LGE2024 Dkt. Pindi Chana: Amewaomba wananchi wa Makambako kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Dkt. Pindi Chana: Amewaomba wananchi wa Makambako kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Balozi , Dk. Pindi Chana amekinadi Chama cha Mapinduzi huku akiwaomba wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024.

Ameyasema hayo katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Lyamkena, Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe leo Novemba 25, 2024.

Soma Pia:

Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani humo katika Wilaya ya Makambako, Ludewa, Njombe na Wanging'ombe za ujenzi wa barabara , shule , vituo vya afya n.k.

Akizungumzia Sekta ya Maliasili na Utalii Chana amesema Rais Samia amekuwa kinara katika kutangaza vivutio vya Tanzania hasa kupitia filamu ya Tanzania The Royal Tour.

Screenshot 2024-11-25 214600.png
Screenshot 2024-11-25 214615.png
 

WAZIRI CHANA AINADI CCM MAKAMBAKO, AMTAJA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Mhe. Balozi , Dkt. Pindi Chana (Mb) amekinadi Chama cha Mapinduzi huku akiwaomba wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024.

Ameyasema hayo katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Lyamkena, Halmashauri ya Mji wa Makambako Mkoani Njombe leo Novemba 25, 2024.

Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo Mkoani humo katika Wilaya zote za Makambako, Ludewa, Njombe na Wanging'ombe za ujenzi wa barabara , shule , vituo vya afya n.k.

Akizungumzia Sekta ya Maliasili na Utalii Mhe. Chana amesema Rais Samia amekuwa kinara katika kutangaza vivutio vya Tanzania hasa kupitia filamu ya Tanzania The Royal Tour.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.21.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.21.jpeg
    503.3 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.22.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.22.jpeg
    546.6 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.22 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.22 (1).jpeg
    439.3 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.23.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.23.jpeg
    498.4 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.23 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.23 (1).jpeg
    596.9 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.23 (2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 17.16.23 (2).jpeg
    583.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom