwa wale waliokuwa wanafuatilia sakata la DP World jina hili la Nshala Rugemeleza sio jina geni kabisa. Umaarufu wake ulikua zaidi Juni mwaka 2023 alipojitokeza hadharani kupinga mkataba wa DP World kati ya serikali ya Tanzania na Dubai, mkataba ambao aliuita ni “batili” “kiuhaini” na “haramu”.


Nshala hakuishia hapo kwani alitangaza hadharani kuwa yupo mbioni kufungua kesi kupinga dhamira ya Serikali ya kusaini mkataba huo, kitendo ambacho kilimpa umaarufu sana hasa kwenye mtandao wa X baada ya watu wengi kuunga mkono uamuzi huo.

Siku chache baadae, Nshala ambaye pia ni Rais Mstaafu wa (TLS) alitangaza kuwa maisha yake yapo hatarini baada ya kuarifiwa kuwa kuna mipango ya kutaka kumuua kwa kulikalia kooni sakata la DP World ambapo wanaharakati walijitokeza kuonya na kukemea huu ya vitisho dhidi ya Nshala. Siku chache baadae Ofisi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ilimuamuru Wakili Rugemeleza kufika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, juu ya kauli zake alizozitoa Julai 3.

Ofisi hiyo ilisema kuwa inafanya uchunguzi juu ya kauli alizozitoa, kauli ambazo zilisambaa kupitia mitandao ya kijamii.

Baada ya kupata intro hiyo (hasa kwa Gen Z wenzangu ambao jina hili lilikuwa geni) uteuzi wa Rugemeleza una maana gani kwa CHADEMA?

View attachment 3213770

Kwa yeyote anayemfahamu Tundu Lissu, bila shaka atakubali kwamba mtindo wake wa siasa, ni mtu ambaye hapepesi macho, si rahisi kuyumbishwa sio kwa vitisho wala kwa rushwa, tabia ambayo tumeiona pia kwa Dkt. Nshala alivyosimama kidete katika kupinga na kupambana dhidi ya mkataba wa DP World.

- Je, kutakuwa na mwanga kwenye ripoti za CAG kuanza kufanyiwa kazi kwa kila anayetajwa kuhusika kwenye ubadhirifu kukaliwa kooni na hatimaye kuchukuliwa hatua?

- Je, siasa za CHADEMA zinaenda kubadilika kutoka kutukanana ovyo na kufanya character assassination na kuwa na vijana wenye kujenga hoja na kuwakabili wapinzani wao kimkakati kutokana na kuzungukwa na viongozi wenye mipango na weledi?

- Je, katika kipindi hiki ambacho, CHADEMA inashikilia msimamo wao wa No Reform, No Election Dkt. Nshala atasaidia kuleta mabadiliko yatakayopelekea kuwa na uchaguzi huru na haki?
Wazalendo huwa wanajua mahali pa kukimbilia penye amani
 
Kwamba unahisi ndo anaweza kuwa mgombea urais wa Chadema au umeona nini mkuu!!
 
Hujaelewa nini Mkuu? Uteuzi wa Dk. Shala kama mjumbe wa kamati kuu na mwanasharia wa CHADEMA una athari gani kwenye Uchaguzi Mkuu ujao na siasa za CHADEMA ukizingatia historia yake kwenye sakata la DP World?
Kazingua sana hajaelewa nini huyo?
Yeye mwenyewe kaandika uzi wa hovyo kuhusu Halima Mdee na wale covid wenzake pamoja na Dr Slaa wasirejeshwe CHADEMA mbona tumeheshimu alichokiandika?

Erythrocyte punguza ufia chama na kujiona wewe ni special sana pale inapoandikwa habari kuhusu Chadema na member mwingine
 
Wakuu,


Januari 21 ulifanyika Uchaguzi Mkuu CHADEMA kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti kwa Bara na Zanzibar, ambako Lissu alitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA, siku hiyo pia ulifanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama na Lissu akafanya uteuzi wa viongozi, na kati ya waliochaguliwa na Mwanasheria wa CHADEMA, Mjumbe wa Kamati Kuu Dkt. Nshala Rugemeleza.

