Dkt. Ryoba: Serikali huwa inatumia teknolojia kudhibiti baadhi ya mambo

Dkt. Ryoba: Serikali huwa inatumia teknolojia kudhibiti baadhi ya mambo

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mkurungenzi wa TBC, Dr Ayuob Ryoba amesema nchi nyingi duniani hutumia teknolojia kudhibiti baadhi ya mambo.

Amesema hayo akijibu hoja ya mmoja wa washiriki wa Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari ambaye alihoji nini kilitokea 2020 Oktoba ambapo mitandao ya kijamii ilikuwa haipatikani.

Hayo yamehojiwa baada ya wazungumzaji kuweka kuzungumzia Information na Disinformation
 
Serikali ya Tz ilikuwa inadhibiti nini? Watz wasijue wizi wa Kura uliokithiri?
 
Back
Top Bottom