Dkt. Samizi afanya ziara Jimboni, achangia zaidi ya Milioni 3 Ujenzi wa nyumba ya Mganga wa Kituo cha afya

Dkt. Samizi afanya ziara Jimboni, achangia zaidi ya Milioni 3 Ujenzi wa nyumba ya Mganga wa Kituo cha afya

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
DKT. SAMIZI AFANYA ZIARA JIMBONI, ACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 3 UJENZI WA NYUMBA YA MGANGA WA KITUO CHA AFYA.

Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi amefanya ziara ya kusikiliza kero za wananchi kata ya Usagara Jimboni ambapo pamoja na mambo mengine ameweza kuchangia ujenzi wa nyumba ya Mganga wa kituo cha afya Usagara kwa kutoa mifuko 50 ya saruji, mabati 80 na million 3 kama sehemu ya gharama za mafundi. Yote ni katika juhudi za kuunga mkono jitihada za Dkt. Samia Suluhu Hassani🇹🇿

#WachaKaziIndelee

FB_IMG_1677140734625.jpg
FB_IMG_1677140728457.jpg
 
Na sisi waganga wa kienyeji tunahitaji kujengewa nyumba na serikali, tuna mchango mkubwa sana kwenye maisha ya viongozi ya kila siku, kuanzia kwenye uchaguzi na baada ya uchaguzi
 
DKT. SAMIZI AFANYA ZIARA JIMBONI, ACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 3 UJENZI WA NYUMBA YA MGANGA WA KITUO CHA AFYA.

Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi amefanya ziara ya kusikiliza kero za wananchi kata ya Usagara Jimboni ambapo pamoja na mambo mengine ameweza kuchangia ujenzi wa nyumba ya Mganga wa kituo cha afya Usagara kwa kutoa mifuko 50 ya saruji, mabati 80 na million 3 kama sehemu ya gharama za mafundi. Yote ni katika juhudi za kuunga mkono jitihada za Dkt. Samia Suluhu Hassani🇹🇿

#WachaKaziIndelee

View attachment 2528104View attachment 2528105
Samahani naomba kuuliza. Dr Samizi PhD yake ndo zile?
 
Na sisi waganga wa kienyeji tunahitaji kujengewa nyumba na serikali, tuna mchango mkubwa sana kwenye maisha ya viongozi ya kila siku, kuanzia kwenye uchaguzi na baada ya uchaguzi
Wewe utakuwa mganga makini sana. Unarogea wapi Bwashee nije kuchukua Hirizi? Kuna Mbwiga huku hana akili nataka nimfunge haja kubwa
 
Back
Top Bottom