Dkt. Samizi aendelea na ziara yake Kata ya Nyaruyoba, ahamasisha Sensa na kufuatilia utekelezaji wa ilani ya CCM

Dkt. Samizi aendelea na ziara yake Kata ya Nyaruyoba, ahamasisha Sensa na kufuatilia utekelezaji wa ilani ya CCM

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
DKT. SAMIZI AENDELEA NA ZIARA YAKE KATA YA NYARUYOBA, AHAMASISHA SENSA NA KUFUATILIA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.

Kazi Inaendelea Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma ambapo Mbunge Mhe. Dkt. Florence George Samizi Jana Jumatano Julai 20, 2022 alifika Kata ya Nyaruyoba kuzungumza na Wananchi katika mwendelezo wa ziara yake Jimboni ya kusikiliza kero za Wananchi, kuhamasisha Sensa na kadhalika.

Mkutano wa hadhara Nyaruyoba umekua na mafanikio makubwa sana ambapo pamoja na mambo mengine Mhe Mbunge alipata nafasi ya kuwahamasisha na kuwakumbusha Wananchi umuhimu wa Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Agosti 23 Mwaka huu.

Pia, alifuatilia Utekelezaji wa Ilani ya Chama na kuipongeza sana Bajeti ya Serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali maslahi zaidi ya Watanzania wa chini.

#Muhambwekaziinaendelea






IMG-20220721-WA0033.jpg

IMG-20220721-WA0028.jpg

IMG-20220721-WA0026.jpg
 
Jf imepanuka, Hadi NYARUYOBA imefika!!!! Vip KAGEZI??? KIGAGA, KIBINGO, KICHANANGA, MAGARAMA , KIGINA, RUKAYA, KIFURA, KISOGWE, BUSUNZU, NYARULANGA??? Hahahaaaa Mama samiz anaupiga mwingi sana
 
DKT. SAMIZI AENDELEA NA ZIARA YAKE KATA YA NYARUYOBA, AHAMASISHA SENSA NA KUFUATILIA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.

Kazi Inaendelea Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma ambapo Mbunge Mhe. Dkt. Florence George Samizi Jana Jumatano Julai 20, 2022 alifika Kata ya Nyaruyoba kuzungumza na Wananchi katika mwendelezo wa ziara yake Jimboni ya kusikiliza kero za Wananchi, kuhamasisha Sensa na kadhalika.

Mkutano wa hadhara Nyaruyoba umekua na mafanikio makubwa sana ambapo pamoja na mambo mengine Mhe Mbunge alipata nafasi ya kuwahamasisha na kuwakumbusha Wananchi umuhimu wa Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Agosti 23 Mwaka huu.

Pia, alifuatilia Utekelezaji wa Ilani ya Chama na kuipongeza sana Bajeti ya Serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali maslahi zaidi ya Watanzania wa chini.

#Muhambwekaziinaendelea

View attachment 2298451

View attachment 2298453
View attachment 2298454
View attachment 2298455
View attachment 2298457
View attachment 2298461
View attachment 2298462
Taka ngumu hii,tupa kule
 
Tz haihitaji ma Dkt wasio fanya tafiti kama hao. Hiyo kazi muwape hata Watendaji wa mitaa tu.
 
Wahaya kwa mbwembwe hamshikiki!! Kijiziara uchwara tu unatuletea humu!!? Tuma ujinga huu kwenye WhatsApp group la Kijiji cha Nyaruyoba
 
Back
Top Bottom