Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuvaa gwanda si kielelezo pekee kinachotosha kuthibitisha kuhusu kuwiwa na jambo Fulani/ chama fulani.Dkt.Rugemeleza Nshala ana uchungu na CHADEMA?
Maana tangu kufatilia siasa za upinzani huyu sijawahi kumuona kuvaa gwanda.
Leo ndio mwanasheria mkuu wa CHADEMA.
Au urafiki wa Lissu ndio kumemfanya kupata nafasi hii?
Lini alishuriki harakati za chadema?Kuvaa gwanda si kielelezo pekee kinachotosha kuthibitisha kuhusu kuwiwa na jambo Fulani/ chama fulani.
kapewa nafasi hiyo kama zawadi kwa rafiki, ndugu, jamaa na wanafamilia wengine wa huyo tapeli wa kisiasa ndani ya chadema walivyozawadiwa nafasi mballimbali za uongozi ndani ya chadema bila kuzingati sifa na vigezo vya kitaluma, sheria au katiba ya chadema 🐒Dkt.Rugemeleza Nshala ana uchungu na CHADEMA?
Maana tangu kufatilia siasa za upinzani huyu sijawahi kumuona kuvaa gwanda.
Leo ndio mwanasheria mkuu wa CHADEMA.
Au urafiki wa Lissu ndio kumemfanya kupata nafasi hii?
Sifahamu lini alishiriki, lakini aliyeshiriki harakati jana pia anaweza kuwa msaliti leo. Huu ni mwanzo alionao, tusiijadili kesho, haijafika, ikifika tutajadili. " Tukikuta daraja tutalivuka, tunajadili kulivuka, vipi tusipolikuta, tukakuta bahari?!Lini alishuriki harakati za chadema?
we una ujinga wa ng'ombe kufanya kyuma yake ngazi ya mafi ulishawai kumuona julius nyerere akivaa mbogamboga za fisiemDkt.Rugemeleza Nshala ana uchungu na CHADEMA?
Maana tangu kufatilia siasa za upinzani huyu sijawahi kumuona kuvaa gwanda.
Leo ndio mwanasheria mkuu wa CHADEMA.
Au urafiki wa Lissu ndio kumemfanya kupata nafasi hii?