Dkt. Pindi Chana katika Usiku wa Mwanamke

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dkt. Pindi Chana ameshiriki hafla ya usiku wa Mwanamke, Machi 08, 2023 iliyowahusisha Wanawake wa Mkoa wa Njombe ambapo shughuli mbalimbali zikiwemo za ubunifu wa mavazi na elimu ya ujasiriamali zimepamba hafla hiyo.

Hafla hiyo ni katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa imeongozwa na Kauli mbiu Mabadiliko ya Teknolojia ni chachu katika kuleta usawa wa kijinsia.

 
They are celebrating the uses of national cake while Ccm are insisting us that bodaboda is a career .
 
Hapo hawawazi kabisa Kama Kuna watu hata mlo mmoja hawana....
 
Wanapop tu champagne, hahahaha.

Ngoja nifike zangu kwanza kisangani, usiku nitasema neno.
 
nikiona Mwanamke wa KiAfrica ameweka minywele madawa, hata awe amesoma vipi namdharau na kumuona mjinga mmoja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…