LGE2024 Dkt. Philip Mpango: Wanawake jiandikisheni uchaguzi wa Serikali za Mitaa na mchukue fomu kugombea uongozi

LGE2024 Dkt. Philip Mpango: Wanawake jiandikisheni uchaguzi wa Serikali za Mitaa na mchukue fomu kugombea uongozi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wanawake kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwa kuwa wanazifahamu vema changamoto za jamii na pia wanao uwezo wa kuongoza vizuri.

Dkt. Philip Mpango Mpango amesema hayo baada ya kushiriki zoezi la uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kitongoji cha Kihanga kijiji cha Kasumo wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma jana Oktoba 12, 2024

 
Tumejiandikisha, ila, kupiga kura ni kazi nyingine.
 
Andaeni Kanga na vitenge vya Kijana watakwenda kujiandikisha wenyewe!
 
unambiwa jamaa wa chadema wameshindwa hata kutoa huduma ya chakula cha mchana kwa mawakala wao imenishangaza sana kwa kweli.

Wakala moja ananambia wamebidi waingie mitini, katibu wao kawambia wale chakula kisichozidi elfu tatu kwa pesa yao kisha watarejeshewa kwani pesa hajazipokea hadi kufikia sasa ni kweli chadema haikujua kuna chaguzi kila bada ya miaka mitano haya ni mambo ya ovyo kabisa
 
Anajua wanawake ndo mapoyoyo ya kuwapa kura kwa hongonya vikanga na vitenge
 
Back
Top Bottom