py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Kuna nadharia aliitoa Dr shika kuwa ukimtizama aliyelala usoni anaamka kusema kweli nilifanyia tafiti nadharia hio hapa nyumbani na kweli nilimtizama jamaa aliyesinzia usoni akaamka,ase huyu jamaa tusimchukulie poa yupo vizuri ana madini.
Kuna nadharia nyingine kasema ukiwaona mbwa bana makende watatulia tu ,hii nadharia nataka niifanyie utafiti je ni kweli au laa ili nipime kama huyu dkt ni mkweli au mbabaishaji kama watu wanavyodai ,kesho usiku nitaenda upanga kwenye mahala panapolindwa na mbwa wakali njia ya las Vegas ile kuna majibwa weusi wengi .halafu nitaleta mrejesho kama hii nadharia ni kweli au uongo ili ni mpuuze dkt na niungane na wale wanaosema amedata
Dkt sio wa mchezo mchezo
Kuna nadharia nyingine kasema ukiwaona mbwa bana makende watatulia tu ,hii nadharia nataka niifanyie utafiti je ni kweli au laa ili nipime kama huyu dkt ni mkweli au mbabaishaji kama watu wanavyodai ,kesho usiku nitaenda upanga kwenye mahala panapolindwa na mbwa wakali njia ya las Vegas ile kuna majibwa weusi wengi .halafu nitaleta mrejesho kama hii nadharia ni kweli au uongo ili ni mpuuze dkt na niungane na wale wanaosema amedata
Dkt sio wa mchezo mchezo