Kwa wale waliokuwa wanafuatilia sakata la DP World jina hili la Nshala Rugemeleza sio jina geni kabisa. Umaarufu wake ulikua zaidi Juni mwaka 2023 alipojitokeza hadharani kupinga mkataba wa DP World kati ya serikali ya Tanzania na Dubai, mkataba ambao aliuita ni “batili” “kiuhaini” na “haramu”.


Nshala hakuishia hapo kwani alitangaza hadharani kuwa yupo mbioni kufungua kesi kupinga dhamira ya Serikali ya kusaini mkataba huo, kitendo ambacho kilimpa umaarufu sana hasa kwenye mtandao wa X baada ya watu wengi kuunga mkono uamuzi huo.

Siku chache baadae, Nshala ambaye pia ni Rais Mstaafu wa (TLS) alitangaza kuwa maisha yake yapo hatarini baada ya kuarifiwa kuwa kuna mipango ya kutaka kumuua kwa kulikalia kooni sakata la DP World ambapo wanaharakati walijitokeza kuonya na kukemea huu ya vitisho dhidi ya Nshala. Siku chache baadae Ofisi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ilimuamuru Wakili Rugemeleza kufika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, juu ya kauli zake alizozitoa Julai 3.

Ofisi hiyo ilisema kuwa inafanya uchunguzi juu ya kauli alizozitoa, kauli ambazo zilisambaa kupitia mitandao ya kijamii.

Baada ya kupata intro hiyo (hasa kwa Gen Z wenzangu ambao jina hili lilikuwa geni) uteuzi wa Rugemeleza una maana gani kwa CHADEMA?

View attachment 3213770

Kwa yeyote anayemfahamu Tundu Lissu, bila shaka atakubali kwamba mtindo wake wa siasa, ni mtu ambaye hapepesi macho, si rahisi kuyumbishwa sio kwa vitisho wala kwa rushwa, tabia ambayo tumeiona pia kwa Dkt. Nshala alivyosimama kidete katika kupinga na kupambana dhidi ya mkataba wa DP World.

- Je, kutakuwa na mwanga kwenye ripoti za CAG kuanza kufanyiwa kazi kwa kila anayetajwa kuhusika kwenye ubadhirifu kukaliwa kooni na hatimaye kuchukuliwa hatua?

- Je, siasa za CHADEMA zinaenda kubadilika kutoka kutukanana ovyo na kufanya character assassination na kuwa na vijana wenye kujenga hoja na kuwakabili wapinzani wao kimkakati kutokana na kuzungukwa na viongozi wenye mipango na weledi?

- Je, katika kipindi hiki ambacho, CHADEMA inashikilia msimamo wao wa No Reform, No Election Dkt. Nshala atasaidia kuleta mabadiliko yatakayopelekea kuwa na uchaguzi huru na haki?
Una maana hao wote ni nyumbu wanafana kwa kila kitu
 
Hujaelewa nini Mkuu? Uteuzi wa Dk. Shala kama mjumbe wa kamati kuu na mwanasharia wa CHADEMA una athari gani kwenye Uchaguzi Mkuu ujao na siasa za CHADEMA ukizingatia historia yake kwenye sakata la DP World?
Kamati kuu ya Chadema Haina impact yyte ktk nchi hii hao ni nyumbu wanaofanana
 
Je, Dkt. Nshala atasaidia kuleta mabadiliko yatakayopelekea kuwa na uchaguzi huru na haki?​
Hapanaa, sio Nshala wala TAL anaweza kufanya chochote. Uchaguzi wa 2025 utakuwa huru na wa haki, kwasababu mabadiliko yameisha fanywa na Mama mwenyewe, sheria mpya ya uchaguzi tayari, Tume Huru itaundwa, sasa anakwenda kufanya minimum reforms za katiba.
P
 
Ccm mbona mnateuana ki ukoo na hatuhoji , sembuse uteuzi wa mwenyekiti wa chadema ndo iwe nongwa.
Kamadomo ,kamdomo ,kamdomo
Wapi imewekwa nongwa Mkuu, ni open discussion, unadhani uteuzi wake utaleta mabadiliko gani CHADEMA na kwenye siasa za TZ kwa ujumla

Afu nimekuaje CCM tena Mkuu?🤔🤔
 
Back
Top Bottom