Dkt. Pesha: Tunatarajia kurusha Setelaiti yetu angani 2025, sasa tumefikia hatua ya matengenezo

Mwanasheria wangu yupo msibani kafiwa na baba yake ........kajipa likizo ya mwezi mzima hebu acha nikae kimya...................vya ardhini tu tunavishindwa ndio viwe vya angani............wakati mwingine tusome hata bibilia tu au Qur'an tupate swawabu na mwisho mwema...............
 
Iitwe
Samia S.S, iwekwe kwenye ilani ya Chama chakavu Mwaka 2025.
 
Huu ni ufisadi wa kimataifa ni kama ule mradi wa satelite city kigamboni ...wazungu ni wajanja sana leo tz kuna maeneo umeme haujafika ndiyo ilitskiwa kuwa kipaumbele cha taifa siyo huu upumbavu wa satelite
 
Huu ni ufisadi wa kimataifa ni kama ule mradi wa satelite city wa kigamboni ...wazungu ni wajanja sana leo tz kuna maeneo umeme haujafika ndiyo ilitskiwa kuwa kipaumbele cha taifa siyo huu upumbavu wa satelite
 
Kuna dogo wa azam media kaisha fikia pazuri kwenye uwo mchakato sasa hv yupo ujerumani anatafuta wafadhili. Siwangeanza kwa kumsaidia huyo kufikia lengo. Maana yeye ata nusu ya lengo ameishavuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…