Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Haya ndugu zangu hapo ni Mwanamziki nguli akiimba wimbo trna wakati Nyerere mwenyewe akiwa hai. Waliokubali kukosolewa waliongoza vema.
Nikisema vema siyo kwa kunyamaza nyamaza kwenye masuala ya msingi. Waliongoza bila kufanya mauzo kwa nchi yao.
Nyerere hakuwahi kuuza sehemu yoyote ya ardhi ya Tanganyika wala Tanzania Mzee Mwinyi anajutia kuiuza Loliondo wnegine sasa hivi wako mnadani kwa nchi yeti sasa hivi hatutaki rudisha BANDARI YETU
Huyu kaimba kwakuwa altona hayo.
Nikisema vema siyo kwa kunyamaza nyamaza kwenye masuala ya msingi. Waliongoza bila kufanya mauzo kwa nchi yao.
Nyerere hakuwahi kuuza sehemu yoyote ya ardhi ya Tanganyika wala Tanzania Mzee Mwinyi anajutia kuiuza Loliondo wnegine sasa hivi wako mnadani kwa nchi yeti sasa hivi hatutaki rudisha BANDARI YETU
Huyu kaimba kwakuwa altona hayo.